MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,369
Bora waje na huku kwetu aisee. Niko singida na hapa ndio kwetu, acha aje afungue fursa kwa singida yetu.
Sio kila siku Dar tu!
Sio kila siku Dar tu!
Hivi unajua maana ya imani, nipe ushahidi kwamba kile unachoamini wewe ni kweli tupu kuliko wanachoamini wengine. Usilete habari za mambo ambayo umeaminishwa na watu na haujui hata yalitoka wapi. Heshimu imani yako na ya watu wengine, kama kufa wote twafa, kuishi wote tunaishi na mafanikio au matatizo sote tunapitia. Heshimu imani ya mwenzio kwani yote haya ni mafumbo na hakuna anayejua siri ya fumbo hili la imani.Lu-ma-ga,
Let me help you my friend like this. Agano la Kale ilikuwa ni kivuli cha Agano Jipya. Kina Musa walikuwa wakimweleleza Yesu Kristo wakati wa kuwakomboa Wana Israel toka Misri( Utumwani) kuwapeleka nchi ya ahadi Kanani. Yesu Kristo alipokuja kuukomboa Ulimwengu, Mungu aliagiza tumwangalie Yeye pekee kwa ajili ya Wokovu wetu toka dhambini kwa ajili ya kwenda nchi ya ahadi(Mbinguni).
" Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili kila amwaminiye asipotee baali awe na uzima wa milele" Yohana 3:16.
Bado Biblia inasistiza kwamba,
" Kwa neno au kwa tendo fanyeni kwa Jina la Yesu Kristo"
Wakolosai 3:17.
Hivo basi kujidanganya kuwa Mungu anaweza kusikia maombi ya mtu kupitia Rozali au Bikira Maria ni upotoshaji wa Neno la Mungu. Hayo ni mafundisho ya KIPAGANI ambayo kanisa Katoliki waliyaingiza kanisani kwa interest zao kama ilivyo Krismasi leo hii!
Haya mafundisho hayako mahali popote kwenye Biblia. Hakuna aya imetaja kusali Rozali, hakuna Bikira Maria utuombee wala hakuna Krismasi kuwa Yesu alizaliwa tarehe 25 Desemba mahali popote!!!Mwulize Padre, Kardinali, Askofu au Papa hawana maandiko! That was just Pagan Rome mixed with Christianity in years 320s!
Rozali ni sawa tu na hirzi kama hirizi yoyote. Kamwe Mungu hayuko kwenye ibada za sanamu na watu! Biblia insema,
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu. Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake, moyoni amemwacha BWANA" Yeremia 17: 5
Bikira Maria alikuwa mwanadamu kama wewe, alikufa na akaoza tu kama yeyote na kuna kaburi lake huko Israeli. Hivo kumwomba huyo mama ni sawa na kufanya ibada ya wafu!!! That is Biblical.
Umeelewa ndugu yangu Lu-ma-ga!
Huna haja ya kumshambulia mama yetu wa kiimani wala Rosary!!!Pambana kwa hoja ili kumjibu mtoa mada!!.Unamfundisha padre kusali na kumfahamu Mungu?? Pole sana kwakuwa hufahamu rozari ni kitu gani.
Ndiyo inawezekana kutokana na imani yake. Hata wewe mafanikio na uhai wako kuna kitu unakiamini ndicho kinacho kusaidia halikadhalika mh. anaamini mafanikio Katika maisha yake yametokana na hilo analoamini, heshimu imani ya mwenzio. Imani ni fumbo la siri na hakuna mwanadamu anayeweza kulifumbua.Kwa hiyo na wewe unatuaminisha kuwa Rosary ndio iliyo mpa ushindi sio kura za watanzania???????????
Mimi sizungumzii imani ya KIKATOLIKI nazungumzia UONGO uliopandikizwa vichwani na mioyoni mwa watu. Basi kwa kuwa umetaja KATOLIKI basi nitakusaidia. Yesu Kristo HAKUACHA kanisa Katoliki aliacha kanisa la mitume waliohubiri neno sahihi la Mungu. Roman Empire iliposhamiri na mtawala Constantine ili afaidike kisiasa akasema naye sasa amekuwa Mkristo. Lakini bado alikuwa ni miungu yake akiiabudu. Mojawapo ni mungu JUA. Roman Katoliki ni mchanganyiko wa mambomatatuKwa Imani ya katoliki ni wazi kabisa bikra Maria alipalizwa Mbinguni na si vinginevyo. Sidhani kama Mh Raisi amewatangazia uma wa Watanzania au Dunia kwamba anamdhihaki Mungu, naona ni wewe ndiyo unampandikizia maneno mdomoni mwake. Biblia ni maneno yake Mungu kwetu sisi wanadamu usipende yabadilisha Isome uelewe kama huelewi uliza na Mungu atakufungulia uelewe. Heri Ya Xmass na Heri ya Mwaka mpya. Nakutakiwa mafanikio mema ya Kiroho na mwili.
Mkuu sina ubaya ila soma historia ya Pope Pius1X mwaka wa1854 aliyeanza hayo mafundisho ya Maria kupaa nk na kuwa ni Co Saviour/Mwokozi pamoja na Yesu.Kwa Imani ya katoliki ni wazi kabisa bikra Maria alipalizwa Mbinguni na si vinginevyo. Sidhani kama Mh Raisi amewatangazia uma wa Watanzania au Dunia kwamba anamdhihaki Mungu, naona ni wewe ndiyo unampandikizia maneno mdomoni mwake. Biblia ni maneno yake Mungu kwetu sisi wanadamu usipende yabadilisha Isome uelewe kama huelewi uliza na Mungu atakufungulia uelewe. Heri Ya Xmass na Heri ya Mwaka mpya. Nakutakiwa mafanikio mema ya Kiroho na mwili.
Ndiyo inawezekana kutokana na imani yake. Hata wewe mafanikio na uhai wako kuna kitu unakiamini ndicho kinacho kusaidia halikadhalika mh. anaamini mafanikio Katika maisha yake yametokana na hilo analoamini, heshimu imani ya mwenzio. Imani ni fumbo la siri na hakuna mwanadamu anayeweza kulifumbua.
bikira Maria alizaa watoto wengine baada ya kukutana na Yusufu kimwili... Nani anasala ya Musa.... Upagani tuHata Musa na Joshua walitumiwa na Mungu Kama vyombo vya kusafirisha Waisrael kuelekea nchi ya ahadi kwa hiyo waisrael walimsikiliza Musa anD Joshua. Bikira maria alitumika nal Mungu Kama Chombo cha kumzaa Yesu na sis hatuna budi kumheshimu bikira Maria Kama chombo kitakatifu kilichotumiwa na Mungu.
Nipo karakana wewe jeBora waje na huku kwetu aisee. Niko singida na hapa ndio kwetu, acha aje afungue fursa kwa singida yetu.
Sio kila siku Dar tu!
Nahem sana Imani ya kila mtu ila kwa hili sipo nalo sambamba mfano mzuri kama asingepitia kwenye kanisa Hilo hapo singida na kupewa hiyo Rosary na sister Leo angekuwa sio Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania???????????Ndiyo inawezekana kutokana na imani yake. Hata wewe mafanikio na uhai wako kuna kitu unakiamini ndicho kinacho kusaidia halikadhalika mh. anaamini mafanikio Katika maisha yake yametokana na hilo analoamini, heshimu imani ya mwenzio. Imani ni fumbo la siri na hakuna mwanadamu anayeweza kulifumbua.
Mimi sizungumzii imani ya KIKATOLIKI nazungumzia UONGO uliopandikizwa vichwani na mioyoni mwa watu. Basi kwa kuwa umetaja KATOLIKI basi nitakusaidia. Yesu Kristo HAKUACHA kanisa Katoliki aliacha kanisa la mitume waliohubiri neno sahihi la Mungu. Roman Empire iliposhamiri na mtawala Constantine ili afaidike kisiasa akasema naye sasa amekuwa Mkristo. Lakini bado alikuwa ni miungu yake akiiabudu. Mojawapo ni mungu JUA. Roman Katoliki ni mchanganyiko wa mambomatatu
Mkuu sina ubaya ila soma historia ya Pope Pius1X mwaka wa1854 aliyeanza hayo mafundisho ya Maria kupaa nk na kuwa ni Co Saviour/Mwokozi pamoja na Yesu.
Utashangaa
Wacha upumbavu Rosary ndio mungu wenu???? Mbona mnapenda kuabudu masanamuRosary ina nguvu kubwa sana ndugu yangu.Ukitaka mambo yako yakunyookee sali Rosary.
Wacha upumbavu Rosary ndio mungu wenu???? Mbona mnapenda kuabudu masanamu
Nahem sana Imani ya kila mtu ila kwa hili sipo nalo sambamba mfano mzuri kama asingepitia kwenye kanisa Hilo hapo singida na kupewa hiyo Rosary na sister Leo angekuwa sio Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania???????????
Hii ni Imani na kila mtu ana Imani yake amini hivyo but kwa mimi hii haiweizi hata kidogo kuniingia akilini hata kufikiria kuiamniMimi naamini kabisa urais wake umetokana na kusali Rozari.Nilikuwa sijapata jibu ni kwa jinsi gani alivyoweza kupenya katika Kamati kuu ya CCM na Baadae Halmashauri kuu ya CCM na kuwapita wababe wa chama.