Siku hizi kuna 'society' ambayo inadhani inajua kila kitu, kwa hio kila kitu kinachowachanganya kimetokana na freemasons, kujifunza ukweli chimbuko, maana, sababu hawataki wanapenda stori nyepesinyepesi. Ndio kizazi kilichorithi uchawi, enzi za huko nyuma, hii 'society' kila tajiri, kila aliekufa, alkuwa 'amelogwa'. Sasa kwa hii wamehamia kwa freemasons, ni namna ya kujiliwaza na uvivu wa kufikiri.