heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,645
- 8,524
Hii imekaaje naulizwa hapa au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni full kuwindana mkuu, hakuna namna
Nimeshatoa mara ya kwanza, nasubiri siku 23 zingine zipite nitoe laki mbili ya pili, baada ya apo ata wakinipiga bado nakua nmefaidika
Unajua hii ni 1749479.32 🤣🤣
Ndo najiulizaa kweliii zitaingia paypal nasubir siku saba zikifika nakuja kianzisha uzi nile vichwaUnajua hii ni 1749479.32 🤣🤣
Sawa nimebadilisha namba ya cm naona nimepewa pesa yangu yotee🙏Nikishafika hii hatua ya kutoa, nikitoa buku 4 yenyewe inaleta mia 4, shida sijui ni nn
safiAppen, toloka, picoworker ingawa toloka na picoworker ni nzuri maana zinalipa kwa skrill hamna longolongo, lakini changamoto ndo hivyo pesa kidogo $2 mpaka 10 kwa siku.
hahahaYaaaan uzi umeingiliwa na matapel8
Mwanzo nilikuwa naweka tigo, badae nikatumia voda mzigo ukaja wote sekundee tuuMkuu umeweka no ya mtandao gani wakakupa pesa yote maana nami nimebakiza hatua chache
Salio langu kwasasa ni hiliMkuu nadhan siku 23 tayar tunomba mrejesho please vp hio laki 2 ya pili umefanikiwa kuitoa? Vp hujaanza kuwekeza faida yao? Ushuhuda wenu ndio utatuokoa wengine
Mkuu huu mchongo unafanyeje kazi na pia wewe iyo elf4 uliipata baada ya mda gani??Mwanzo nilikuwa naweka tigo, badae nikatumia voda mzigo ukaja wote sekundee tuu
Habari ndugu ... samahani je? Unaweza tupa mawili matatu kuhusu hii kitu ... kama hutojali naomba elimu hii ndugu ...natanguliza shukuranjSalio langu kwasasa ni hili View attachment 2237566
Weka airtelNimekwisha sina voda
Ishu ipo kwenye kupga picha baadhi ya vitu Ndo shidaMkuu hii unakuwa unajibu tu maswali ya kawaida tu kun, kuna muda wanaweza kukwambia uwende ukapihe picha maktaba, kituo cha mabasi, au chuo, hizo ndo zina hela kubwa mfano 350, 400, ila ya maswali mi wananipa 60 kila nikijibu ila baada ya masaa 72, muda unaweza kumaliza ata mwezi ila speed ya kujibu kwako
Kupiga picha unakuwa unaangalia, unapiga kwa kuvizia mfano mim juzi nilipewa task ya kupiga picha kanisa au msikiti, nikaenda nikasimama mbali sana nikapiga picha kanisa badae wakataka nipige na kibao chake na kibao kilikuwa ndani nikaamua kupiga picha rami nikasubmitt, kesho yake mpunga ukaingia kama kawaida ukaongeza balanceIshu ipo kwenye kupga picha baadhi ya vitu Ndo shida
Na unakuta nauli ya kwenda kurud buku, task ya jeroSasa unakuta mi nipo nadili na hako kaswali ka chini maana ukicheck stations za reli hakuna😂🤣 red cross mpaka mpaka utafute naona mh! Nikae naangalia tu😅
Yaan vinasaidia uzuri wake hata ukikosa swali chako unapata, na huna app nyingine zaid ya hiiNakwambia acha tu sema ndo hivyo vi 60 hivi mpaka nimefika