Nini kimemkuta Idris Sultan?

Nini kimemkuta Idris Sultan?

GSM kamuacha now yupo na abduly mtoto wa kizmkaz
Nyie watu ni waongo, GSM hajawahi date na Dimpoz, hata ile ya kuibia, hadi wee shost hujui hili? Kwamba Dimpoz kuwq kwa GSM ni kwa minajiri ipii?

Unakwamaa wapii best??

Afu Abdul gani? Huyu wa kumpita shwaa traffic man? Aaaah hapanaaa
 
Juzi niliona yupo mgahawani na kijana mmoja wa zahanati ya kijiji, halafu akaandika dinner date
Niliona redflag

Kwahiyo huko mjini wasanii rundo ni upinde? Nimechoka kusikia hadi marioo
Mario sijawai sikia ila huyo mtunzi wanao mjua wanasema yupo hivyo toka mda sasa wanasema zaman alilegea zaidi

1760677656118.png
 
Nyie watu ni waongo, GSM hajawahi date na Dimpoz, hata ile ya kuibia, hadi wee shost hujui hili? Kwamba Dimpoz kuwq kwa GSM ni kwa minajiri ipii?

Unakwamaa wapii best??

Afu Abdul gani? Huyu wa kumpita shwaa traffic man? Aaaah hapanaaa
Kuna blog mmoja huwa wana weka na ushahidi kabisa now wameifungia
 
Juzi niliona yupo mgahawani na kijana mmoja wa zahanati ya kijiji, halafu akaandika dinner date
Niliona redflag

Kwahiyo huko mjini wasanii rundo ni upinde? Nimechoka kusikia hadi marioo
Nawanda? Maana huyu Dully ndo anamkubalii hatariii, ila alimkatalia, au ni kuwa kamkubalii now??

Wooooooiiiiii!
 
Nyie watu ni waongo, GSM hajawahi date na Dimpoz, hata ile ya kuibia, hadi wee shost hujui hili? Kwamba Dimpoz kuwq kwa GSM ni kwa minajiri ipii?

Unakwamaa wapii best??

Afu Abdul gani? Huyu wa kumpita shwaa traffic man? Aaaah hapanaaa
Kwahiyo mwachiluwi shost kumbe 😅😅😅
 
Bro uko nyuma… mitandaoni kunasemekana hivyo.. hizo habari ziliambatana masaa na kile kilichovuja juu ya Juma Lolo na SutiBega..🤭
Mara aliyekuwa mfanyakazi wa Zama.. kuwekwa Live( bila ye kujua) na yule Gay nimemsahau jina akawa anajimaliza 🥹 anaomba laki 2 kwa yule gay.. akamwambia akimpa Visa ya Canada ye atakubali kuolewa nae waishi 🥹🥹

Bro hali ni ngumu kwenye hizi kuta za vyumba… Mola alinde waja wake tu.

Cc Joanah
Aisee wana maisha ya ajabu sana
 
Blog gani hiyo? Ambayo siijui? Kuhusu Abdul ndo kwanza nasikia hapa. Km nae yuko ktk industry,
Ila Dimpoz na Joh, hawajawahi kuachana.
Bunge la east pale mpe picha tu ya mtu mambo yako yote una yakuta pale telegram ndio wana kuwa huru zaidi ushahidi juu siasa michezo kila sehemu wana gusa
 
Back
Top Bottom