- Thread starter
- #21
sifikiri..uchumi wangu haujawa stable badoUnahisi uko tayari kuingia kwenye mahusiano kaka?
sifikiri..uchumi wangu haujawa stable badoUnahisi uko tayari kuingia kwenye mahusiano kaka?
nashukuru mkuu ngoja nimchane tu liwalo na liweMwambie tu ukweli kua huna, hiko ndo kipimo sahihi, akikuacha kisa hicho atakua kakupunguzia mzigo sana, akikuelewa ujue una mwanamke!!!.
Cha msingi pambana, bila pesa sa ivi aisee sijui nikuambiaje
Shukran mkuuMie nina mwanamke kila wiki huwa nampa elf 20 ya matumizi,miezi kama 2 mambo yamekwenda tofauti sana.nilimueleza kuwa kwa sasa sitoweza kuwa nakupa fedha hizo-nipe muda kidogi tuta resume.
Amelewa na maisha yanaendelea-kuwa muwazi.
Usikute hana..😂Embu tuambie jinsia yako
Hapana usimdanganye mwambie babe niko ovyo nisamehe...akinuna basi ana walakiniNiko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.
Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k
Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumblock-kama defensive mechanism nisiumie kivilee
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado
Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194
Sasa mbona unasumbua watoto wa watu kaka. Elfu 25 ndio umblock mtu? Tena ambae hajakuomba hela tangu muanze mahusiano?sifikiri..uchumi wangu haujawa stable bado
Hahaha sikutegemea mkuu tulikuwa tunaongea mada nyingine kabisaaKwenye kikao cha wanaume tulikubaliana akikwambia nikuombe ktu usijib kamwe huo ni mtego..
Hahaha sikutegemea mkuu tulikuwa tunaongea mada nyingine kabisaa
Nalijua anaendeleza mada..akaingizia hilo
amna mkuu haikuwa planned,kuna mazingira aliyatengeneza..nikaona nisionekane falaSasa mbona unasumbua watoto wa watu kaka. Elfu 25 ndio umblock mtu? Tena ambae hajakuomba hela tangu muanze mahusiano?
Jambo la maana we jiblock mwenyewe kwenye mahusiano.
Jambo la maana we jiblock mwenyewe kwenye mahusiano.
Ahahahaha ahahahaha hahahaha hatari sanaKwenye kikao cha wanaume tulikubaliana akikwambia nikuombe ktu usijib kamwe huo ni mtego..