Nini maana ya Professor na Doctor(PhD)?

Nini maana ya Professor na Doctor(PhD)?

Wazungu wengi wanapenda kuitwa majina yao ,kuna mmoja nilikua nikimwita professor hataki anataka kina lake
 
professor niliwahi kusikia ni yule ambae amefanya utafiti UNIQUE sana juu ya jambo fulani, ambalo halikuwahi kufanywa hapo nyuma sana

Na amevumbua jambo ambalo lililkuwa likisumbua sana watu kwa kulifanyia utafiti wa kina

mi najua kidoogo hivyo kuhusu Professor
Na u' Professor nao una hatua kama Phd. Kwenye Phd ni tafiti ulizozifanya na kutoa majarida mbalimbali kuhusu hizo tafiti pamoja na kufundisha kwenye ulichobobea.. Juhudi na maarifa ya kufanya tafiti yanakupeleka mpaka kwenye level ya u' senior. Ukishatoka level ya u' senior ndiyo unakaribia uprofessor.
 
Na u' Professor nao una hatua kama Phd. Kwenye Phd ni tafiti ulizozifanya na kutoa majarida mbalimbali kuhusu hizo tafiti pamoja na kufundisha kwenye ulichobobea.. Juhudi na maarifa ya kufanya tafiti yanakupeleka mpaka kwenye level ya u' senior. Ukishatoka level ya u' senior ndiyo unakaribia uprofessor.
ASANTE MKUU KWA NYONGEZA
 
professor niliwahi kusikia ni yule ambae amefanya utafiti UNIQUE sana juu ya jambo fulani, ambalo halikuwahi kufanywa hapo nyuma sana

Na amevumbua jambo ambalo lililkuwa likisumbua sana watu kwa kulifanyia utafiti wa kina

mi najua kidoogo hivyo kuhusu Professor
Mi nimekuvua jose nipe uprofesa
 
Ila kwa Tanzania ni ulimbukeni wa elimu. Mfano mzuri angalia hata kwenye vyuo vyetu hususani Udsm, wanajiona ni special sana. Mwengine ukimsalimia pasipo kumuita doctor au Prof. haitiki.
 
Professor kwa Tanzania ni highest academic rank. Kwa nchi nyingine Professor inamaanisha mwalimu wa chuo kikuu, mfano India. Ujerumani, Professor mwenye PhD huitwa Prof. Dr .Inategemea na nchi. Tukirudi hapa Tanzania, requirement ya kuwa Professor ni kufanya machapisho kadhaa baada ya PhD. Inategemeana na chuo. Mfano vyuo vya umma, kuwa Associate Prof, inabidi uwe umekaa kwenye Senior Lecturer kwa miaka anagalau mitatu, una machapisho angalau zaidi ya sita (ikumbuki idadi) kama ni machapisho ambayo hukushirikiana na mtu
 
Tukirudi hapa Tanzania, requirement ya kuwa Professor ni kufanya machapisho kadhaa baada ya PhD.

Kwa UDSM, zamani [sina hakika kwa sasa] kuwa associate professor au professor haikuwa lazima uwe na PhD.

Wapo nawafahamu waliokuwa ma professor bila kuwa na PhD. Nadhani sasa watakuwa wameshastaafu hapo.

Pia enzi hizo hao ma university dons walikuwa na siasa zao hapo chuoni.

Kwa mujibu wa stori zao, kuna wengine walikuwa wanapendelewa katika kutunukiwa huo uprofesa. Wengine walikuwa wanabaniwa. Na kadhalika.

Vilevile, wenyewe walikuwa wanatambiana kati ya waliosoma nchi za Magharibi [US, Canada, UK, etc] na wale waliosoma nchi za Mashariki [Urusi, Chekoslovakia, Romania, Yugoslavia, nk].

Eti waliosomaga nchi za magharibi ndo walikuwa na ujiko zaidi na walikuwa wakijidai zaidi.

Hahahaaa mambo ya wasomi hayo.
 
Nimekuelewa, but kinachonitatiza nimetolea mfano Obama ana PHD lakini sikuwahi kusikia au kusoma akiitwa Doctor.

Utofauti upo wapi?
Ni uamuzi tu. Siyo lazima ukiwana PhD uitwe Dr. Ni kama kwa mwalimu Nyerere lakini Magufuli haitwi mwalimu Magu japo alishakuwa mwalimu.
 
Habari zenu wadau wa JF.

Hivi Ni vigezo gani hutumika mpaka mtu aitwe Proffesor au Doctor.Doctor ninayemzungumzia ni yule mwenye PHD sio hospitali.

Nimeuliza hivi kwa sababu, Tanzania mtu yeyote mwenye shahada ya uzamivu huitwa Doctor(Dr).

Lakini nimesoma biography ya Barrack Obama na Hillary Clinton na nikagundua wamesoma mpaka level ya PHD lakini sijawahi kusikia wanaitwa Doctor tofauti na hapa kwetu.

Mfano rais wetu John Pombe Magufuli ana PHD anaitwa Doctor.Obama pia ana PHD na aliwahi kufundisha Chuo kikuu ila sikuwahi kusikia akiitwa Doctor au Proffesor.

Hii imekaaje ndugu wa JF naomba kuelimishwa.
Doctor ni mtu mwenye PhD. Yaweza kuwa ya kusomea au ya heshima. Na PhD ya kusomea inapatikana baada kupata ya kwanza (Bachelor) na ya pili (Masters).

Professor ni mtu mwenye PhD ambaye amepanda hadi kufikia ngazi hiyo kuanzia mhadhiri, mhadhiri mwandamizi, profesa mshiriki hadi profesa kamili. Vigezo vya kupanda kimsingi ni uchapishaji wa makala/vitabu kwenye majarida yenye hadhi inayokubalika. Wenye nyodo nyingi hapa Tanzania, huo uprofesa kamili bado hawajafikia.

Angalau huo ndiyo mfumo wa Tanzania. Kule England, wanaamini kwamba bwawa haliwezi kuwa na kambale wote wenye ndevu. Hivyo uprofesa huandamana na cheo cha mkuu wa kitengo au idara kwenye taasisi za elimu ya juu. Kitengo huwa na profesa mmoja akiongoza kitengo husika. Ndiyo maana hakuna utitiri wa maprofesa kama Bongo.
 
Kwa UDSM, zamani [sina hakika kwa sasa] kuwa associate professor au professor haikuwa lazima uwe na PhD.

Wapo nawafahamu waliokuwa ma professor bila kuwa na PhD. Nadhani sasa watakuwa wameshastaafu hapo.

Pia enzi hizo hao ma university dons walikuwa na siasa zao hapo chuoni.

Kwa mujibu wa stori zao, kuna wengine walikuwa wanapendelewa katika kutunukiwa huo uprofesa. Wengine walikuwa wanabaniwa. Na kadhalika.

Vilevile, wenyewe walikuwa wanatambiana kati ya waliosoma nchi za Magharibi [US, Canada, UK, etc] na wale waliosoma nchi za Mashariki [Urusi, Chekoslovakia, Romania, Yugoslavia, nk].

Eti waliosomaga nchi za magharibi ndo walikuwa na ujiko zaidi na walikuwa wakijidai zaidi.

Hahahaaa mambo ya wasomi hayo.
Spot on!
Hadi wa chupi!
 
Kwa UDSM, zamani [sina hakika kwa sasa] kuwa associate professor au professor haikuwa lazima uwe na PhD.
Scheme of service ni moja sasa hivi na hiyo ndo requirement kwa vyuo vyote vya public. Zamani iliwezekana kuwa Prof bila PhD. Ila kwa sasa, kwanza kuwa Senior Lecturer lazima uwe tayari ulishapata PhD, na hiyo ni one rank before associate professorship
 
Kuna tofauti kati ya:

Dr. Barrack Obama
Barrack Obama (PhD)

Tofauti hii ni kiuandishi, japo kusomeka yote yanatamkwa sawa

Jina la kwanza kitaaluma ni Daktari anaehusika na mambo ya tiba yaani Medical Doctor (MD)

Jina la pili ni Daktari katika ngazi ya elimu.

Wenzetu wameweza kutofautisha Doctor ya kutibu na Doctor ya elimu kwa kuziandika, japo zote zinajulikana ni Doctor.

Anaetakiwa kuanza na Dr kisomi ni Doctor wa Afya. Wengine wote wanatakiwa kuandika majina yao na mwisho kuongeza neno (PhD).

Kutokana na hilo madakatari (PhD) wengi walioendelea wanaongeza neno PhD mwisho wa majina yao pale tu wanapoandika kitu kitaaluma, au kutoa ushauri wa fani au kama anafundisha chuo, au kama anawasiliana na taasisi fulani kitaalamu analazimika kuongeza neno PhD ili kutambulisha level yake ya kielimu na kwamba aliyoyaandika yanaendana na taaluma au level ya mtu wa PhD. So wakati wakiwa wanafanya vingine ambavyo havihusiani na hivyo nilivyotaja hawana haja ya kutambulisha level yao ya elimu

Kwetu sisi kwanza tunakosea maana halisi ya PhD na MD Medical Doctor.

Tumeona ni fahari kuitwa Doctor, bila kujua Doctor inayozungumzwa ni ile ya PhD inayoandikwa kwenye mabano mwisho wa jina. Badala yake tumehalalisha Doctor ya Afya kuwa Doctor ya elimu, na majina yetu yanaanza na jina Dr

Jina sahihi linatakiwa

Doctor Rebecca Peter, kwenye kutamka. Lakini kwa kuandikwa jina hilo linaandikwa Rebecca Peter (PhD) na sio Dr Rebecca Peter.

Hon John Pombe Magufuli (PhD)

Kutamka tuko sawa ila kuandika ndo wengi tumeingia chaka

Baharia Chomboni (PhD)
 
Kuna tofauti kati ya:

Dr. Barrack Obama
Barrack Obama (PhD)

Tofauti hii ni kiuandishi, japo kusomeka yote yanatamkwa sawa

Jina la kwanza kitaaluma ni Daktari anaehusika na mambo ya tiba yaani Medical Doctor (MD)

Jina la pili ni Daktari katika ngazi ya elimu.

Wenzetu wameweza kutofautisha Doctor ya kutibu na Doctor ya elimu kwa kuziandika, japo zote zinajulikana ni Doctor.

Anaetakiwa kuanza na Dr kisomi ni Doctor wa Afya. Wengine wote wanatakiwa kuandika majina yao na mwisho kuongeza neno (PhD).

Kutokana na hilo madakatari (PhD) wengi walioendelea wanaongeza neno PhD mwisho wa majina yao pale tu wanapoandika kitu kitaaluma, au kutoa ushauri wa fani au kama anafundisha chuo, au kama anawasiliana na taasisi fulani kitaalamu analazimika kuongeza neno PhD ili kutambulisha level yake ya kielimu na kwamba aliyoyaandika yanaendana na taaluma au level ya mtu wa PhD. So wakati wakiwa wanafanya vingine ambavyo havihusiani na hivyo nilivyotaja hawana haja ya kutambulisha level yao ya elimu

Kwetu sisi kwanza tunakosea maana halisi ya PhD na MD Medical Doctor.

Tumeona ni fahari kuitwa Doctor, bila kujua Doctor inayozungumzwa ni ile ya PhD inayoandikwa kwenye mabano mwisho wa jina. Badala yake tumehalalisha Doctor ya Afya kuwa Doctor ya elimu, na majina yetu yanaanza na jina Dr

Jina sahihi linatakiwa

Doctor Rebecca Peter, kwenye kutamka. Lakini kwa kuandikwa jina hilo linaandikwa Rebecca Peter (PhD) na sio Dr Rebecca Peter.

Hon John Pombe Magufuli (PhD)

Kutamka tuko sawa ila kuandika ndo wengi tumeingia chaka

Baharia Chomboni (PhD)
Ndugu umeandika huku umejaa wivu na uchungu mwingi ndani yako. Kwani MTU akiitwa Dr/Doctor/Professor wewe unapoteza nini? Wacha MTU ajivunie mafanikio yake kitaaluma. MTU kamenyeka na PhD wewe unampangia ajiiteje? **Wivu sio mzuri ndugu**
 
ukiwa na Bachelor > Tutorial Assistant
Masters > Instructor
PhD > Lecturer
PhD ( experience ya mda mrefu as Lecturer ) > Senior Lecturer
PhD ( experience ya mda mrefu as Senior Lecturer ) > Associate Professor
PhD ( ukishafanya ma research yao ) > Full Professor

so kuna tofauti kati ya Associate Professor na Full Professor
Wengi tulionao ni Associate Professor
Kwa mfano bongo full professor ni kama nani mkuu
 
Back
Top Bottom