Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.Na hajawahi niomba hela. Leo ameniomba 25k.
Lakini hali yangu sio poa, na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho.
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee.
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado. Sasa nawaza, Je nitakuwa sahihi?
Lakini hali yangu sio poa, na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho.
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee.
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado. Sasa nawaza, Je nitakuwa sahihi?