Loudspeaker
Member
- Feb 8, 2021
- 88
- 107
umewaza jambo la mbolea sana mkuu tatizo hiyo inahitaji capital kubwa na nguvu ya kuhimili siasa itakayojitokeza
Tunaweza tukakaa na ku brain storm capital tunaipata vipi,,lakini tukishakuwa as a company,,ata kupata mfadhiri inakuwa rahisi,,cause internet itakuwa under popular demand in the coming weeks...ngoja mabando ya nyuma ya wengi yaanze kuisha