Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Incase mmesahau nawakumbusha tu .....

NB: ukiona mtu anakuitia fursa jua wewe ndo fursa yenyewe ..... na akiliza kupewa changanya na zako ....
Hapo kwenye akili ndio umemaliza kila kitu mkuu. Uko sahihi kabisa, usimpangie mtu maisha. Mwache atumie akili yake kufanya maamuzi yake. Mtu kashaambiwa kufanya mining ni bure, sasa ni jukumu lake kuona kama kuna mahali atahitajika atoe pesa ili kufanywa fursa. By the way hakuna mtu anaweza kuingia mfukoni kwa mtu akatoa pesa. Akili mtu wangu. Akili.
 
VIJANA tupeane Fursa Kamata Mchongo Huu. Kama una uoga wa Kupigwa njoo Whatsapp nikuonyeshe video ninavyo withdraw nakuchukua pesa. Jisajili Sasa na Dreamlife ukiwekeza laki utaingiza buku8 Kila siku. Ila angalizo hii platform ni Mpya hakikisha unainvest kwenye mwezi huu wa sita.yaani katika time kampuni inatafuta watu waingie kingi wewe utakuwa ushaingiza mkwanja, then unawaachia makolo.

Invest at your own risk. Watu tunaingiza vichenji huku. Haitupi utajiri Ila angalau chochote kinapatikana.

Gusa link Kujisajili.

Ukikwama nicheki
0658412883
 
VIJANA tupeane Fursa Kamata Mchongo Huu. Kama una uoga wa Kupigwa njoo Whatsapp nikuonyeshe video ninavyo withdraw nakuchukua pesa. Jisajili Sasa na Dreamlife ukiwekeza laki utaingiza buku8 Kila siku. Ila angalizo hii platform ni Mpya hakikisha unainvest kwenye mwezi huu wa sita.yaani katika time kampuni inatafuta watu waingie kingi wewe utakuwa ushaingiza mkwanja, then unawaachia makolo.

Invest at your own risk. Watu tunaingiza vichenji huku. Haitupi utajiri Ila angalau chochote kinapatikana.

Gusa link Kujisajili.

Ukikwama nicheki
0658412883
 
Kuna mdau hapa alishawahi na IDEA DEBATER??

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu.

Naombeni njia ya kweli ambayo siyo scam ya kuingiza $2 online kwa siku.

Isiwe blogging na apps, forex, kubet, cryptocurrency na referral invite networking. sizitaki hizi njia kwasababu:

-Blogging na apps sina uzoefu nayo na sijasomea IT,
-Forex kuijua inabidi uache shughuli nyingine uconcetrate nayo,
-Kubet hakutabiriki, leo unapata kesho unakosa,
-Crypocurrency mtaji wake ni mkubwa, kima cha chini ni 100,000,
-Referral invite networking watu wanaiona ni utapeli kwakuwa wengi wameshalizwa.

Karibuni kwa ushauri wakuu, nitafurahi sana nikipata njia ya uhakika ya kuingiza $2 online kwa siku.
Kajiunge delaska 😂😂ukapigwe au ufanye freelancing laasivyo endelea kunyoosha miguu na shingo.
 
Karibu huku ubadilishe maisha yako


Maelezo zaidi nicheki telegram
Screenshot_20220608-072734_dealno1.jpg
 
Kuna mdau hapo juu ka-recommend Picoworkers na mimi nakushauri utumie hiyo, kwanza wana njia za malipo zinazofanya kazi TZ (Skrill)

Hapo sasa wewe tumia muda wako ujifunze jinsi inavyofanya kazi, cha muhimu usifanye kazi zenye malipo zaidi ya siku 1 au 2 utachelewa kupata pesa yako. Kuna kazi unaweza subiri mpaka wiki ndiyo ulipwe sasa hizo usifanye. Pia fanya tasks nyingi uwezavyo kupata hiyo $2 / day.

Hii hapa screenshot ya kuthibitisha malipo niliyopokea kutoka Picoworkers kupitia Skrill.View attachment 2153661
hii inahusika na nini haswa?
 
Kuna zile survey app ambazo hutoa task ya kupiga picha zile ndo zinaweza kukupa hiyo range ya dollar 2 (japo sio mara zote utakutana na task ya namna hiyo)

Nadhani zile hazihitaji capital zaidi ya bundle lako tu

Mfano unaambiwa ukafanye survey kwenye ofisi za western union, huko unatakiwa ukapige picha na picha inatakiwa imekidhi vigezo ukileta janja janja haikubaliwi na mara nyingi task hiyo huwa inakupa 12,000 Tsh
Naomba link yake mkuu
Ahsante
 
Kunae hii hapa ingawa umesema hutaki referral link ila hawa wapuuzi wana mwaga mi dollar tu sema wanadai ili u withdraw lazima ufikishe dollar 200 na kimsingi sio kazi ngumu kwani maswali yao ni marahisi alafu wanalipa dollar mbili per survey.

Msinishike mashati mimi mwenyewe ndio kwanza nimeanza masaa machache yaliyo pita ila mpaka saivi nina dollar 36 ila uhakika wa kuzi withdraw sina sababu sijafikisha bado kiwango wanacho hitaji ila nikIfikisha pia nitawapa mrejesho

Ila uzuri wake huweki hata senti tano yako ni kutumia tu bundle lako kupiga hela badala ya kwenda google kutafuta namba 30 kwa kirumi.

Link hii apa na picha nakuwekeeni muone

Screenshot_20220609-133916.jpg
 
Back
Top Bottom