Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,618
Mwamba kapungua sana
Swadaktaaa!!
Wee em sema kwelii?!Wote uliotaja namjua Nana na Dimpoz tuu
Watu mnajua mambo
Mtunzi yule ana haribu watoto nasikia alikuwa ana tembea na kimbembe now choloKiaje
Gavana joh walishaachana kitambo, baada ya hapo dimpoz akachukuliwa na GSM.Bwana yupi tena? Huyu si alikua na jamaa yule wa Nanah Dolls? Na walishaa achana kwani, yule jamaa yuko na skaveller wa Uganda, tena kampeleka kuishi Canada.
Kwani lini Dimpoz aliachana na Gavana Joh??
GSM kamuacha now yupo na abduly mtoto wa kizmkazGavana joh walishaachana kitambo, baada ya hapo dimpoz akachukuliwa na GSM.
Juzi niliona yupo mgahawani na kijana mmoja wa zahanati ya kijiji, halafu akaandika dinner dateMtunzi yule ana haribu watoto nasikia alikuwa ana tembea na kimbembe now cholo
Huna hata unalolijua, GSM ni rafiki wa karibu na JOH, na dimpoz pale Yanga yuko kwa shemeji ake, Joh hajawahi achana na Dimpoz.Gavana joh walishaachana kitambo, baada ya hapo dimpoz akachukuliwa na GSM.
Nyie watu ni waongo, GSM hajawahi date na Dimpoz, hata ile ya kuibia, hadi wee shost hujui hili? Kwamba Dimpoz kuwq kwa GSM ni kwa minajiri ipii?GSM kamuacha now yupo na abduly mtoto wa kizmkaz
Mario sijawai sikia ila huyo mtunzi wanao mjua wanasema yupo hivyo toka mda sasa wanasema zaman alilegea zaidiJuzi niliona yupo mgahawani na kijana mmoja wa zahanati ya kijiji, halafu akaandika dinner date
Niliona redflag
Kwahiyo huko mjini wasanii rundo ni upinde? Nimechoka kusikia hadi marioo
Kuna blog mmoja huwa wana weka na ushahidi kabisa now wameifungiaNyie watu ni waongo, GSM hajawahi date na Dimpoz, hata ile ya kuibia, hadi wee shost hujui hili? Kwamba Dimpoz kuwq kwa GSM ni kwa minajiri ipii?
Unakwamaa wapii best??
Afu Abdul gani? Huyu wa kumpita shwaa traffic man? Aaaah hapanaaa
Nawanda? Maana huyu Dully ndo anamkubalii hatariii, ila alimkatalia, au ni kuwa kamkubalii now??Juzi niliona yupo mgahawani na kijana mmoja wa zahanati ya kijiji, halafu akaandika dinner date
Niliona redflag
Kwahiyo huko mjini wasanii rundo ni upinde? Nimechoka kusikia hadi marioo
Blog gani hiyo? Ambayo siijui? Kuhusu Abdul ndo kwanza nasikia hapa. Km nae yuko ktk industry,Kuna blog mmoja huwa wana weka na ushahidi kabisa now wameifungia
Sio Nawanda! MizingaNawanda? Maana huyu Dully ndo anamkubalii hatariii, ila alimkatalia, au ni kuwa kamkubalii now??
Wooooooiiiiii!
Kumbe na kufundisha aliachaa? Kwa muonekano huo, ni bora aliacha ualimu.Mario sijawai sikia ila huyo mtunzi wanao mjua wanasema yupo hivyo toka mda sasa wanasema zaman alilegea zaidi
View attachment 3489724
Kwahiyo mwachiluwi shost kumbe 😅😅😅Nyie watu ni waongo, GSM hajawahi date na Dimpoz, hata ile ya kuibia, hadi wee shost hujui hili? Kwamba Dimpoz kuwq kwa GSM ni kwa minajiri ipii?
Unakwamaa wapii best??
Afu Abdul gani? Huyu wa kumpita shwaa traffic man? Aaaah hapanaaa
Tobaaaaa!! Ila Dully si hata ajiheshimu jamani kdg.Sio Nawanda! Mizinga
Aisee wana maisha ya ajabu sanaBro uko nyuma… mitandaoni kunasemekana hivyo.. hizo habari ziliambatana masaa na kile kilichovuja juu ya Juma Lolo na SutiBega..🤭
Mara aliyekuwa mfanyakazi wa Zama.. kuwekwa Live( bila ye kujua) na yule Gay nimemsahau jina akawa anajimaliza 🥹 anaomba laki 2 kwa yule gay.. akamwambia akimpa Visa ya Canada ye atakubali kuolewa nae waishi 🥹🥹
Bro hali ni ngumu kwenye hizi kuta za vyumba… Mola alinde waja wake tu.
Cc Joanah
Bunge la east pale mpe picha tu ya mtu mambo yako yote una yakuta pale telegram ndio wana kuwa huru zaidi ushahidi juu siasa michezo kila sehemu wana gusaBlog gani hiyo? Ambayo siijui? Kuhusu Abdul ndo kwanza nasikia hapa. Km nae yuko ktk industry,
Ila Dimpoz na Joh, hawajawahi kuachana.
Anko hapo kwenye avatar ni wewe?Tobaaaaa!! Ila Dully si hata ajiheshimu jamani kdg.
Ndo maana kaanzwa kuandamwa siku za hivi karibuni.