Nini maana ya Professor na Doctor(PhD)?

Nini maana ya Professor na Doctor(PhD)?

Obama hajasoma level ya Ph.D, ila technically ni Juris Doctor kwa sababu ana degree ya sheria. Degree ya Sheria Marekani ni Juris Doctor (J.D)Kwa hiyo angependa maujiko angejiita Dr. Obama.

Nchi kama Marekani, si ma doctor wote wana Ph.D. Kunda ma doctor wengine wana Ed.D (Doctor of Education) au Psy.D (Doctor of Psychology)

Jamii zilizoendelea kielimu, kama mtu hayupo katika kazi za kufundisha au research, kujiita Dr. inaonekana ulimbukeni.

Watu kama Waziri wa Ulinzi wa zamani wa Marekani Robert Gates, ana Ph.D, lakini alikuwa anaitwa tu Defense Secretary, Robert Gates. Kwa sababu mtu kuwa na doctorate si kitu cha ajabu.

Watu wengine ambao wana Ph.D lakini mara nyingi husikii wakiitwa "Dr" ni Condoleeza Rice na Susan Rice.

Kuhusu tofauti ya Dr na Professor, inategemea na mfumo wa nchi.

Kwa Marekani, Professor ni mtu anayefundisha chuo Kikuu tu. Nakumbuka wakati naanza chuo, kuna Professor mmoja tulimuita Dr., tukifikiri ni Dr., akatusahihisha kwamba yeye hajafanya doctorate degree yake bado, kwa hiyo tusimuite Dr. yeye ni Profesa tu.

Lakini kwa Tanzania, nilivyoona, ni kwamba, U Profesa ni cheo fulani, kwa hiyo kuna watu wengi wenye doctorate zao ni ma Doctor so and so, lakini hawajafikia cheo cha u Profesa.

Hata Chelsea Clinton ana PhD. Lakini sijawahi ona popote akiitwa Dr. Clinton...
 
PhD ni shahada ya juu kabisa katika mtiririko wa elimu duniani. Hii ni shahada inayoambatana na majukumu kadha wa kadha katika nyanja za kitaaluma. Lakini pia ni shahada ngumu sana kuipata, na ni shahada ambayo mwenye nayo, katika mazingira ya kawaida, ana utofauti mkubwa na watu wasiyo nayo.. achana na zile za kuchakachua
 
point of interruption unaweza kuwa na masters ukiwa huna PhD na bado ukawa proffessor.
PhD ndio mtaaluma kuliko proffessor.Proffessor ni kufundisha chuo kikuu muda flani na ukaandika research paper nyingi.
Kuwa na PhD sio lazima ufundishe.
Kuna udr wa heshima ila hakuna uproffessor wa heshima lazima ushike chaki
 
ukiwa na Bachelor > Tutorial Assistant
Masters > Instructor
PhD > Lecturer
PhD ( experience ya mda mrefu as Lecturer ) > Senior Lecturer
PhD ( experience ya mda mrefu as Senior Lecturer ) > Associate Professor
PhD ( ukishafanya ma research yao ) > Full Professor

so kuna tofauti kati ya Associate Professor na Full Professor
Wengi tulionao ni Associate Professor
 
Habari zenu wadau wa JF.

Hivi Ni vigezo gani hutumika mpaka mtu aitwe Proffesor au Doctor.Doctor ninayemzungumzia ni yule mwenye PHD sio hospitali.

Nimeuliza hivi kwa sababu, Tanzania mtu yeyote mwenye shahada ya uzamivu huitwa Doctor(Dr).

Lakini nimesoma biography ya Barrack Obama na Hillary Clinton na nikagundua wamesoma mpaka level ya PHD lakini sijawahi kusikia wanaitwa Doctor tofauti na hapa kwetu.

Mfano rais wetu John Pombe Magufuli ana PHD anaitwa Doctor.Obama pia ana PHD na aliwahi kufundisha Chuo kikuu ila sikuwahi kusikia akiitwa Doctor au Proffesor.

Hii imekaaje ndugu wa JF naomba kuelimishwa.
PhD maana yake ni Permanent head demage
 
Nimekusoma vizuri.

Nilichokielewa zaidi ni kwamba Kuna tofauti Kati ya nchi na nchi.

Sema Tanzania Kuna ka harufu kakupenda maujiko.
Marekani Profesa wa kawaida hata mimi nampita mshahara, ni mtu wa kawaida sana. Ni mwalimu tu.

Wako wengi sana.Tena wengi sana wanafanya deiwaka.Hawana tenure.

Huko kwetu "mashikolo mageni genaga" bado tunashangaa.

Ndiyo maana mtu kuwa doctor ujiko bado.
 
ukiwa na Bachelor > Tutorial Assistant
Masters > Instructor
PhD > Lecturer
PhD ( experience ya mda mrefu as Lecturer ) > Senior Lecturer
PhD ( experience ya mda mrefu as Senior Lecturer ) > Associate Professor
PhD ( ukishafanya ma research yao ) > Full Professor

so kuna tofauti kati ya Associate Professor na Full Professor
Wengi tulionao ni Associate Professor
Hii ni kwa mifumo ya Tanzania.Marekani Professor ni mwalimu wa Chuo Kikuu hata kama hana Ph.D.
 
Hiyo isikuumize kichwa mkuu, hakuna kanuni, tunatofautiana kati ya nchi na nchi, kati ya taaluma na taaluma, kati ya mtu na mtu.
PhD holder yeyote anaweza jiita Doctor, hivyo wasiojiita hivyo huku wana hiyo ngazi ya elimu ni uamuzi wao.

Uprofessa ni cheo cha kutunukiwa, sio kusomea. Mtu anaweza soma miaka 100 na asije kuwa profresa. Chuo au training school kupitia baraza la wanataaluma wa fani fulani ndio wanaweza mtunikia mtu fulani ambaye naye ni mwanataaluma cheo cha uprofesa. Na mara zote profesa anakuwa aliishafikia level ya PhD.
Mfano Rais mstaafu Kikwete alitunukiwa cheo cha Uprofesa toka China kama sijakosea baada ya kuwa wametambua mchango wake katika maswala yanayohusiana na hao wanataaluma toka hicho chuo.

Kwa fani kama za udaktari, mpaka kuja kuwa profesa inatakiwa kuwa uliishafanya kazi chini ya profesa ukiwa kama mkuu wa kitengo fulani(director) wakati huo unakuwa unaitwa Assistant professor, baada ya muda huyo profesa anaweza kuku-appoint uwe profesa kamili hapo litakaa jopo la maprofesa wa hiyo fani kukutest kidogo kuona kama umeiva vyema, na kwa fani nyingine hakuna huo mchatako ni kuitwa tu jina na kutunikiwa tittle ya uprofessa maadam umekizi vigezo.
 
Doctor utamkuta anapiga watu sindano kwa zahanati.
Professor ni kame vile maji marefu yaani mganga wa jadi.
Kwa ujumla prof na doctor wote ni waganga sema mmoja anatibu vidonda mwingine anatoa majini
 
Obama hajasoma level ya Ph.D, ila technically ni Juris Doctor kwa sababu ana degree ya sheria. Degree ya Sheria Marekani ni Juris Doctor (J.D)Kwa hiyo angependa maujiko angejiita Dr. Obama.

Nchi kama Marekani, si ma doctor wote wana Ph.D. Kunda ma doctor wengine wana Ed.D (Doctor of Education) au Psy.D (Doctor of Psychology)

Jamii zilizoendelea kielimu, kama mtu hayupo katika kazi za kufundisha au research, kujiita Dr. inaonekana ulimbukeni.

Watu kama Waziri wa Ulinzi wa zamani wa Marekani Robert Gates, ana Ph.D, lakini alikuwa anaitwa tu Defense Secretary, Robert Gates. Kwa sababu mtu kuwa na doctorate si kitu cha ajabu.

Watu wengine ambao wana Ph.D lakini mara nyingi husikii wakiitwa "Dr" ni Condoleeza Rice na Susan Rice.

Kuhusu tofauti ya Dr na Professor, inategemea na mfumo wa nchi.

Kwa Marekani, Professor ni mtu anayefundisha chuo Kikuu tu. Nakumbuka wakati naanza chuo, kuna Professor mmoja tulimuita Dr., tukifikiri ni Dr., akatusahihisha kwamba yeye hajafanya doctorate degree yake bado, kwa hiyo tusimuite Dr. yeye ni Profesa tu.

Lakini kwa Tanzania, nilivyoona, ni kwamba, U Profesa ni cheo fulani, kwa hiyo kuna watu wengi wenye doctorate zao ni ma Doctor so and so, lakini hawajafikia cheo cha u Profesa.
Kiranga kichwa kiko vizuri. Ila mbona huu muda wa kazi uko jf?
 
1. Dr. - Holder wa degree tatu katika eneo moja la maarifa. Anakuwa mbobezi wa eneo hilo. Bachelor degree, Masters degree, na Doctor of Philosophy. Muhimu eneo moja la maarifa.

2. Profesor- Katimiza kigezo 1. + tafiti nyingi katika eneo husika, vigezo huweza kutofautiana kutoka taasisi moja kwenda nyingine, ili kufikia hatua hii.

2*. Profesor-Katimiza kigezo 1. + kafanya tafiti ama jambo ambalo ni unique pia linathibitika kitaalamu.

Mtu kujitambulisha/kutojitambulisha kwa ngazi yake ya elimu ni utashi binafsi bado haipunguzi lolote katika hadhi yake kielimu.
 
Habari zenu wadau wa JF.

Hivi Ni vigezo gani hutumika mpaka mtu aitwe Proffesor au Doctor.Doctor ninayemzungumzia ni yule mwenye PHD sio hospitali.

Nimeuliza hivi kwa sababu, Tanzania mtu yeyote mwenye shahada ya uzamivu huitwa Doctor(Dr).

Lakini nimesoma biography ya Barrack Obama na Hillary Clinton na nikagundua wamesoma mpaka level ya PHD lakini sijawahi kusikia wanaitwa Doctor tofauti na hapa kwetu.

Mfano rais wetu John Pombe Magufuli ana PHD anaitwa Doctor.Obama pia ana PHD na aliwahi kufundisha Chuo kikuu ila sikuwahi kusikia akiitwa Doctor au Proffesor.

Hii imekaaje ndugu wa JF naomba kuelimishwa.
Ni PhD siyo PHD. - Doctor (D) of Philosophy (Ph).
 
1. Dr. - Holder wa degree tatu katika eneo moja la maarifa. Anakuwa mbobezi wa eneo hilo. Bachelor degree, Masters degree, na Doctor of Philosophy. Muhimu eneo moja la maarifa.

2. Profesor- Katimiza kigezo 1. + tafiti nyingi katika eneo husika, vigezo huweza kutofautiana kutoka taasisi moja kwenda nyingine, ili kufikia hatua hii.

2*. Profesor-Katimiza kigezo 1. + kafanya tafiti ama jambo ambalo ni unique pia linathibitika kitaalamu.

Mtu kujitambulisha/kutojitambulisha kwa ngazi yake ya elimu ni utashi binafsi bado haipunguzi lolote katika hadhi yake kielimu.
Tafiti ngapi zina mfanya awe professor kamili, maana bongo kuna Associate professor na Professor sijui kama nazo ni tofauti?
 
Hahah inawezekana, lakini kuna kipindi nilikuwa nasoma Marekani Accounting, Dada aliyenifundisha hakuwa na Phd, lakini alikuwa anaitwa Professor...na siyo huyo tu, kuna wengi nimekutana nao hawana PhD lakini wanaitwa professor. hivyo nikaamini siyo lazima kuwa na PhD kuwa professor.
 
Sasa kwa nini tusipende maujiko wakati tumetokea kule ambako mbuga yote ipo kagera alafu tukaaminishwa ipo Dar
 
PhD ndiyo shahada ya juu kabisa kutolewa na chuo kikuu, unahitaji kuwa na PhD ili utambulike kama Professor, Professor ni cheo cha mtu anae anaefisha research na taaluma wa wakufunzi wanaotafuta shahada ya PhD na mara nyingine chini yake.
Pole
 
Back
Top Bottom