Ukitaka kuijua Historia ya Kanisa Katoliki soma kuanzia Karne ya kwanza sio kuanzia mwaka 1854.
Hili ni Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume na Papa wake wa Kwanza ni Mtakatifu Petro ambaye alikabidhiwa majukumu hayo na Yesu Kristo.
Kanisa lilivunjavunja imani za himaya ya kirumi na wengi wao walimkubali Yesu kuwa ni Masiha hivyo wakabatizwa wakiwemo vigogo wa dola hiyo.Hayo mambo sio mageni na yapo hata leo.
Kama unaiamini Biblia lazima ulikubali na Kanisa Katoliki kwa sababu ndilo lililofanya jitihada za kukusanya machapisho mbalimbali na kuyakubali baadhi na mengine kuyatupa.waliyoyakubali waliyaweka pamoja kama kitabu ambacho Kinajulikana kama Biblia(Maktaba).
Kuhusu Bikira Maria,Kwa Mtu yeyote anayemkubali kwamba Yesu ni Mungu haoni shaka ya kumheshimu Bikira Maria maana hata Malaika wa Mbinguni wanamkubali.
Mkuu Farudume. Kwanza kabisa napenda post zako. Nitakujibu hivi,
1.PETRO HAKUWA Pope wa kwanza wa Kanisa. Petro alikuwa na MKE hata mimi kabla sijafunguliwa macho niliamini kama wewe.
2.Biblia HAIKUANDIKWA na Wakatoliki kama unavyodai infact WALIJARIBU sana kutaka KUHARIBU manuscripts nyingi wakichoma moto WAKIITAFUTA biblia waiharibu, Mungu akailinda.
Ukitaka kujua sana tafadhali google "Roman Catholic church and INQUISITION"
Utaelewa na hata kuhuzunika.
Pia kama una nafasi angali kwenye YOUTUBE "God's wrath on Lisbon 1755" Katika documentary hiyo ambayo wiki hii ilikuwa ikionyeshwa katika CHENELI ya NATIONAL GEOGRAPHIC .Wanasayansi walishindwa kuelewa tukio hilo wakaliita God's wrath/ "Hasira za Mungu"
Hasira hizo ziliushukia Mji mkuu wa Ureno. kwa siku moja. TEMEMEKO, TSUNAMI na MOTO mitaani na BAADAYE WAUAJI vitu vinne SIKU MOJA.
URENO ambayo ilikuwa DEEP Catholic nation itakupa Picha kamili. Kuhusu hoja yako uliyoileta.
3.NIPE TAIFA la KIKATOLIKI duniani LILILOBARIKIWA ukianzia na ITALY ambako ndo makao makuu ya dini. Kabla hawajaingia EU hela yao LIRA haikuwa na THAMANI katika soko la fedha za kimataifa ilikuwa ni kama yetu.
Zunguka Ulaya, na bara la AMERIKA nenda Mshariki ya mbali ya ASIA UFILIPINO nk. Halafu uniambie HIYO ROZARI kama iliwasaidia. NI UMASKINI tu!!!