Killocharlie
Member
- Nov 28, 2017
- 22
- 55
Nadhani haya ni matokeo ya ile hotuba ya ndugu lile aliyoitoa kwenye vyombo vya habari kuwa pesa zinazotokana na simu za kimataifa zimeshuka Sana kwa sababu ya uwepo wa option ya kuongea na mtu katika mitandao mingi ya kijamii na kuahidi kulifanyia kazi. Ni hatua mbaya kabisa kuwahi kutokea katika mawasiliano hapa nchini.Ndio shida yetu Watanzania tunaridhika mapema lakini waziri alipaswa kuliongelea hili sababu aliahidi vitashuka matokeo vimepanda, kama kazi imemshinda aseme wapo wataalam wanaweza kufit.
