Only her for ever
Senior Member
- Oct 25, 2019
- 194
- 211
Jamani kwa anaejua vip kuhusu platform ya delaska?
Hapo kwenye akili ndio umemaliza kila kitu mkuu. Uko sahihi kabisa, usimpangie mtu maisha. Mwache atumie akili yake kufanya maamuzi yake. Mtu kashaambiwa kufanya mining ni bure, sasa ni jukumu lake kuona kama kuna mahali atahitajika atoe pesa ili kufanywa fursa. By the way hakuna mtu anaweza kuingia mfukoni kwa mtu akatoa pesa. Akili mtu wangu. Akili.Incase mmesahau nawakumbusha tu .....
NB: ukiona mtu anakuitia fursa jua wewe ndo fursa yenyewe ..... na akiliza kupewa changanya na zako ....
VIJANA tupeane Fursa Kamata Mchongo Huu. Kama una uoga wa Kupigwa njoo Whatsapp nikuonyeshe video ninavyo withdraw nakuchukua pesa. Jisajili Sasa na Dreamlife ukiwekeza laki utaingiza buku8 Kila siku. Ila angalizo hii platform ni Mpya hakikisha unainvest kwenye mwezi huu wa sita.yaani katika time kampuni inatafuta watu waingie kingi wewe utakuwa ushaingiza mkwanja, then unawaachia makolo.
Invest at your own risk. Watu tunaingiza vichenji huku. Haitupi utajiri Ila angalau chochote kinapatikana.
Gusa link Kujisajili.
Ukikwama nicheki
0658412883
una comfirm order unapata commission pia ukiinvite unalipwa....
pia ukiamua kuinvest kiwango cha chini
Hii kitu ina work vp
una comfirm order unapata commission pia ukiinvite unalipwa....
pia ukiamua kuinvest kiwango cha chini
Duh!nilitaka.kujiungaSme na idea debator zimefilisi watu naskia
Kajiunge delaska 😂😂ukapigwe au ufanye freelancing laasivyo endelea kunyoosha miguu na shingo.Habari wakuu.
Naombeni njia ya kweli ambayo siyo scam ya kuingiza $2 online kwa siku.
Isiwe blogging na apps, forex, kubet, cryptocurrency na referral invite networking. sizitaki hizi njia kwasababu:
-Blogging na apps sina uzoefu nayo na sijasomea IT,
-Forex kuijua inabidi uache shughuli nyingine uconcetrate nayo,
-Kubet hakutabiriki, leo unapata kesho unakosa,
-Crypocurrency mtaji wake ni mkubwa, kima cha chini ni 100,000,
-Referral invite networking watu wanaiona ni utapeli kwakuwa wengi wameshalizwa.
Karibuni kwa ushauri wakuu, nitafurahi sana nikipata njia ya uhakika ya kuingiza $2 online kwa siku.
naomba linkBro ww inaonekana ni mweupe kabisa kuhusu hizi deal za online.
Nenda telegram
Join group flani linaitwa smatskillz
Ni la wabongo wanaopiga hizi deal za online
Join apo upate mwanga kidogo
Kuhusu Paypal jins zinavyopatkana View attachment 2152743
Ninaweza kutafuta?Boss nitafute huto juta hata siku moja
0713394840
hii inahusika na nini haswa?Kuna mdau hapo juu ka-recommend Picoworkers na mimi nakushauri utumie hiyo, kwanza wana njia za malipo zinazofanya kazi TZ (Skrill)
Hapo sasa wewe tumia muda wako ujifunze jinsi inavyofanya kazi, cha muhimu usifanye kazi zenye malipo zaidi ya siku 1 au 2 utachelewa kupata pesa yako. Kuna kazi unaweza subiri mpaka wiki ndiyo ulipwe sasa hizo usifanye. Pia fanya tasks nyingi uwezavyo kupata hiyo $2 / day.
Hii hapa screenshot ya kuthibitisha malipo niliyopokea kutoka Picoworkers kupitia Skrill.View attachment 2153661
mkuu data entry expert ni nini?tembelea upwork na unaweza jifunza kuwa data entry expert(excel expert)...
Naomba link yake mkuuKuna zile survey app ambazo hutoa task ya kupiga picha zile ndo zinaweza kukupa hiyo range ya dollar 2 (japo sio mara zote utakutana na task ya namna hiyo)
Nadhani zile hazihitaji capital zaidi ya bundle lako tu
Mfano unaambiwa ukafanye survey kwenye ofisi za western union, huko unatakiwa ukapige picha na picha inatakiwa imekidhi vigezo ukileta janja janja haikubaliwi na mara nyingi task hiyo huwa inakupa 12,000 Tsh
Naomba unijuze zaidi kuhusu hiliPambana na appen na oneforma mkuu wana viproject vingi vingi ukikomaa haswa hukosi $30 kwa wiki
Naomba link mkuuKazi zipo kama hizi mtaji ni bando lako Ila tatizo tunafanya in illegal way kwasababu tunatumia profile za nchi nyingine kama US, CANADA na UK.
Hatufanyi kama watanzania.
Na ww umeshasema unataka ambazo sio illegalView attachment 2152726
Waliambiwa walikuwa wabishi, na bado zinakuja nyingineSme na idea debator zimefilisi watu naskia
Nimesikia pia kwa mdau fulani kuhusu kulizwa na Idea DebatorSme na idea debator zimefilisi watu naskia