nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 365
Waungwana wanajf nawasalimu kwanza...mimi ni mwanachama mpya wa chadema lakini kuna vitu vikubwa viwili sivielewi ,
1-logo ya chadema ya vidole viwili ina maana gani?na nani aliamua iwekwe pale?
2-rangi katika bendera ya chadema ile blue,white na red zina mana gani?na kabla ya hapo walikuwa na rangi zipi ktk bendera yao.
Mkuu wa jamvi nawasilisha kwa uchambuzi yakinifu ndani ya jf.