Nini kimemkuta Idris Sultan?

Nini kimemkuta Idris Sultan?

cocastic umesema analiwa na nini huyu
 

Attachments

  • Screenshot_2025-10-16_220334~2.jpg
    Screenshot_2025-10-16_220334~2.jpg
    190.4 KB · Views: 21
😂😂😂😂😂 nacheka hapa, hadi niko hoi.
Waja mko leleleee na msivyotaka kusikia.

Sizitaki mbichi hizi. Woiiiiiih
Hawataki kusikia wapi wakisogezewa wanachapa hao.

"Sizitaki mbichi hizi"
 
Hawezi kukubali kwamba inamuuma,lakini anayopitia huko duniani magumu kwake

Hata ningekuwa mie ningejikaza tu na hizo pambee tyuu😁
Aaaaaaaaaaah!!

Kuniumaaa? Kivipii? Kwamba kuwa ktk Gaysim ndo niumiee? Sasa si natoka tyuu, if hiko kitu sikitaki au sikipendi.

Magumu yapi hayo Duniani? Em fafanua, pengine kwako wee ni magumu na sio kwangu mie...

Kuna kujikaza kwenye Gays? Tena km hapa Bongo, kelele kwa keyboard, huko uraiani watu wako lelelee na hawajari wala nn?

Au Unasemea Trauma? Km ni hivyo bas hii ni kwa wale waliongia pasipo wao kutaka au kupenda, ila waliingia kwa kulazimishwa, au factor ingine na hawakua na namna na badoo wanakua na chance ya kutoka huko ikiwa wana dhamira ya kweli...

Walio ingia kwa ridhaa na matakwa yao, mbna mambo ni mswano tyuuu.

Nweiiiiii!! Life tamuu.
😂😂😂😂😂😂
 
Kuna mambo yanashangaza sana, hadi leo sijui kwa nini vijana wanashindwa kukaza hata upitie magumu gani.
Hawa kina cocastic unakuta wametokea maisha ya kijijini lakini wakifika mjini wanashindwa kupambana wanasubiri vya bure mwisho wa siku wanamponza mwaikimba
Bila kunitajaa huridhikii wee, unahisi
Hawataki kusikia wapi wakisogezewa wanachapa hao.

"Sizitaki mbichi hizi"
Kwa kweli
 
Bro uko nyuma… mitandaoni kunasemekana hivyo.. hizo habari ziliambatana masaa na kile kilichovuja juu ya Juma Lolo na SutiBega..🤭
Mara aliyekuwa mfanyakazi wa Zama.. kuwekwa Live( bila ye kujua) na yule Gay nimemsahau jina akawa anajimaliza 🥹 anaomba laki 2 kwa yule gay.. akamwambia akimpa Visa ya Canada ye atakubali kuolewa nae waishi 🥹🥹

Bro hali ni ngumu kwenye hizi kuta za vyumba… Mola alinde waja wake tu.

Cc Joanah
Rich yule ana matatizo ya akili sio mara ya kwanza kufanya ivyo live zake nyingi ndio mamb yake alimleta alslay live bila yeye kujijua
 
Back
Top Bottom