Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,961
- 4,661
Mimi navutiwa na kisogo yaani visogo vya hawa viumbe
Mimi napenda viwiko,na visigino
Mimi navutiwa na kisogo yaani visogo vya hawa viumbe
Chura inanipa mshawasha tu na wala si kingne zaidiMkuu hizo chura unazifanyia nn?
hahaha kumbe na ww unazielewa churaKumbe kwa ajiri ya makofi tu!!! Khaaaa
Lkn kiukweli zina raha yake, mm nafrahia kuzishika shika
Hapo kwa Inna unatafuta ugomvi tu,!!!Navutiwa na pua na midomo kama ya huyu Inna ni raha sana. Yaan nitakuwa nawahi kurudi hom.
Sent from my SM-G388F using JamiiForums mobile app
Habar zenu wana JF.
Tuambizane hapa ni kip kinakuvutia kwa Mwanamke, maana hawa viumbe wanavutia kwa vitu vingi kwa kweli. Kwangu mm navutiwa na vidole, aisee napenda vidole vya hawa viumbe. Tena ukute ni vinene kiasi alafu vilaini, vuta picha vikiwa vinapita maeneo flan hiv.

Mkuu samahan Kabla sjachangia hebu malizia sentens yako vdole vikipita wap???? Nisje ku coment uzi wa ndugu yake KAOGE bure

Hapo kwa Inna unatafuta ugomvi tu,!!!
Kizuri chajiuza jamaniMambo yangu hayomatiti yalio simama hata kma nilikuwa natembea nikipishana nae hyo manzi lazma nimfuate

Hujambo!Tafuta kwingine sio hapo
Safii sana, sura itazeeka, umbo linaharibika mda wowote kuna ajali na mengineyoTABIA NA HESHIMA MIMI NDIO VINANIVUTIA MKUU