Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Subiri uone mimi kama nani!
Subiri uone coalition nyapara we!
Una wivu kwasababu nina coalition?
Aliyejiunga si ni profile ya rais?
Kama si yake pia ana taarifa ama pia ni matatizo yake!
Na kama anajua kuwa ana profile feki kwenye chombo kama facebook then hiyo ni crime!
Na watu tuko serious sina haja ya umaarufu!
Na mimi siogopi chochote kile mpambe nuksi we unayenifuatilia kishoga shoga!

NB:Me a small fish? You a big one huh?
Peleka majigambo ya kipuuzi hapa yenye kupitwa na wakati na ambayo yametufanya kurudi nyuma kimaendeleo kwa ufisadi!
Kama mmewatisha watanzania waliko nyumbani...Hapa mmekwama!
Kwani hatukumbuki Pinda aliposema kuwa serikali inaogopa kuwashitaki mafisadi kwasababu wana nguvu na mtandao wa kigaidi?
Kwani nani hajui kuwa kuna watu ambao si watanzania au waafrika ambao wamejiunga na group yangu huku mafisadi kama wewe mkikaa pembeni!
Nakwambia wewe unayesema ni trumpet subiri uone nitakacho pull out!
Na kama wewe ni mpambe nenda peleka taarifa kuwa time is running out and i aint scared of NO SHIT!

hizi kumbe ndio hoja za wapinzani, upinzani bado sana. Harafu wewe mushi kira mahari umo na unatumia nguvu kurazimisha unayoyataka, hivi hata siku moja umejifanyia self assessment ya mtiririko wako katika mada hasa unazozianzisha?unafikiri unaweza kuwaburuza watu unavyotaka? jukwaa rina watu wa aina nyingi na wanaojua mambo zaidi ya unavyovikiri wewe, unaiga utu wa mtu au ni utu wako ndio unakutuma kumwaga upupu humu jukwaani. Kumbuka sio razima wote tuwe na mawazo ya aina yako, na sio razima kushindwa mada basi uanze kuwasema wenzio hawana hoja na wakae pembeni wakati wewe mwenyewe kuweka hoja ni matatizo, are you an undergrad trying to learn how to compose an easy, you fumble a lot na nina shaka na performance yako na social life yako, what is that you want so hard to achieve? the majigambo you have wont bring you far brother, your personality is reflected much by your temper showing who you real are.
 
I am an Alien from outer space. I reside in Galaxy but have been assigned to follow various developments in this planet and provide you with alternative solutions.

1. Opposition Politicians you must come out clean and put the interest of the country at hear before your personal interests. YOU MUST agree to sit on one table and come out with agreed policies and election manifesto for election. You must form one party. If u do that Tanzanians will support you.

2. Prof. Lipumba, Mbowe, Mbatia, Mrema etc, its time now to iron out your differences. Come out clean and put the interest of Tanzanians as a priority. Form a large party now and more than 50% of Tanzanians will support you. If you dont do that, winning the election will be a dream. You must network people in villages to a big extent. You also need to find the best candidate with clean records to stand out in elections. Its not necessary for all of you to stand for an presidential elections.

Going to SATURN PLANET, I will be back again.
 
....Good challenge Alien, I, personally will vote for them if they unite!!!
 
Foremost,their unity must be organiused in such a way that,they can prove the spirit of togetherness by accomplishing one thing; To make sure that,they present a fair arguiments and challenging the government within twelve months to make an important amendments in election by laws soa as to allow smooth alliance from different major parties
 
Gosh!

I lost and mixed up the post for "CCM" and "Opposition". This happened when my Space Craft (Saucer) was passing the Sun. I am at Jupiter now and was taking a short cut via the sun. There was a force of MIXING.

ROBOT, are u there? Please separate the two posts if possible. They are useful
 
Gosh!

I lost and mixed up the post for "CCM" and "Opposition". This happened when my Space Craft (Saucer) was passing the Sun. I am at Jupiter now and was taking a short cut via the sun. There was a force of MIXING.

ROBOT, are u there? Please separate the two posts if possible. They are useful

Okay Alien. We'll. Have a Peaceful Time travel !
 
.... I thought aliens have command over robots. quite weird here is the other way round....a dazing mix up of the two though, i just hope this collabo wont be catastrophic!!! lol
 
Hi Allien,

I think you gotta come with new directives/solutions. These are well known to everybody on earth. Are you guys having the same kind of heat?, looks like what we think and believe in are the same as yours.

I challenge you to come with real solutions.
 
I am an Alien from outer space. I reside in Galaxy but have been assigned to follow various developments in this planet and provide you with alternative solutions.

1. Opposition Politicians you must come out clean and put the interest of the country at hear before your personal interests. YOU MUST agree to sit on one table and come out with agreed policies and election manifesto for election. You must form one party. If u do that Tanzanians will support you.

2. Prof. Lipumba, Mbowe, Mbatia, Mrema etc, its time now to iron out your differences. Come out clean and put the interest of Tanzanians as a priority. Form a large party now and more than 50% of Tanzanians will support you. If you dont do that, winning the election will be a dream. You must network people in villages to a big extent. You also need to find the best candidate with clean records to stand out in elections. Its not necessary for all of you to stand for an presidential elections.

Going to SATURN PLANET, I will be back again.

Wakuu,

Hili ni wazo zuri sana, hasa tukilitazama juu juu. Lakini, ninavyofikiri linakuwa rahisi kimazungumzo na gumu sana kiutendaji.

Kwanza najiuliza, wapinzani ndio akina nani? Ni CHADEMA, CUF, TLP, UDP, NCCR na DP au ni Mbowe, Lipumba, Mrema, Cheyo, Mbatia na Mtikila? Jibu ninalopata ni kuwa hivyo ni vyama vya kisiasa na hao ni viongozi tu wa vyama hivyo. Vyama vikikosa wanachama na viongozi wakakosa wafuasi basi hayo yanakuwa ni majina tu.

Wapinzani ni mimi, wewe na yeye. Wapinzani ni wananchi wote wasioukubali mwenendo wa serikali iliyopo madarakani na chama chake. Si lazima uwe mwanachama wa chama chochote kuwa mpinzani na si lazima uwe na kiongozi kuwa mpinzani.

Nguvu ya chama na uongozi, inatokana na mimi, wewe na yeye. Wafuasi ambao huwa wananchi ndio wanaoweza kushinikiza chama na viongozi kuungana na kuwa chama kimoja na msimamo mmoja. Katika nchi zisizokuwa na ujinga na uwoga kama huu tulionao sisi watanzania, vyama huendeshwa na wananchi wenyewe na viongozi huwekwa na kuondolewa na wananchi wenyewe.

Kwa hiyo tusivibebeshe vyama na viongozi wake lawama, tukaacha kuibeba lawama hiyo sisi wananchi wenyewe. Tanzania ina vijiji vingapi? Umesha weza kung'amua itachukua muda gani na kwa gharama gani kwa mtu kuwatembelea watu wote Tanzania nzima? Wewe mchango wako ni nini au ni upi katika kuliwezesha hilo lifanyike kwa ufanisi mpaka uweze kuvishauri vyama na viongozi wake kwenda huko kuhamasisha?

Unapodai hutawapigia kura, katika fikra zako unamkomoa nani? Mimi nafikiri unajikomoa wewe mwenyewe. Mabadiliko nchini Tanzani ni lazima uyatake wewe na mabadiliko hayo yataletwa na wewe mtanzania. Vyama na viongozi vi/wanakupa wewe mtanzania platform ya kuletea mabadiliko. Ni juu yako na jukumu lako kutumia platform hizo kujiletea mabadiliko na maendeleo.

Hupigii kura chama au kiongozi wake, kura unajipigia wewe mwenyewe. Neema ikiingia nchini ni neema yako pia, si ya chama na kiongozi wake pekee na balaa ikiingia nchini ni balaa yako hali kadhalika. Na wala si balaa ya chama na kiongozi wake pekee.
 
2. Prof. Lipumba, Mbowe, Mbatia, Mrema etc, its time now to iron out your differences. Come out clean and put the interest of Tanzanians as a priority. Form a large party now and more than 50% of Tanzanians will support you. If you dont do that, winning the election will be a dream. You must network people in villages to a big extent. You also need to find the best candidate with clean records to stand out in elections. Its not necessary for all of you to stand for an presidential elections.

To the contrary, I think a forced and dare I say bastardized merger, not based in ideological consensus and feigned for the sake of winning election to be an undemocratic shortlived combustive acrobatic, destined to fail.

I would rather see different but real manifestoes than a patched up sham coalition.
 
Allien is back from distant Galaxies . . . . Watch out for more instructions!

alien-flying-saucer_~FOP002.jpg
 
To the contrary, I think a forced and dare I say bastardized merger, not based in ideological consensus and feigned for the sake of winning election to be an undemocratic shortlived combustive acrobatic, destined to fail.

I would rather see different but real manifestoes than a patched up sham coalition.

In principle yes, one would like to see real differences. But in reality I would go with getting rid of Chama Cha Mafisadi irrespective of how that is done.
 
....Good challenge Alien, I, personally will vote for them if they unite!!!

Steve D, excellent. I want to you to amplify this fact whenever you find time to post

Dr. Slaa, Mnyika, Zitto, Mbowe, Lipumba, Mbatia, Mrema, etc. I know you all visit JF. Dr. Slaa I am giving you a challenge of pioneering this idea and convey a meeting of all political parties to set an MoU by November 2008.

I want you to respond back here. If you have any problem in achieving that let me know, I will help you.
 
Foremost,their unity must be organiused in such a way that,they can prove the spirit of togetherness by accomplishing one thing; To make sure that,they present a fair arguiments and challenging the government within twelve months to make an important amendments in election by laws soa as to allow smooth alliance from different major parties

Ben, very good . . .

Dr. Slaa . . . take up this fact
 
Allien.. nimepitia posts zako zile and I'm starting to like you... may be because I have had somesort of encounter of the third kind.. !
 
Allien.. nimepitia posts zako zile and I'm starting to like you... may be because I have had somesort of encounter of the third kind.. !

Mzee Mwanakijiji, thank you.

You are one of the few people at JF who has a very high influence to readers. You also command high respect because of your strong arguments and your sense humility to accept where you have been proved to be wrong. This is a very good character.

You can do more and bring impact to many. What to do? Concentrate now on posts of suggesting solutions finally after you have done all your analysis in any of your posts. Tanzanians now know their problems, they only need people to take them away from their problems.
 
I am an Alien from outer space. I reside in Galaxy but have been assigned to follow various developments in this planet and provide you with alternative solutions.

1. Opposition Politicians you must come out clean and put the interest of the country at hear before your personal interests. YOU MUST agree to sit on one table and come out with agreed policies and election manifesto for election. You must form one party. If u do that Tanzanians will support you.

2. Prof. Lipumba, Mbowe, Mbatia, Mrema etc, its time now to iron out your differences. Come out clean and put the interest of Tanzanians as a priority. Form a large party now and more than 50% of Tanzanians will support you. If you dont do that, winning the election will be a dream. You must network people in villages to a big extent. You also need to find the best candidate with clean records to stand out in elections. Its not necessary for all of you to stand for an presidential elections.

Going to SATURN PLANET, I will be back again.


One way of doing it is forming one party, au kusimamisha mgombea mmoja but that is not the only way. There are alternatives to that, for example, when WE say "winning the election" what do we mean exactly? Vyama mbadala kwa jumla wao vikipata 70% ya viti vya wabunge bila kushinda kiti cha Urais - tutaitafsiri vipi hii?


.
 
Wana JF nimekuwa najaribu kutafakari kuhusu hali ya kisiasa na kiuongozi katika nchi yetu na maswali yanakuwa mengi zaidi ya majibu. Kuna kipindi marehemu Nyerere alisema kama niki-paraphrase kuwa mageuzi au upinzani wa kweli utakuja kutokea CCM, tukiangalia hali ya mambo yanavyokwenda na CCm kuwa na moto mpya wa kuanza kufungua matawi mapya na kutafuta wanachama wapya nchi za nje je hiki kinaashiria lolote lile au wanajaribu kupiga mahesabu ya mbali ambayo hatuelewi. Kampeni ya CCM inayoendelea ni kufungua matawi kadhaa katika miji mingi kwa kadiri itakavyowezekana nje ya nchi na kupata wanachama wapya walioko nje, kwa mfano CCM watakuwa wanafungua tawi jipya Missouri wikiendi hii na pia watakuwa katika miji mingine pia kwa mwezi huu na inayofuatia. Je tutegemee upinzani wa kweli kutokea ndani ya CCM? Je Kuna dalili za kutosha kuwa upinzani tulionao ukishirikiana na wote wanaopenda maendeleo ya kutetea nchi yao katika utaratibu mzuri wa kiuongozi na kuwajibika utatufikisha katika hali bora ya kimaisha?
 
Back
Top Bottom