Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Nawale waliomkimbia Wasira watoto walikuwa wanalia wanaita mama Sokwe wa kwenye TV amekuja huku waliangalia kile kipindi cha Gombe hifadhi ya Taifa kinachorushwa na TBC mara kwa mara.mkuu juzi hapa nilikuwa mtaa flani,mara wakaja wanachadema wawili wamevaa magwanda yao uku wanamuita mwenzao 'kamanda kamanda kamanda' kulikuwa na watoto wanacheza wote wakakimbilia ndani uku wanalia kwa kuogopa vijamaa vinavyotisha.
