Valeryon
JF-Expert Member
- Feb 13, 2022
- 439
- 821
Duh, mbona muda mrefu hivyo, si bora ujaribu na timebucks
Jaribu hash tray ipo kwa dollar unatoa kwa simu. Huwekezi chochote hela inasoma tuu kila sekunde
Duh, mbona muda mrefu hivyo, si bora ujaribu na timebucks
Asante, japo sio kitu nafanyaJaribu hash tray ipo kwa dollar unatoa kwa simu. Huwekezi chochote hela inasoma tuu kila sekunde
😂😂😂😂Nipe ushuhudaUnajua raha ya affiliation uwe mtu wa mwanzo
Sheria zkoje humo? Unatushawishi tukapigwe
Hutaki pesa ya bure mkuu.. pesa ya kupakuaHow mkuu ,nachojua hakuna Ela rahisi ya bure bure
Referals wanatafutwa
Njoo pm unielekeze
Mnazngua hii huwezi toa Ela kizembe
Mnazngua hii huwezi toa Ela kizembe
Mzee baba Sasa kila survey unalipwa kiasi gan maana mim nimeanza na 60Wazee hivi premise ina shida gani kwenye mfumo wa kutoa hela?,maana wameweka kiwango cha chini cha kutoa ni Tsh 4000,lakini kila nikitaka kutoa kiasi hicho inatoka 400 tu shida ni Nini?View attachment 2227630
Hili tatizo hata mimi inanitokea mara yaa pili sasa napata 400Wazee hivi premise ina shida gani kwenye mfumo wa kutoa hela?,maana wameweka kiwango cha chini cha kutoa ni Tsh 4000,lakini kila nikitaka kutoa kiasi hicho inatoka 400 tu shida ni Nini?View attachment 2227630
Kwahy withdrawal ni kwa njia gani?View attachment 2229079
Usitumie simu vibaya kuna michongo mingi sana ya hela mitandaoni
Utanishukuru baadae