Black Bolt
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 257
- 418
Mwezi mzima ndio kamuomba pesa huyo sio ombaomba hapo tatizo ni Mwanaume Hana pesa#kataaa omba omba ..tembe na hashtag iyo chifuuu utanishkru badae![]()
Mwezi mzima ndio kamuomba pesa huyo sio ombaomba hapo tatizo ni Mwanaume Hana pesa#kataaa omba omba ..tembe na hashtag iyo chifuuu utanishkru badae![]()
Ila huyu ananivulimilia Sana yaani ni mke wakuoa ingekuwa na kapesa kadogo tu love ingekuwa shatashata ila tatizo mimi Sina pesa kabisa so hata hizo ndogo zinanipa mishindo![]()

sasa kwann unamucha mkuu si ungesubil uone uvumilivu wake utaishia wapiYaani unashindwa kumwambia ukweli kwamba atakunyonga ama![]()


amna nilikuwa nahisi ataona nazingua na ataniblock..sasa ili nisiumie nilitaka nimblock mimi mapemaNimesema bado Niko nae nimemuacha leo Kesho tumerudianasasa kwann unamucha mkuu si ungesubil uone uvumilivu wake utaishia wapi