Nipeni mawazo kwenye hili

name 97

JF-Expert Member
Apr 1, 2023
200
541
Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.Na hajawahi niomba hela. Leo ameniomba 25k.

Lakini hali yangu sio poa, na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.

Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho.

Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee.

Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado. Sasa nawaza, Je nitakuwa sahihi?

Screenshot_20230617-095627.jpg
 
Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.

Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k

Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.

Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho

Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee

Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado

Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194

Mwambie ukweli acha ushamba man, hiyo low confidence ita kukost
 
Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.

Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k

Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.

Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho

Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee

Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado

Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194
Acha wenge mwambie tu huna ila siku ukipata mtumie bila Ata yeye kuombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom