Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
shukrani mkuu ni mwezi huu tu ndio mambo hayajaenda sawa..nikivuka nae hapa mambo yatakuwa poa tu25k kama ndo unaanza life kubwa sana ila kama uko moderate mfanyie mpango utamtumia kwa sasa mwambie sina niko vibaya nikipata nitakutumia atakuambia basi acha mi nafanya mpango mwingine siku nyingine mtumie ila ilibidi ujizoeshe kutuma ili usibanwe kama hivi leo ungekua na mazoea ya kumtumia then akuombe hivyo ungesema tu sina ila zaidi ya hapo utaonekana mswahili
Hahaha kwa nini mkuu, ni singo maza huyuNaamini na nauhakika demu wako hajavuka miaka 25???
Hapana mkuu ni mupenzii tuNi mkeo??
Kumbe ni demu wako!!Hapana mkuu ni mupenzii tu
Toa hela, acha kutafuta sababu za kuachwaMkuu huyu tuko kwenye mahusiano kama mwezi na ni mdada ana kazi yake nzuri tu
sasa nashanga kuniambia hana 25k
Ndio nawaza labda ananitafutia sababu nini
Hahaha sawa ila sikutegemea kabisaa mkuu muda huo maana tulikuwa mada tofauti kabisa na ni leo asubuhi -sasa asubuhi kuomba hela wapi na wapiSharti la kwanza, siku zote ukiandikiwa msg ya nikiombe ama nikwambie kitu, usiijibu ikiwezekana zima na simu endapo uwezo wako utakuwa ni wa kudema dema.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwishoNiko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.
Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k
Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado
Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194




...afu acha kulala amka ukateseke 

😂😂😂😂Kumbe ni demu wako!!
Toa hela kijana
Me hela ya kikoba natoa mwenyewe
Sitaki ushirika na mtu kabisa.
Kwenye kuvunja nile matunda yangu mwenyewe.
KabisaMwambie ukweli acha ushamba man, hiyo low confidence ita kukost
Kwanza sijawahi kuomba pesa ya kikobaKumbe ni demu wako!!
Toa hela kijana
Me hela ya kikoba natoa mwenyewe
Sitaki ushirika na mtu kabisa.
Kwenye kuvunja nile matunda yangu mwenyewe.

Yani kumwambia tu mimi sina hela ndo mpaka umblock!!? Wanaume tunapungua sana

yah mmebaki wachache sanaTuanzie hapo kwanzaKwani kutokuwa nayo ni dhambi?
Sema mwanaume unakosaje ki-25K aseee



Sharti la kwanza, siku zote ukiandikiwa msg ya nikiombe ama nikwambie kitu, usiijibu ikiwezekana zima na simu endapo uwezo wako utakuwa ni wa kudema dema.


fala sana wewe