Hela tu,,Habar zenu wana JF.
Tuambizane hapa ni kip kinakuvutia kwa Mwanamke, maana hawa viumbe wanavutia kwa vitu vingi kwa kweli. Kwangu mm navutiwa na vidole, aisee napenda vidole vya hawa viumbe. Tena ukute ni vinene kiasi alafu vilaini, vuta picha vikiwa vinapita maeneo flan hiv.
mkuu huyu itakubidi utembee mitaa ya uchina huenda wakafaulu kukuumbia wa aina hiyo...Natural tingz:
1.Nywele halisi zibanwe nyuma tu.
2.No full time makeups, ngozi iwe free.
3.Chura awepo proportional to thighs.
4.Akiwa na mdomo mdogo its A+ wenye lips nene kidogo.
5.Kapua kadogo like my moms.
6.Urefu sio ishu ila asiwe mfupi below 5ft.
7.Skin tone iwe dry, light au dark brown.
8.Awe independent kiakili asiwe mtu wa circles,mwanamke kushikiwa akili na mashosti its a biggest turnoff kwangu.
9.Awezae kumudu tamaa za mwili katika hali zote kimaisha,sio mtu kila akionacho anataka awe nacho yeye tu.
10.Yule mtaratibu, understanding na pia apendae kuchangamshwa na utani kwa mbali. I would love to see her beauty face smile always na nitahakikisha hilo linatokea kila akiwa namimi.
11. Uje p.m ili tuweze kuyajenga vyema zaidi ambae unahisi unakidhi vigezo hivo hakika nitakupa pepo ya duniani hutojuta kunifahamu!
Mambo! Mbona washangaa geuka tuone kisogo basi.Kha!
Ni mpaka sasaHivi Ukimuona Mwanamke Utajua Tabia Na Heshima Yake Bila Kukaa Nae Japo Kwa Dk 2-3?
Hapana mkuu. Ungetuwekea pichaMkuu ww hujakutana na vidole, unaweza bakq
Hahaha mkuu sina picha ya vitu ambavyo sivipendiWeka picha mkuu
Mkuu samahan Kabla sjachangia hebu malizia sentens yako vdole vikipita wap???? Nisje ku coment uzi wa ndugu yake KAOGE bure
hilo nalo nenoChangu, mvua ikinyesha siloi shingo mkuu
Hicho hicho ndo kizuri watu udenda unawatoka.Changu, mvua ikinyesha siloi shingo mkuu
mimi napenda mwanamke anayeweza kunipa stress ili nisiote kitambi..!!!!
