Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,624
- 40,190
Ndio nani huyo mfanyakazi wa zama niweke link nisome habari unajua Mimi sipo huko daslamu mengi siyajuiBro uko nyuma… mitandaoni kunasemekana hivyo.. hizo habari ziliambatana masaa na kile kilichovuja juu ya Juma Lolo na SutiBega..🤭
Mara aliyekuwa mfanyakazi wa Zama.. kuwekwa Live( bila ye kujua) na yule Gay nimemsahau jina akawa anajimaliza 🥹 anaomba laki 2 kwa yule gay.. akamwambia akimpa Visa ya Canada ye atakubali kuolewa nae waishi 🥹🥹
Bro hali ni ngumu kwenye hizi kuta za vyumba… Mola alinde waja wake tu.
Cc Joanah