Nipeni mawazo kwenye hili

Nipeni mawazo kwenye hili

mpaka kuombwa yeye kuna wasela kadhaa kama yeye washaombwa. Kati ya 5 mmoja lazima atatuma. Ikitokea wengine wakatuma ni faida kwa muombaji.

Kuna demu niliwahi kumrekebishia simu yake, msg zilikuwa zinagoma kutuma. Nilichokutana nacho whatsapp ana broadcasting group yenye namba kadhaa. Maudhui ya humo ni moja tu. My naomba nitumie (kiasi kadhaa) halafu inatumwa. Sasa hapo kuna wataouchuna, kuna watakaotuma nusu na wapo ambao watatuma yote.

Mwisho wa siku ukiona umeombwa hela usijiumize sana maana kuna wengine kama wewe wameombwa pia hivyo ukiuchuna wewe mwingine atamaliza.
Loooh sie wenye mmoja sasa akiuchuna basi
 
kwa kua ushamuahid na huna basi weka namba yako hapa tuku mpesa wewe ili umhamishie. pia kama cku nyingine sio kila kitu cha kwenye mahusiano unakitoa nje hasa vidogo vidogo kama hivo.

haya weka namba yako hapa nikuwekee 7000 na wengine watajazia
Daaaaah mkuu nashukuru sana

LAKINI kuchangiwa ndio nikampe demu HAPANA,

Tena kwaajili ya kikundi sio kwamba labda ni mgonjwaa..HAPANA

nampenda ila kama ataona nazingua sababu ya hili-fine

hela leo sina nikipata nitampa tu siku yoyote
 
mpaka kuombwa yeye kuna wasela kadhaa kama yeye washaombwa. Kati ya 5 mmoja lazima atatuma. Ikitokea wengine wakatuma ni faida kwa muombaji.

Kuna demu niliwahi kumrekebishia simu yake, msg zilikuwa zinagoma kutuma. Nilichokutana nacho whatsapp ana broadcasting group yenye namba kadhaa. Maudhui ya humo ni moja tu. My naomba nitumie (kiasi kadhaa) halafu inatumwa. Sasa hapo kuna wataouchuna, kuna watakaotuma nusu na wapo ambao watatuma yote.

Mwisho wa siku ukiona umeombwa hela usijiumize sana maana kuna wengine kama wewe wameombwa pia hivyo ukiuchuna wewe mwingine atamaliza.
alafu wengi ni wanaumee wanatumia picha za kikeee... wanaomba elfu 10 au elfu 5 na hataki muonane ili umpee utasikia my ges imeishaa ghaflaa... sasa wewe kuwaa falaa tumaaa umlishe mwanaume mwenzio
 
yanii saa kumi inafikaa chap tuuu 😀 😀 😀 kama umemkulaa bhasi mwambie ukweli kuwa umekwama kupata ila jua ndo penzi litadoda kabisaaa.. sema anyway kuwa single kama huna HELAA maana utaumiza kichwaa bure. elfu 25 huna sasa demu wa watu si unampotezea muda???
nimekwama mkuu
Lakini sio muda wote nakuwa hivyo ni haka kakipindi tu mambo hayajaenda sawa
 
mpaka kuombwa yeye kuna wasela kadhaa kama yeye washaombwa. Kati ya 5 mmoja lazima atatuma. Ikitokea wengine wakatuma ni faida kwa muombaji.

Kuna demu niliwahi kumrekebishia simu yake, msg zilikuwa zinagoma kutuma. Nilichokutana nacho whatsapp ana broadcasting group yenye namba kadhaa. Maudhui ya humo ni moja tu. My naomba nitumie (kiasi kadhaa) halafu inatumwa. Sasa hapo kuna wataouchuna, kuna watakaotuma nusu na wapo ambao watatuma yote.

Mwisho wa siku ukiona umeombwa hela usijiumize sana maana kuna wengine kama wewe wameombwa pia hivyo ukiuchuna wewe mwingine atamaliza.
Hii ni kweli aiseee
 
kuna demu nilikutana nae ndani ya week akawa kanipiga kama 30k hivii nikamuita geto kujaa sijamuweka anaomba hela kwanza nkamwambia ntakupaa akataka 50 yani nkajua huyu ni malaya anajiuzaa nkamchanaa nakupa 20k upwiruuu ukatee aisee akakubali... ikapita week sikumtafutaa akaja kuniambia sijui ana shida nimkope 50k ooho shwaaa shwaaaing japo ni pisiii ila ikabdi nikaze moyoo...
 
nimekwama mkuu
Lakini sio muda wote nakuwa hivyo ni haka kakipindi tu mambo hayajaenda sawa
kwa wanaume wote huo muda upooo mchanee tuu mapemaa usisubiri saa 100 maana ataendaa uza utamu hata kwa 20k
 
mkuu unauzoefuu sanaa na hawa viumbee...yani hapo ashapata uhakika wa hela ya kikoba sasa huyu jamaa aje kuleta ukengeee ghaflaa aiseee huwa wanamind wengine mpaka kutukanaa 😀 😀 😀
Wakaze matako yao baba zao sii wamewasomesha ili wajihudumie
 
Dada angu! Kama ulishapiga simu kwa kaka ukaomba elf 50 ujazie rejesho au kununua hisa wallah me aje aniulize tarehe ya kuvunja. Hakii nampa 🤣🤣🤣👋
Maana hiko ni kikoba chenu, sio chako peke ako 🏃‍♀️🏃‍♂️
🤣🤣🤣🤣
Usije jaribu kunisaliti tafadhali sana naomba, kwa sasa bado najitahidi kuishi kwenye principles zilezile, ila bado sijajua yajayo, I can't promise anything..!!🤭
 
Nitakueleza ukweli, ikiwa unakosa hata 25,000 wala connection hata ya mshikaji kukuazima hiyo hela achana kwanza na mahusiano utulie ujitafute!

What if wewe mwenyewe unapata dharura ya muhimu ya ghafla unaitatuaje?
 
kwa kua ushamuahid na huna basi weka namba yako hapa tuku mpesa wewe ili umhamishie. pia kama cku nyingine sio kila kitu cha kwenye mahusiano unakitoa nje hasa vidogo vidogo kama hivo.

haya weka namba yako hapa nikuwekee 7000 na wengine watajazia
Mungu Akubariki Una Upendo!
 
Moja kati ya pesa ambazo hauakiwi kuumiza akili sana au kukopa ni hizi:-

1. Za kufanyia starehe.
2. Za kuhonga.
3. Za kutoa msaada kwa muhitaji asiyekuwa wa karibu sana.

4. Michango ya harusi ama sherehe.

Kama pesa inahitajika ili kufanikiasha hivyo vitu juu basi hakikisha uwe nayo mkononi na kwamba ukiitoa haikachii stress zozote za kiuchumi, kwenda kukopa au kuumiza akili yako ili upate pesa za kufanyia hayo ni UJINGA.

Kwa leo kama hauna hiyo 25K utafute kwa njia yoyote kwakua umeshamuahidi, lakini kama hautafanikiwa bas kaa kimya mpaka atakapokutafuta umwambie ukweli kuwa umejitahidi kumsaidia ila imeshindikana, na usithubutu kujitetea.

Lakini pia jenga kwanza uchumi wako, achana na mapenzi. Mapenzi sio pesa lakini wote tunajua kuwa hakuna maisha bila pesa na kusaidia ni muhimu dunia ya leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom