Shikono Avant
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 118
- 126
Mi Najaribu toloka siielew sana,Ata sina mkuu nami nilibatisha humu humu
Mi Najaribu toloka siielew sana,Ata sina mkuu nami nilibatisha humu humu
Hivi kwa mwezi unaweza kukusanya kama bei gani?Yaan vinasaidia uzuri wake hata ukikosa swali chako unapata, na huna app nyingine zaid ya hii
Toloka Ndo jau kabisa Pesa kidogo maelezo kama nectaMi Najaribu toloka siielew sana,
Tangu nianze kutumia premise nimefanya kazi za picha mbili tu ya kupga makaburi na vyakula fulan Hv bt nafanya sana zle za shilingi 60Ata sina mkuu nami nilibatisha humu humu
Hii mm inanipa vivocha vya hapa na paleTangu nianze kutumia premise nimefanya kazi za picha mbili tu ya kupga makaburi na vyakula fulan Hv bt nafanya sana zle za shilingi 60
Toloka ni necta ilee duuh sio kwa maswali yaleeToloka Ndo jau kabisa Pesa kidogo maelezo kama necta
Nipo tayr, naomba hiyo kazi ndugu.!Huyu jamaa nimeshamwambia anicheki mpaka pm nikamtumia sms kuwa nimpe kazi niwe namlipa hiyo online kwa day Ila hajacheniki.
Ni pm namba yako basi,ili niongee nawewe nione Kama utaiwezaNipo tayr, naomba hiyo kazi ndugu.!
Naomba nije pm kaka .unipe maelekezo ya kaziHuyu jamaa nimeshamwambia anicheki mpaka pm nikamtumia sms kuwa nimpe kazi niwe namlipa hiyo online kwa day Ila hajacheniki.
Inaitwaje hii bossSalio langu kwasasa ni hili View attachment 2237566
Mkuu samahani hiyo application yake inaitwajeKupiga picha unakuwa unaangalia, unapiga kwa kuvizia mfano mim juzi nilipewa task ya kupiga picha kanisa au msikiti, nikaenda nikasimama mbali sana nikapiga picha kanisa badae wakataka nipige na kibao chake na kibao kilikuwa ndani nikaamua kupiga picha rami nikasubmitt, kesho yake mpunga ukaingia kama kawaida ukaongeza balance
Dealno1Inaitwaje hii boss
Premise ipo playstoreMkuu samahani hiyo application yake inaitwaje
NashukuruDealno1
Ni kama inahitajika invitation code kabla ya kuregisterDealno1
NashukuruPremise ipo playstore