Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,245
ila ilikua kwa nia njema tu . any way sio kesi kivileLabda amejisikia vibaya
ila ilikua kwa nia njema tu . any way sio kesi kivileLabda amejisikia vibaya
🏃♂️🏃♂️🏃♂️🤣🤣🤣🤣
Usije jaribu kunisaliti tafadhali sana naomba, kwa sasa bado najitahidi kuishi kwenye principles zilezile, ila bado sijajua yajayo, I can't promise anything..!!🤭
😂😂😂😂Hela utatoa mwenyewe ila kwenye kuvunja tutakutana mezani.
😂😂
Sasa unafikiri ukiachana na wazazi wako, ni nani atakula hizo hela zako?😂😂😂😂
Nakataga tamaa namna unajua kujiamini hivi, ni kwanini lakini.?
Akadange kwengine mapema cioYani hapo inatakiwa amwambie mapema dada wa watu kuwa hana hela ili akadange pengine sio sa kumi ifike ndio aseme mwenzie atachanganyikiwa![]()


😂😂😂Sasa unafikiri ukiachana na wazazi wako, ni nani atakula hizo hela zako?
We tunza tu, sawa eeh?😄
Umeaona sasa? Hakuna namna, lazima ziliwe tu.😂😂😂
Wanangu na baba yao..!!
Bila pesa changamoto sana hawa watuNimetoka kuua mahusiano week iliyopita tu ila bado tupo tena mpaka sasa kutokua na pesa mahusiano utapata shida halafu hata apendi pesa Sana walanini pesa niliyompa kubwa haivuki 10,000 ila tatizo lake moja tukikaa mala asimulie stori zinazoondoka anauhitaji wa pesa ile mfano daah ningapata 60,000 nikawa naji feel Kama Sina msaada Sasa Kama anani toucher kisaikolojia nikasema Bora tubaki marafiki tu
View attachment 2660762
Hilo mbona dogo mueleze ukweli kwama huna ili atafute poli jingineNiko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.Na hajawahi niomba hela. Leo ameniomba 25k.
Lakini hali yangu sio poa, na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho.
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee.
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado. Sasa nawaza, Je nitakuwa sahihi?
View attachment 2660194
Ila huyu ananivulimilia Sana yaani ni mke wakuoa ingekuwa na kapesa kadogo tu love ingekuwa shatashata ila tatizo mimi Sina pesa kabisa so hata hizo ndogo zinanipa mishindo 🤣Bila pesa changamoto sana hawa watu