Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
Coca ana majibu atakuja kuelezea kwa undani 😂😂😂😂
Masikini Coca nae shoga 😥😥
Coca ana majibu atakuja kuelezea kwa undani 😂😂😂😂
Lokole namjua vizuri braza, huyo anaetangaza na mai martha simjui sijawahi hata angalia hicho kipindi.Juma Lokole hujawahi msikia? Bro mbona hatuzeekagi hivyo lakini umekuja kuwaje!!😂😂
Yule wanatangaza na Mai Martha kipindi cha ICU kinarushwa na DStv.
Kuna jamaa alikuwa ni mfanyakazi wa Zamaradi ehee. Akaacha kazi kisa halipwi salary on time. Sasa huko mitandaoni ndio akawa nae anajiliza kwa gay apewe laki mbili na Visa ya Canada.
Kwamba haujui bro au unataka nije nichambwe hapa na utu uzima huu 😁Masikini Coca nae shoga 😥😥
Umenitia ushahidi sijasema hivyo, Ila naamini umeelewa hivyo hivyo ulivyoelewa ipo hivyo japo sijasema hivyo 😅
Pengine donaMbona kama nuru imepotea ghafla kwa Idris Sultan, Nini kimemsibu star huyu?View attachment 3489504View attachment 3489505
Kwamba haujui bro au unataka nije nichambwe hapa na utu uzima huu 😁
Umejikanyaga kama yule polisi mahakamani kwenye kesi ya lisu 😂😂😂😂Umenitia ushahidi sijasema hivyo, Ila naamini umeelewa hivyo hivyo ulivyoelewa ipo hivyo japo sijasema hivyo 😅
#say no to defamation case
Kaibiwa bwanaaaa? 👂🏾🥵🥴🤐😪🫨Jana nimekutana na habari ati kaibiwa bwana na Ommy Dimpoz
Idris nae ni gay?
Umenitia ushahidi sijasema hivyo, Ila naamini umeelewa hivyo hivyo ulivyoelewa ipo hivyo japo sijasema hivyo 😅
#say no to defamation case
Mi nimezungumza general, sijamaanisha yeye kafanya hivyo japo ulichoelewa ndio ipo hivyo hivyoAseee hafananii na hayo mambo,kumbe na yeye alikuwa anafanyia wengine 🥺
Binafsi nikisikia mtu shoga nasikitika haijalishi ni mwanafamilia(Mungu aepushe) ama rafiki
Mambo ni mengi sana, vijana wanasikitisha.Braza nasikiaga tuuu watu wanasema lakini sina uhakika
Max sijawahi kuamini. Japo hiyo issue ilivuma kipindi alipolia baada ya kuacha kumsimamia Young D kama Manager.Ubaya wa kutafuna mashoga ni lazima na wewe uje utafunwe maana utaona ni kawaida. Wengi wameingia kwenye ushoga kwa sababu hiyo
Jambo la pili mambo yakiwa magumu usikubali kulelewa na mwanaume mwenzio hasa mfanyabiashara sababu hakuna pesa ya bure.
Idris alipoishiwaga alikosea sana kwenda kuishi kwa Max.
Ushoga unachukiza, shoga anafurahisha akiwa hatokei kwenye familia yako
Cc: cocastic
Inasemekana hivyoKaibiwa bwanaaaa? 👂🏾🥵🥴🤐😪🫨
Mi nimezungumza general, sijamaanisha yeye kafanya hivyo japo ulichoelewa ndio ipo hivyo hivyo
Mmmh hana akili tu hio pesa angetafuta kiwanja huko tegeta ndani ndani siingekuwa powa, sasa saiv kapanga tu hana kwake mshika anjilaumu kimoyomoyo najua hilo, anyway bht haijirudii mara mbili kwishaaa
Mambo ni mengi sana, vijana wanasikitisha.
Bwana anauma tuwalinde sanaInasemekana hivyo
Vijana wanapandwa kweli wala si utaniMax sijawahi kuamini. Japo hiyo issue ilivuma kipindi alipolia baada ya kuacha kumsimamia Young D kama Manager.
Ila kila mtu ana dark side yake na kama mambo yote yangekuwa yaanaanikwa wazi, wazazi wangekufa kwa presha. Ila tuishi tu mkuu