Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
Watu mna upwiru siyo kawaida, kwa mlivyojazana na kushupaza vichwa kwenye huo uzi wa mrembo, naamini wengi wenu humu vichupa vimejaa.
Enewei, mida yangu ya kujidai, njooni jamvini tusemezane.
Enewei, mida yangu ya kujidai, njooni jamvini tusemezane.
- Sema ukweli, mara ya mwisho lini umedinyana vizuri mpaka roho yako ikaridhika?
- Ushawahi kumtongoza ndugu au rafiki wa mpenzi wako? ilikuwaje?
- Kiungo gani kwenye mwili wa binadamu kinachukuliwa kawaida ila kinakuvutia?
- Ukizidiwa na mihemuko mnaipunguzaje?
- Kwanini mpaka sasa hivi hujalala?