Nini kimemkuta Idris Sultan?

Nini kimemkuta Idris Sultan?

watz wengi bado ni washambaa wa mitandao hilo n tatizo, mwingine unga mwingine gay, mna uhakika? anyway justin bieber tulimtetea tukaumbuka mwishon

fullstop, kwishaaa
 
Mastaa wengi wanafirana nipange kwa kada inayotisha Zaid
1. Hip hop
2. Waigizaj
3. Wanahabar
4. Bongofleva
5. Mpira
6. Siasa
 
Mkuu hela ni nyingi sana ukiwa hujazishika. Ukizikamata zinakuwa kidogo. Mbaya zaidi kwa sisi tuliotoka familia fukara tunakuwa na uwezo mdogo wa kuhimili kushika hela nyingi kwa mara moja... yaani kunakuwa na wenge la hatari. Mara nyingi tunaishia kuzipoteza au kubakiza kidogo zinazoendana na akili zetu. Mara ya kwanza mimi kupata hela nyingi kwa mara moja ilikuwa mwaka 2006. Ilikuwa Tsh 117,600/= taslimu. Yaani nilitoka NMB Clocktower Arusha kwa spidi kali mwendo wa ngiri hadi Jogoo House stand kuu na kuagiza kuku & soda. Hadi narudi home nilikuwa na kama 40k tu.
Kuandika huku nikunyime like siwezi

Nachoka mimi baba yenu Clemence Mwandambo
 
Jana nimekutana na habari ati kaibiwa bwana na Ommy Dimpoz

Idris nae ni gay?
Bwana yupi tena? Huyu si alikua na jamaa yule wa Nanah Dolls? Na walishaa achana kwani, yule jamaa yuko na skaveller wa Uganda, tena kampeleka kuishi Canada.

Kwani lini Dimpoz aliachana na Gavana Joh??
 
Ubaya wa kutafuna mashoga ni lazima na wewe uje utafunwe maana utaona ni kawaida. Wengi wameingia kwenye ushoga kwa sababu hiyo

Jambo la pili mambo yakiwa magumu usikubali kulelewa na mwanaume mwenzio hasa mfanyabiashara sababu hakuna pesa ya bure.

Idris alipoishiwaga alikosea sana kwenda kuishi kwa Max.

Ushoga unachukiza, shoga anafurahisha akiwa hatokei kwenye familia yako

Cc: cocastic
Hivi nyie waja mbona mko so bitter na ushoga/shoga hasa Bottoms, kwan tatizo nn?.

Bora useme wee, huwa najiuliza nyie Wanaume straight uchwara hamuwezagi kusaidiana mkiwa kwa matatizo, ko ushikaji wenu kwa vijiwe na soga tyuu? Bas ni UNAFIKI.
 
Dimpoz kashfa ya hizo tabia anayo kitambo
Nilisikia na best yake Jux yumo ila kashaoa so naassume ilikuwa ni uongo
Ko mtu akioa bas sio shoga? Nyie Waja!!
Jux huyu aliekua anagombania bwana na Nedy Music, yule mkurugenzi wa Hyatt Regency.
Lol. 😂😂😂😂😂😂
 
Coca ana majibu atakuja kuelezea kwa undani 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 nyie tena, na kupitwaa hamtakiii.
Sultan ni verse, anakula na kuliwa, na hajawahi kuwa Top, maana ktk industry aliingia akiwa bottom. Lol
 
Back
Top Bottom