Nini kinachoendelea Singida?

[quote uid=18182 name="Ulimbo" post=19042382]<b>Kama ni sababu za kiroho, zapaswa ziwe rohoni. Yeye ni kiongozi mkuu wa nchi, ambaye anaongoza watu wadini tofauti, na pia watu wasiokuwa na dini, hii itaonyesha upendeleo wa kidini.<br />Bora angeenda kusali tu kulingana na imani yake, na si kusema kuwa ushind wake uko kwenye rosary - Imaini ya kikatoliki. Je waislamu hawakumpigia kura?</b>[/QUOTE]<br />Mkuu naona unajaribu kukuza mambo ya kawaida kabisa. Yeye kuwa na imani na rosary inakupunguzia nini wewe na maisha yako binafsi?. Wale ambao wanakwenda hijja kila mwaka halafu wakirudi majina yao yanaanza na alhaji, wananipunguzia nini mimi binafsi na maisha yangu ya kila siku?.<br />Kuongoza watu wa imani tofauti hakumzuii rais kuwa na haki ya kuamini kile anachokiamini, japo ni mambo ya rohoni mwake.<br />Tumelelewa katika misingi ya kuchukuliana kibinadamu huku tukiheshimu anacho amani mtu fulani. N
 
Kuchukuliana Siyo jambo jepesi kama unavyolichukulia wewe. Kuchukuliana kuna maana ya kuukubali mapungufu ya wengine Siyo kulipia Ian a kisasi. Unatakiwa kuwa na hekima na busara ya hali ya juu sana ndipo utambue maana na umuhimu wa kuchukuliana. Ili uweze kuchukuliana na wenzio ni lazima ujishushe. Yesu Kristo pamoja na utukufu wake alikubali kufanyika mwanadamu akazaliwa na mwanamke akasulubiwa akafa na kazikwa. Lakini kwa sababu ya utukufu aliokuwa nao kaburi lilishindwa kumng'ang'ania. Umenipata mpendwa? Ni rafiki kusema lakini ni kazi mno kutenda
 
Tuli

Tulishajiokoa wenyewe. Ndio maana iunaona mkoa unaendelea kwa kasi. Watu wa mkoa huu tunajituma usiku na mchana na nna hakika jiji la Singida linakuja na baadae jiji la IRAMBA kwa ajili ya WANYIRAMBA
Kati ya Singida na Moshi wapi pameendelea? mpaka leo Moshi siyo Jiji mkuu.
 
Back
Top Bottom