Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
jamaa aliuliza swali kwa kebehi amepewa majibu na evidence juu kachoka mwenyewe jf ni noma
Kwangu mimi: We keep it within the party context. We cannot generalize. Nijuavyo mimi jinsi inavyotumika na CDM ni alama ya Vema au Victory. Otherwise, tutamsemeaje huyu Mhe Hayati Karume?
View attachment 48369
Alikuwa mwanamapinduz mpigania haki kama CDM linakusumbua lipi?
asanteni nami sikujua