Nipeni mawazo kwenye hili

Nipeni mawazo kwenye hili

yanii saa kumi inafikaa chap tuuu 😀 😀 😀 kama umemkulaa bhasi mwambie ukweli kuwa umekwama kupata ila jua ndo penzi litadoda kabisaaa.. sema anyway kuwa single kama huna HELAA maana utaumiza kichwaa bure. elfu 25 huna sasa demu wa watu si unampotezea muda???
 
😂😂😂😂
mdogo wangu una mipango ya muda mrefu, me kuna mtu kaniambia atanibebisha mpaka tuvunje wote...!!

Mac Alpho
Dada angu! Kama ulishapiga simu kwa kaka ukaomba elf 50 ujazie rejesho au kununua hisa wallah me aje aniulize tarehe ya kuvunja. Hakii nampa 🤣🤣🤣👋
Maana hiko ni kikoba chenu, sio chako peke ako 🏃‍♀️🏃‍♂️
 
Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.

Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k

Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.

Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho

Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee

Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado

Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194
Wee njoo chaputa mzeya...vizuri umekubaliana na hali yako kuwa huwezi kumiliki demu.
Mie nilivyogundua hilo nimekuwa na amani sana maishani
 
Kwanza sijawahi kuomba pesa ya kikoba

Nakomaa mwenyewe,nitaomba za vocha nk.
Kabisa yan
Bora usogeze hela ya mafuta ukagonge hisa zako, af ya mafuta uendelee kuomba.

Ila kikoba hamna 😂😂
 
yanii saa kumi inafikaa chap tuuu 😀 😀 😀 kama umemkulaa bhasi mwambie ukweli kuwa umekwama kupata ila jua ndo penzi litadoda kabisaaa.. sema anyway kuwa single kama huna HELAA maana utaumiza kichwaa bure. elfu 25 huna sasa demu wa watu si unampotezea muda???
Yani hapo inatakiwa amwambie mapema dada wa watu kuwa hana hela ili akadange pengine sio sa kumi ifike ndio aseme mwenzie atachanganyikiwa
 
Yani hapo inatakiwa amwambie mapema dada wa watu kuwa hana hela ili akadange pengine sio sa kumi ifike ndio aseme mwenzie atachanganyikiwa
mkuu unauzoefuu sanaa na hawa viumbee...yani hapo ashapata uhakika wa hela ya kikoba sasa huyu jamaa aje kuleta ukengeee ghaflaa aiseee huwa wanamind wengine mpaka kutukanaa 😀 😀 😀
 
mkuu unauzoefuu sanaa na hawa viumbee...yani hapo ashapata uhakika wa hela ya kikoba sasa huyu jamaa aje kuleta ukengeee ghaflaa aiseee huwa wanamind wengine mpaka kutukanaa 😀 😀 😀
Na penzi litaishia hapo
 
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho

kwani mliingia mkataba wa kupeana pesa??,why you man hamjiamini mwambie huna hela kwa kipindi hiki mbona simple tu sio wanawake wote wanataka hela kwa wanaume unaweza mwambia na akakuelewa na penzi likaendelea,ukimblock nafsi itakusuta alafu kwani hapajui kwako si atakuja kukudai hukohuko maghetoni ...afu acha kulala amka ukateseke
daaah sawa mkuu
 
Yani hapo inatakiwa amwambie mapema dada wa watu kuwa hana hela ili akadange pengine sio sa kumi ifike ndio aseme mwenzie atachanganyikiwa
mpaka kuombwa yeye kuna wasela kadhaa kama yeye washaombwa. Kati ya 5 mmoja lazima atatuma. Ikitokea wengine wakatuma ni faida kwa muombaji.

Kuna demu niliwahi kumrekebishia simu yake, msg zilikuwa zinagoma kutuma. Nilichokutana nacho whatsapp ana broadcasting group yenye namba kadhaa. Maudhui ya humo ni moja tu. My naomba nitumie (kiasi kadhaa) halafu inatumwa. Sasa hapo kuna wataouchuna, kuna watakaotuma nusu na wapo ambao watatuma yote.

Mwisho wa siku ukiona umeombwa hela usijiumize sana maana kuna wengine kama wewe wameombwa pia hivyo ukiuchuna wewe mwingine atamaliza.
 
mpaka kuombwa yeye kuna wasela kadhaa kama yeye washaombwa. Kati ya 5 mmoja lazima atatuma. Ikitokea wengine wakatuma ni faida kwa muombaji.

Kuna demu niliwahi kumrekebishia simu yake, msg zilikuwa zinagoma kutuma. Nilichokutana nacho whatsapp ana broadcasting group yenye namba kadhaa. Maudhui ya humo ni moja tu. My naomba nitumie (kiasi kadhaa) halafu inatumwa. Sasa hapo kuna wataouchuna, kuna watakaotuma nusu na wapo ambao watatuma yote.

Mwisho wa siku ukiona umeombwa hela usijiumize sana maana kuna wengine kama wewe wameombwa pia hivyo ukiuchuna wewe mwingine atamaliza.
Kabisa huo ndio ukweli
 
Labda hana rejesho
Elf 25 ni hisa 5 za week.

Kuna wale wa hisa 1 elf2.. huyu ten tu kwa week
Kwetu hisa moja elf 5, na kuna ka buku hapa ka maafa looh jumla buku sita,

Kama sina nakubali nitoe adhabu ya buku kuliko kutangaza naomba naomba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom