Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 16,466
- 42,602
Miezi mitatu sasa. Ila pia mchana nakohoa kwa nadra ila usiku balaa
Miezi mitatu sasa. Ila pia mchana nakohoa kwa nadra ila usiku balaa
Ila vidonda vya tumbo positive dawa nilishamaliz lakin nafuu hamna kichwa nikibonyeza bonyeza kwa vidole kinauma na kifua nikibonyeza ivy ivyMi naomba unisaidie nimekuwa na tatizo la mawazo mda mrefu saizi naona mabadiliko makubwa sana mwilini mwangu mishipa ya shingo kuuma na kuchoma choma kwa ndani kifua kuwaka moto na mgongo na kichwani kama nimebeba kitu mda wote kama kunachoma choma yan hakueleweki kabisa na hii hali ya kichwani tangu wa kumi mawazo tangu wa saba had leo sijapata suruhisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu koromeo likipiga mluzi wakati was kuhema shida ninini? Pia kikohozi hasa usiku.