Pole mkuu na Asante kwa kutushirikisha.Mkuu mimi hua nasikia baridi muda wote..na mwili wangu hasa viganja vyabaridi mno..
Mara nyingi navaa nguo mbili. Naambiwa eti nimemfuata babu wa jina langu maana toka mdogo mm nasikia baridi.
Kwenye baridi nateseka mno ila nikiwa dar joto hua nasikia marachache mno..Shida itakua nini?
Barikiwa sana mkuuTuambue ulijuaje hilo. Usilete story za gheto au kwenye kahawa hapa.
Hapa watu wanajadili mambo muhimu ya afya ambayo ni nyeti.
Anzisha uzi wako wa ma dokta feki sio hapa.
Na usipokuja na jibu la kueleweka titakupa vpande vyako.ili kila unapochangia watu wakuelewe. Wajinga kama nyie ndio mnaharobu JF kila mahali una koment tu.
Mkuu vipi tena? Mtu kajitoa kusaidia na kaweka wazi kwamba kama kuna wajuzi wengine wataongezea,
Inashangaza unaanza kumnanga
Pole ndgGesi inanisumbua zaidi ya miezi mitatu, nawezaje kupata tiba yake maana dawa za hospitalini zimeshachemka Bosi.
Nilipewa vidonge flani hivi rangi ya ukwaju, vyeupe na vidogo vidogo kama piliton na vingine vyeupe vikubwa muundo wa paracetamol zaidi ya siku 28 bila ya mabadiliko yoyote hadi nikapuuzia tena kurudi hospitalini.Pole ndg
Ningependa kujua ni tiba ipi umekua ukipewa ?
Ndiyo kakaHivi jerahaa la ajali linaweza kugeuka mpaka kuwa kansa?
Pole ndgNinatatizo lakuishiwa na ute kwenye magoti msaada
OkayNilipewa vidonge flani hivi rangi ya ukwaju, vyeupe na vidogo vidogo kama piliton na vingine vyeupe vikubwa muundo wa paracetamol zaidi ya siku 28 bila ya mabadiliko yoyote hadi nikapuuzia tena kurudi hospitalini.
Pole kwa changamoto hizoMtoto wa miaka kumi na tatu kudindisha muda wote,nitatizo au ukuaji?kwani mimi ni mwanamke na cjawahi lea mtoto wa kiume.
Swali la pili,ni kwangu mimi binafsi,ninasumbuliwa na minyoo aina ya tegu nimetumia dawa kadhaa ila bado sipona.