Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,556
- 2,585
kama kichwa kinavyosema binafsi naamini JF ina watu wenye maujuzi yao, embu tupeane ABC ya njia mmbadala zenye unafuu baada ya serikali ya wanyonge kunyonga wanyonge wao kwa bei zisizovumilika za vifurushi vya internet.
NB:natoa onyo kwa maana kuna watu watataka kuutumia huu uzi kama sehemu yao ya kutapeli watu.
NB:natoa onyo kwa maana kuna watu watataka kuutumia huu uzi kama sehemu yao ya kutapeli watu.