Idris Sultan (born January 28, 1996) is a Tanzanian Actor, comedian, and Radio host who won the Big Brother Africa-Hotshots in 2014. BBA Winner Idris Sultan He hosts the biggest comedy news show called SIO HABARI. Apart from that, he also hosts his own stand-up comedy show. He is well known in Tanzania through the vines he posts on Instagram. He also hosted a radio show called MwB(Mji wa Burudani) on "ChoiceFM" Tanzania.
"Netflix". Idris Sultan is also the first Tanzanian actor to be featured on Netflix streamed movie .
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Me naitwa Gerald Anthony Lyapega naishi Kinyerezi ni muhangaikaji wa kawaida tu kwa jina langu la mitaa wananiitaga GYGA.
Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara, mimi nina eneo hapa stendi Kinyerezi nilikuwa na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia kesi na kumwachia huru msanii wa vichekesho, Idris Sultani na wenzake wawili baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) akielezea mahakama hiyo kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Sultan na wenzake walikuwa wanakabiliwa na shtaka moja...
Wale Wapenzi wa Movie, "SLAY" aliyoshirikishwa msanii Mtanzania Idris Sultan (Mogul).
Inatarajiwa kuruka muda sio Mrefu.
Kwa Dar mzigo utaruka Pale Little Theatre Oysterbay kuanzia Saa Moja jioni...
Hakuna kiingilio.
Nitakuwepo pia and I will comeback here for Review.
Msanii mahiri wa Tanzania, aliyewahi kuwa mshindi wa Big Brother, Idriss Sultan apata dili la kimataifa la kuonekana kwenye kampuni kubwa ya kuonesha Movies ya NETFLIX
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.