Nini kinachoendelea Singida?

Nini kinachoendelea Singida?

Hapo Magufuli amekosea sana.Naiheshimu IMANI yake.
Lakini kuhusisha MARIA, ROSARY katika ushindi wake, ni sawa na kusema Mungu hakukusaidia bali MARIA na ROSARY.
Maria alikufa na AKAZIKWA na biblia HAITUAMBII tumwombe Maria.
Na kama Magufuli UTAMSAHAU Mungu na KUCHANGANY MARIA! Mungu na YESU nchi hii itamshinda.
Maana Mungu HADHIHAKIWI!!
Maana pia ni Mungu MWENYE WIVU
MPE MUNGU UTUKUFU!
hapa unachangaya unatakiwa kujua kuwa kila mtu ana uhuru wa kuabudu na ikumbukwe kuwa matamshi haya kayatolea kanisani kwake sehemu anayoabudu yeye.
hivyo ni bora ukakaa kimya ukawaachia wenyewe wanaoabudu hata iweje kwamkatoliki hii ni moja ya ibada kubwa sana katika imani.
 
Mkuu ahsante kwa kuni RATE kuwa ufahamu wangu ni0.00001 katika kulifahamu kanisa katoliki.. Wacha niseme SILAUMU Katoliki per se. Ninachozungumzia ni UPOTOVU wa kiimani
Katoliki ni mchanganyiko ma mambo matatu.
1. Roman Traditions/Desturi za Kirumi
2.Roman Paganism/ Upagani wa Kirumi
3. Christianity/Ukristo
Basi jaza jibu wewe mwenyewe!

Imani nini? Biblia haikuandika kila kitu hivyo the authority of the bible is not omnipotient! Hapo nd tatizo la sola scriptura linaleta shida. Mingine ilibaki kuwa miongozo ya roho mtakatifu kupitia watu. Kama u asali jumapili kumbuka mtaguso wa Trent ndo uliamua abolition of observence of Jews Sabbath na kuichukua Jumapili as the Lord's day. Katika muktadha huohuo msabato atakuona na wewe imani yako imepotoka na unafuata mamlaka ya kanisa katoliki. Kama ambavyo muhubiri anasema hakuna kipya chini ya jua. Hakuna jambo jipya katika ukristo ambalo halina roots of Catholicism. Injili ilikuwa lazima itoke uyahudi na iingie kwa mataifa. Iliingia na Mungu alionyesha njia na mojawapo ni ukatoliki! Ni kwa kanisa hilo injili imepelekwa sehemu nyingi ulimwenguni. Achana na matatizo ya inquisition ambayo hatuwezi kusema kama ulikua mpango wa shetani kuliyumbisha kanisa au la. Kwa mengi mengi kanisa limejibainisha kwa "it is both spiritual and humane".
 
WanaJF, salaamu.

Naomba mwenye kujua kinachoendelea mkoani Singida atujuze. Nimesema hivyo kutokana na mambo mawili ambayo yamejitokeza kwa karibuni kwa kufuatana.

1: Sherehe za Maulid mwaka huu kitaifa zilifanya mkoani Singida, na Waziri mkuu ndiye alikuwa mgeni rasmi.

2. Sherehe za Christmas, siwezi kusema kitaifa, bali Rais alikuwa Singida.

Japo kwa maelezo yake alisema alienda kusali katika kanisa hilo kwani ushindi wake ulitokana na Rosary aliyopewa na mtawa mmoja wa kanisa huko Singida.

Najiuliza hivi kweli hiyo rosary ndiyo iliyompa ushindi au ni watanzania waliompigia kura? Au kuna jambo la siri linaendelea huko?.

Nawasilisha
Tayari siri imefichuka kwa kilicho mpeleka huko Singidani.
Tumesikia kile alicho kifanya mkuu wa mkoa kwa kumtia mganga mkubwa, nyuma ya nondi kwa masaa kadhaa
 
Imani nini? Biblia haikuandika kila kitu hivyo the authority of the bible is not omnipotient! Hapo nd tatizo la sola scriptura linaleta shida. Mingine ilibaki kuwa miongozo ya roho mtakatifu kupitia watu. Kama u asali jumapili kumbuka mtaguso wa Trent ndo uliamua abolition of observence of Jews Sabbath na kuichukua Jumapili as the Lord's day. Katika muktadha huohuo msabato atakuona na wewe imani yako imepotoka na unafuata mamlaka ya kanisa katoliki. Kama ambavyo muhubiri anasema hakuna kipya chini ya jua. Hakuna jambo jipya katika ukristo ambalo halina roots of Catholicism. Injili ilikuwa lazima itoke uyahudi na iingie kwa mataifa. Iliingia na Mungu alionyesha njia na mojawapo ni ukatoliki! Ni kwa kanisa hilo injili imepelekwa sehemu nyingi ulimwenguni. Achana na matatizo ya inquisition ambayo hatuwezi kusema kama ulikua mpango wa shetani kuliyumbisha kanisa au la. Kwa mengi mengi kanisa limejibainisha kwa "it is both spiritual and humane".
OmnipoTIENT ni kitu gani?
Ama ulikuwa unamaanisha OMNIPOTENT?
Kama ulikuwa unaanisha the later then Mungu na NENO lake Biblia ni OMNIPOTENT-Final authority. Supreme- Juu ya zote. Vitabu, references za binadamu.
Wakati jambo ni GUMU kulielewa. Tunatafuta ufumbuzi katika Biblia.!
Nashukuru kwa mchango wako!
 
hapa unachangaya unatakiwa kujua kuwa kila mtu ana uhuru wa kuabudu na ikumbukwe kuwa matamshi haya kayatolea kanisani kwake sehemu anayoabudu yeye.
hivyo ni bora ukakaa kimya ukawaachia wenyewe wanaoabudu hata iweje kwamkatoliki hii ni moja ya ibada kubwa sana katika imani.
KUMPA Mungu utukufu.
Hiyo ndo pointi yangu na wala Si imani ya mtu!
 
Hata Musa na Joshua walitumiwa na Mungu Kama vyombo vya kusafirisha Waisrael kuelekea nchi ya ahadi kwa hiyo waisrael walimsikiliza Musa anD Joshua. Bikira maria alitumika nal Mungu Kama Chombo cha kumzaa Yesu na sis hatuna budi kumheshimu bikira Maria Kama chombo kitakatifu kilichotumiwa na Mungu.
Ni vizuri tujikumbushe kuwa Mungu ana SERIKALI yake.
Mungu BABA
MWANA na
Roho MTAKATIFU
Katika SERIKALI ya KIMUNGU Mary MARIA does not feature anywhere HAONEKANI popote.

HATA MIMI ninamweshimu Maria kwa kumzaa Yesu.
Lakini SIOMBI ROZARI aniombee maana biblia haniruhusu na HAKUPAA kwenda mbiguni na yeye ANANGOJEA UFUFUO wa wafu kama wengine.

Jamani si msome neno? Yesu akasema Mtaijua KWELI/YESU na hiyo KWELI/YESU itawaweka huru.
Ndo maana introduction ya Yesu alisema Mimi ndimi NJIA KWELI na UZIMA mtu haji kwa BABA ila kwa njia ya mimi.
Hakuna mahali Yesu alisema nikiwa NIMESAHAU MWOMBENI MAMA yangu MARIA ANIKUMBUSHE. NEVER!
 
Katika miongoni mwa upagani wa kirumi ni Constantine alipoingia na imani yake ya kipagani ya kuamini kuwa jua ni Mungu na siku yake ya Mungu-jua Sunday ambayo mpaka leo imekuwa ni siku ya ibada badala ya Jumamosi!
 
OmnipoTIENT ni kitu gani?
Ama ulikuwa unamaanisha OMNIPOTENT?
Kama ulikuwa unaanisha the later then Mungu na NENO lake Biblia ni OMNIPOTENT-Final authority. Supreme- Juu ya zote. Vitabu, references za binadamu.
Wakati jambo ni GUMU kulielewa. Tunatafuta ufumbuzi katika Biblia.!
Nashukuru kwa mchango wako!

Thank you for the point of correction, it could nt mean anything than that. The bible is contextual because it was writen at differnt times aiming at conveying God's messege to that particular period of time. This proves that God is all powerful (omnipotent), though his word (the bible) in many instances can not be authoritative. Do we kill a witch woman as the bible commands? No. Do we segregate leppers? Wash our hands and legs before entering the church?, absolutely no. Why? Because it can not be applicable in the new testament. The new testament outlawed the old? The authority of Mosaic laws faded away and its authority dim. Even the sunday worship is Catholic but spiritually guided yet you follow it if you are not a Sabatarian. The holly spirit inside us guides us now to know what is wrong or good. That is the faliability of sola scriptula. Leave allone numerous errors due to interpretation of the bible and loss of some manuscript!
 
Rosary ina nguvu kubwa sana ndugu yangu.Ukitaka mambo yako yakunyookee sali Rosary.
amri ya 2 katika amri 10 za Mungu inakataza kujifanyia sanamu ya kuchonga. rosari ni aina mojawapo ya sanamu.
 
amri ya 2 katika amri 10 za Mungu inakataza kujifanyia sanamu ya kuchonga. rosari ni aina mojawapo ya sanamu.

Unakoelekea utasema Msalaba ni sanamu ya Kuchonga na Mwishowe utamalizia na Kusema Biblia nayo ni Sanamu.
 
Ni vizuri tujikumbushe kuwa Mungu ana SERIKALI yake.
Mungu BABA
MWANA na
Roho MTAKATIFU
Katika SERIKALI ya KIMUNGU Mary MARIA does not feature anywhere HAONEKANI popote.

HATA MIMI ninamweshimu Maria kwa kumzaa Yesu.
Lakini SIOMBI ROZARI aniombee maana biblia haniruhusu na HAKUPAA kwenda mbiguni na yeye ANANGOJEA UFUFUO wa wafu kama wengine.

Jamani si msome neno? Yesu akasema Mtaijua KWELI/YESU na hiyo KWELI/YESU itawaweka huru.
Ndo maana introduction ya Yesu alisema Mimi ndimi NJIA KWELI na UZIMA mtu haji kwa BABA ila kwa njia ya mimi.
Hakuna mahali Yesu alisema nikiwa NIMESAHAU MWOMBENI MAMA yangu MARIA ANIKUMBUSHE. NEVER!

Umesahau kitu kimoja kwamba Biblia sio mwisho wa kazi za Mungu.
Baada ya Biblia kuundwa na wakatoliki haina maana kwamba sasa kazi,maajabu na Mafundisho ya Mungu kwa Binadamu yamefikia Mwisho.Biblia ni mwongozo ambao hatuna budi kuufuata lakini nao unamheshimu Bikira Maria.Kama Malaika wanamtukuza Maria wewe ni nani?
Yesu alikuja duniani baada ya kuona Mafarisayo na Walimu wa Sheria wanavyokariri maandiko badala ya kuyaelewa.
Wewe nawe umekariri maandiko bila kuyaelewa.
 
Thank you for the point of correction, it could nt mean anything than that. The bible is contextual because it was writen at differnt times aiming at conveying God's messege to that particular period of time. This proves that God is all powerful (omnipotent), though his word (the bible) in many instances can not be authoritative.
Do we kill a witch woman as the bible commands? No. Do we segregate leppers? Wash our hands and legs before entering the church?, absolutely no. Why? Because it can not be applicable in the new testament. The new testament outlawed the old? The authority of Mosaic laws faded away and its authority dim. Even the sunday worship is Catholic but spiritually guided yet you follow it if you are not a Sabatarian. The holly spirit inside us guides us now to know what is wrong or good. That is the faliability of sola scriptula. Leave allone numerous errors due to interpretation of the bible and loss of some manuscript!
You said and I quote The bible can't be authoritative" End of quote.
I amSorry to say that you are holding a very dangerous HERESY.

I am afraid you could be prescribed to the teachings of Ellen G. White whom the Sabbath keepers, take her teachings as a point of reference.

Daniel in OT final chapter was told SEAL the words of this book. John was told in NT in the book of Rev. the final chapter" DO NOT SEAL the words of this book also was told DO NOT ADD or SUBSTRUCT anything out of this book".

Thus to say in essense, the NT fufills the OT because before JESUS the Law was in operation guiding the sturbbon people. By the advent of Jesus Christ NEW LAW emerged the LAW of LOVE and GRACE.

Which means in OT there was no GRACE in the NT there is GRACE.
Now when we defy the AUTHORITY of the word of God and SUBSITUTE with other books as an ADDITIONAL truth we go wrong and are prone to judgement.
Colossians chapter 2 Says "Jesus is the fulfilment of the law.For the law was the SHADOW of things to come the REALITY however is FOUND in Christ."

The issue of Sunday or Sat. as a day of worship,Paul addresses this in Col 2. Whether you worship God on SAT MON or SUN as long as you worship the Lord it is acceptable.

SABBATH means REST and Jesus is the Lord of SABBATH and therefore when you believe in him you do RECEIVE SABBATH-REST from your sins. That the truth of the matter sir!
 
You said and I quote The bible can't be authoritative" End of quote.
I amSorry to say that you are holding a very dangerous HERESY.

I am afraid you could be prescribed to the teachings of Ellen G. White whom the Sabbath keepers, take her teachings as a point of reference.

Daniel in OT final chapter was told SEAL the words of this book. John was told in NT in the book of Rev. the final chapter" DO NOT SEAL the words of this book also was told DO NOT ADD or SUBSTRUCT anything out of this book".

Thus to say in essense, the NT fufills the OT because before JESUS the Law was in operation guiding the sturbbon people. By the advent of Jesus Christ NEW LAW emerged the LAW of LOVE and GRACE.

Which means in OT there was no GRACE in the NT there is GRACE.
Now when we defy the AUTHORITY of the word of God and SUBSITUTE with other books as an ADDITIONAL truth we go wrong and are prone to judgement.
Colossians chapter 2 Says "Jesus is the fulfilment of the law.For the law was the SHADOW of things to come the REALITY however is FOUND in Christ."

The issue of Sunday or Sat. as a day of worship,Paul addresses this in Col 2. Whether you worship God on SAT MON or SUN as long as you worship the Lord it is acceptable.

SABBATH means REST and Jesus is the Lord of SABBATH and therefore when you believe in him you do RECEIVE SABBATH-REST from your sins. That the truth of the matter sir!

I gave you an exhaustive explanation why the authiority of the bible is not wholly applicable to the current pple of the new creation. Whta you do is just mis quote me. Now I understand who you! The same kind of pple I expected. Anyway no heresy here. But a heresy of your own creation!
 
I gave you an exhaustive explanation why the authiority of the bible is not wholly applicable to the current pple of the new creation. Whta you do is just mis quote me. Now I understand who you! The same kind of pple I expected. Anyway no heresy here. But a heresy of your own creation!
I respect your views.
Let's leave it at that and agree to disagree!
 
Lu-ma-ga,
Let me help you my friend like this. Agano la Kale ilikuwa ni kivuli cha Agano Jipya. Kina Musa walikuwa wakimweleleza Yesu Kristo wakati wa kuwakomboa Wana Israel toka Misri( Utumwani) kuwapeleka nchi ya ahadi Kanani. Yesu Kristo alipokuja kuukomboa Ulimwengu, Mungu aliagiza tumwangalie Yeye pekee kwa ajili ya Wokovu wetu toka dhambini kwa ajili ya kwenda nchi ya ahadi(Mbinguni).
" Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili kila amwaminiye asipotee baali awe na uzima wa milele" Yohana 3:16.
Bado Biblia inasistiza kwamba,
" Kwa neno au kwa tendo fanyeni kwa Jina la Yesu Kristo"
Wakolosai 3:17.

Hivo basi kujidanganya kuwa Mungu anaweza kusikia maombi ya mtu kupitia Rozali au Bikira Maria ni upotoshaji wa Neno la Mungu. Hayo ni mafundisho ya KIPAGANI ambayo kanisa Katoliki waliyaingiza kanisani kwa interest zao kama ilivyo Krismasi leo hii!
Haya mafundisho hayako mahali popote kwenye Biblia. Hakuna aya imetaja kusali Rozali, hakuna Bikira Maria utuombee wala hakuna Krismasi kuwa Yesu alizaliwa tarehe 25 Desemba mahali popote!!!Mwulize Padre, Kardinali, Askofu au Papa hawana maandiko! That was just Pagan Rome mixed with Christianity in years 320s!
Rozali ni sawa tu na hirzi kama hirizi yoyote. Kamwe Mungu hayuko kwenye ibada za sanamu na watu! Biblia insema,
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu. Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake, moyoni amemwacha BWANA" Yeremia 17: 5
Bikira Maria alikuwa mwanadamu kama wewe, alikufa na akaoza tu kama yeyote na kuna kaburi lake huko Israeli. Hivo kumwomba huyo mama ni sawa na kufanya ibada ya wafu!!! That is Biblical.
Umeelewa ndugu yangu Lu-ma-ga!
Ahsante sana Msabato naona unataka kutuaminisha kuwa Usabato wako ndio Dini bora zaidi duniani. Acha unafiki na uwongo na Dini yako Ndg yangu. Kila mmoja na Imani yake Wewe unaamini Usabato ndio bora, Lakini hata mimi naaamini Thehebu la R.C ndio dhehebu bora zaidi. Na kila mtu naaamini kivyake bila kukashifu Dini ya mwingine. Wewe umejifanya mjuaji wakati wote hatujui njia iliyo bora ni ipi na wapi. Kuna andiko linasema "Tuwe na Imani" hapa nazungumzia Imani ya kuabudu na kumshukuru na kumwomba Mwenyezi Mungu atusaidi katika Maisha yetu bila kuathriri Imani ya mtu mwingine. Nakuomba Usijaji nani naaamini nini na nini anataka. Sisi wote ni Binadamu hakuna ajuaye yepi ni njia sahihi toward Success. Nakuomba uache Singeli zako za kutafuta Kiki za kinafiki.
Soma vizuri utaelewa.
 
Hata mim nilipita singida wakati naelekea arusha jana
 
Na mimi natafuta rozali sasa sijui nikanunue au nikamwombe mtawa?
 
Back
Top Bottom