Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

Siku hizi hata ukidai mshahara wa kazi uliyoifanya ni freemason_uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh puuuuuuuuuuuuuf
 
Alama ya V ni ya freemansons 100percent hebu google freemasons simbol and signutaziona na utabaî kuna makampuni kibao ni member wa fr. na pia nature ya democracy ni DEMON CRACIA likimaanisha utawala wa shetani. open ur mind u guys mimi co magamba na sio chadema me sio mfuasi wa chama chochote. msishabikie kitu ambacho hamkifahamu.chunguzeni kwanza MNASHABIKIA MNATAKA DEMOKRASIA IT MEANS MNATAKA UTAWALA WA KISHETANI..... Mwenye masikio na asikie. WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
 
http://pagead2.googlesyndication.com/simgad/11404891429942382055

hiyo link huenda ikakupeleka kwenye advertisement ya mapete ya masonic. Nimeokopi humu humu JF inatangazwa na hapo hapo una wana JF wanasema sisi watanzania ni wajinga kwa kuwa tunahusisha kila kitu na freemason. Kwa kweli wajinga ni wao kwa sababu hawajui. Kwa tunaojua, tunafahamu hata bajeti ya nchi hutengenezwa kwenye temple la freemason pale Upanga, (achana na kile kiini macho kule Sokoine Drive). Nchi yetu imeuzwa kwa shetani na watawala wa sasa. Baadhi ya watu hawataki kutambua hilo na wanataka wote tudumae katika ujinga wao. Ninahisi wengine wao ni members wa hii society ambayo sio tena ya siri bali ina siri yake kubwa.

Wengi wenu mnatafuta kujua u-freemason bila mafanikio kwa sababu ili kujua ni lazima kwanza ujiunge. Kuna siri kubwa katika society hii na utaanza kuijua kwa kufikia degree ya tatu ya masonic. Hakuna member wa freemason, hata wale waliojiondoa (kwa kuwa mtu hazuiliwi kujiondoa) atakayekupa siri yao. Ni vema zaidi kutoijua siri yao kuliko kuijua. Muhimu lakini ni kuwa makini na mambo yanavyokwenda na sio kuwazuia watu kuhusisha matokeo na malimwengu ya roho. Jambo linalopotoshwa ni kuwa kila member wa freemason ni satanic. Hii si kweli.

Ukweli ni kuwa masonic wengi ni satanic, hasa wale wanaofikia degree za juu (kumbuka ziko degree 33). hawa masonic ambao ni demonic ndio hatari zaidi kwa sababu wanatafuta kuutawala ulimwengu huu na ni hakika wanautawala tayari (kumbuka shetani anamiliki). Wanachotafuta watu hawa ni elimu ya occultism ili waweze kuitumia ile siri kufanya lolote watakalo duniani na kuuweka ulimwengu chini ya utawala wao(new world order). Mtu yeyote mwenye ujuzi wa occultism hupokelewa bila kujali ni mzungu, mchina au mswahili. Hivyo si watu wa kupuuza hata kidogo na yeyote anayepinga watu kuhusianisha matukio ya ajabu na umasonic pengine naye ni mshirika wa shetani kiukoo bila hata kujua. Kutambua mambo haya si ushirikina bali ni kuwa makini ili watu kujilinda kiroho na kimwili. Kumbuka, wakifanikiwa kutawala (NWO) hatuna chetu.
 
Nashauri chama cha CDM kiondoe alama ya manati ''V'' kwenye bendera ya chama,kwani ni ishara ya fujo na vurugu...

Nimeamua kuwapa huu ushauri sababu wananchi wanatishika sana wakiona iyo alama ya manati na mkivaa yale magwanda yenu kama ya wahasi wa Congo ndio mnatishia amani kabisa mitaani...hii ni nchi ya amani,ivo si vyema mkawafanya raia wakaishi kwa wasiwasi sababu ya mikwara yenu.

Naimani ushauri wangu utafanyiwa kazi na wadau wa chama.
 
Nashauri chama cha CDM kiondoe alama ya manati ''V'' kwenye bendera ya chama,kwani ni ishara ya fujo na vurugu...

Nimeamua kuwapa huu ushauri sababu wananchi wanatishika sana wakiona iyo alama ya manati na mkivaa yale magwanda yenu kama ya wahasi wa Congo ndio mnatishia amani kabisa mitaani...hii ni nchi ya amani,ivo si vyema mkawafanya raia wakaishi kwa wasiwasi sababu ya mikwara yenu.

Naimani ushauri wangu utafanyiwa kazi na wadau wa chama.

April 2012 members at work.

mtakimbia tu.

hapa ndo jamvini, kama Nape hajawaambia.
 
avatar81416_1.gif



Hivi unadhani kuna mtu atakutongoza hapa JF! Sisi tuna wake wazuri zaidi yako. Achana na sisi, nenda Rozana, Buguruni, Magomeni, nk
 
Nashauri chama cha CDM kiondoe alama ya manati ''V'' kwenye bendera ya chama,kwani ni ishara ya fujo na vurugu...

Nimeamua kuwapa huu ushauri sababu wananchi wanatishika sana wakiona iyo alama ya manati na mkivaa yale magwanda yenu kama ya wahasi wa Congo ndio mnatishia amani kabisa mitaani...hii ni nchi ya amani,ivo si vyema mkawafanya raia wakaishi kwa wasiwasi sababu ya mikwara yenu.

Naimani ushauri wangu utafanyiwa kazi na wadau wa chama.


kijani mi naona ni tusi kwa mtanzania aiishio kwenye ukame
 
April 2012 members at work.

mtakimbia tu.

hapa ndo jamvini, kama Nape hajawaambia.

Akimbii mtu hapa,mnafikiri mnavyotisha raia na 'manati' na makombati yenu,kila mtu anawaogopa!!
Muonekano wenu wa kihasi unawanyima amani wananchi.
 
avatar81416_1.gif



Hivi unadhani kuna mtu atakutongoza hapa JF! Sisi tuna wake wazuri zaidi yako. Achana na sisi, nenda Rozana, Buguruni, Magomeni, nk

yani nyie magwanda mnawaza ngono muda wote,ndio maana Slaa na Sugu wanakesi za kuiba wake za watu.
 
unasema ile alama ya vema v tuondoe?tuweke alama ya x au?mbona ccm wameweka silaha za jadi hatusemi?au unadhani mkuki au jembe au nyundo ni keki?judi acha maneno yako,ondoeni kwenu silaha za jadi nasi tutaondoa kila kitu hata bendera maana mpaka sasa cdm haikai kwenye bendera ila ktk mioyo ya watu!
 
Nashauri chama cha CDM kiondoe alama ya manati ''V'' kwenye bendera ya chama,kwani ni ishara ya fujo na vurugu...

Nimeamua kuwapa huu ushauri sababu wananchi wanatishika sana wakiona iyo alama ya manati na mkivaa yale magwanda yenu kama ya wahasi wa Congo ndio mnatishia amani kabisa mitaani...hii ni nchi ya amani,ivo si vyema mkawafanya raia wakaishi kwa wasiwasi sababu ya mikwara yenu.

Naimani ushauri wangu utafanyiwa kazi na wadau wa chama.

Kashauri JK awafikishe wale mawaziri mafisadi mahakamani. Vurugu haipo kwenye alama ya V punguza wenge binti.
 
Nashauri chama cha CDM kiondoe alama ya manati ''V'' kwenye bendera ya chama,kwani ni ishara ya fujo na vurugu...

Nimeamua kuwapa huu ushauri sababu wananchi wanatishika sana wakiona iyo alama ya manati na mkivaa yale magwanda yenu kama ya wahasi wa Congo ndio mnatishia amani kabisa mitaani...hii ni nchi ya amani,ivo si vyema mkawafanya raia wakaishi kwa wasiwasi sababu ya mikwara yenu.

Naimani ushauri wangu utafanyiwa kazi na wadau wa chama.

Shida ni Uelewa wa maaana ya hiyo Alama katika dunia ya leo........That is Victory Sign!Kwani Jembe na Nyundo ina maana gani?Ulishakaa chini ukajiuliza kama bado it still relevant in the current lifes?au ndo mambo ya paradiums!

Chunguza utabaini!
 
Back
Top Bottom