Nini kimemkuta Idris Sultan?

Nini kimemkuta Idris Sultan?

Juma Lokole hujawahi msikia? Bro mbona hatuzeekagi hivyo lakini umekuja kuwaje!!😂😂
Yule wanatangaza na Mai Martha kipindi cha ICU kinarushwa na DStv.

Kuna jamaa alikuwa ni mfanyakazi wa Zamaradi ehee. Akaacha kazi kisa halipwi salary on time. Sasa huko mitandaoni ndio akawa nae anajiliza kwa gay apewe laki mbili na Visa ya Canada.
Lokole namjua vizuri braza, huyo anaetangaza na mai martha simjui sijawahi hata angalia hicho kipindi.

Hapo bold nimecheka mnooo bro
 
Aseee hafananii na hayo mambo,kumbe na yeye alikuwa anafanyia wengine 🥺

Binafsi nikisikia mtu shoga nasikitika haijalishi ni mwanafamilia(Mungu aepushe) ama rafiki
Mi nimezungumza general, sijamaanisha yeye kafanya hivyo japo ulichoelewa ndio ipo hivyo hivyo
 
Ubaya wa kutafuna mashoga ni lazima na wewe uje utafunwe maana utaona ni kawaida. Wengi wameingia kwenye ushoga kwa sababu hiyo

Jambo la pili mambo yakiwa magumu usikubali kulelewa na mwanaume mwenzio hasa mfanyabiashara sababu hakuna pesa ya bure.

Idris alipoishiwaga alikosea sana kwenda kuishi kwa Max.

Ushoga unachukiza, shoga anafurahisha akiwa hatokei kwenye familia yako

Cc: cocastic
Max sijawahi kuamini. Japo hiyo issue ilivuma kipindi alipolia baada ya kuacha kumsimamia Young D kama Manager.

Ila kila mtu ana dark side yake na kama mambo yote yangekuwa yaanaanikwa wazi, wazazi wangekufa kwa presha. Ila tuishi tu mkuu
 
Mmmh hana akili tu hio pesa angetafuta kiwanja huko tegeta ndani ndani siingekuwa powa, sasa saiv kapanga tu hana kwake mshika anjilaumu kimoyomoyo najua hilo, anyway bht haijirudii mara mbili kwishaaa

Umemuelewa huyo jamaa hapo juu ?

Ni kuwa masikini akipata 500M kwa mkupuo lazima atatumia hadi atabaki na hela inayoendana na akili yake ndo atawekeza.


Mfano Idriss alipomaliza huo mkwanja ndo alikumbuka kufungua ofisi ya kupiga picha na production.
 
Max sijawahi kuamini. Japo hiyo issue ilivuma kipindi alipolia baada ya kuacha kumsimamia Young D kama Manager.

Ila kila mtu ana dark side yake na kama mambo yote yangekuwa yaanaanikwa wazi, wazazi wangekufa kwa presha. Ila tuishi tu mkuu
Vijana wanapandwa kweli wala si utani
 
Back
Top Bottom