Nini kinakuvutia kwa Mwanamke.??

Nini kinakuvutia kwa Mwanamke.??

Habar zenu wana JF.

Tuambizane hapa ni kip kinakuvutia kwa Mwanamke, maana hawa viumbe wanavutia kwa vitu vingi kwa kweli. Kwangu mm navutiwa na vidole, aisee napenda vidole vya hawa viumbe. Tena ukute ni vinene kiasi alafu vilaini, vuta picha vikiwa vinapita maeneo flan hiv.
Navutiwa na papuchi
 
Natural tingz:

1.Nywele halisi zibanwe nyuma tu.
2.No full time makeups, ngozi iwe free.
3.Chura awepo proportional to thighs.
4.Akiwa na mdomo mdogo its A+ wenye lips nene kidogo.
5.Kapua kadogo like my moms.
6.Urefu sio ishu ila asiwe mfupi below 5ft.
7.Skin tone iwe dry, light au dark brown.
8.Awe independent kiakili asiwe mtu wa circles,mwanamke kushikiwa akili na mashosti its a biggest turnoff kwangu.
9.Awezae kumudu tamaa za mwili katika hali zote kimaisha,sio mtu kila akionacho anataka awe nacho yeye tu.
10.Yule mtaratibu, understanding na pia apendae kuchangamshwa na utani kwa mbali. I would love to see her beauty face smile always na nitahakikisha hilo linatokea kila akiwa namimi.

11. Uje p.m ili tuweze kuyajenga vyema zaidi ambae unahisi unakidhi vigezo hivo hakika nitakupa pepo ya duniani hutojuta kunifahamu!
 
Eti vidole. huyu jamaa chenga
Hapana, huyu jamaa sio chenga ila binadamu tunatofautiana kwa mengi ikiwa ni pamoja na hisia. Kuna watu wanapenda mwanamke mpaka kuoa kisa ana aina fulani ya pua! Sasa unashangaa nini yeye huyu kupenda mwanamke kisa yuko na aina fulani ya vidole...
 
Natural tingz:

1.Nywele halisi zibanwe nyuma tu.
2.No full time makeups, ngozi iwe free.
3.Chura awepo proportional to thighs.
4.Akiwa na mdomo mdogo its A+ wenye lips nene kidogo.
5.Kapua kadogo like my moms.
6.Urefu sio ishu ila asiwe mfupi below 5ft.
7.Skin tone iwe dry, light au dark brown.
8.Awe independent kiakili asiwe mtu wa circles,mwanamke kushikiwa akili na mashosti its a biggest turnoff kwangu.
9.Awezae kumudu tamaa za mwili katika hali zote kimaisha,sio mtu kila akionacho anataka awe nacho yeye tu.
10.Yule mtaratibu, understanding na pia apendae kuchangamshwa na utani kwa mbali. I would love to see her beauty face smile always na nitahakikisha hilo linatokea kila akiwa namimi.

11. Uje p.m ili tuweze kuyajenga vyema zaidi ambae unahisi unakidhi vigezo hivo hakika nitakupa pepo ya duniani hutojuta kunifahamu!
Hiyo namba 3, Hao chura unawafuga??
 
Back
Top Bottom