Kitila,
Kama kawaida yetu, usipende kuvivua vyama vya upinzani majukumu yao ya kuongoza. Ndiyo, kazi ya kuwaondoa CCM ni ya wananchi wa kawaida kama akina Kalamu, wanaohitaji kuongozwa kutimiza lengo hilo. Hata vitani, jeshi haliendi kiholela tu, eti kwa kumwona adui alipo.
Ndio, kati yetu, hata sisi raia, kila mmoja wetu anao wajibu katika ngazi mbalimbali; na hasa "tukishaunganishwa" na NGOs, viongozi wa dini, na kwa sehemu kubwa zaidi na majemedari wetu, wanasiasa wa vyama vya upinzani. Afterall, hawa wanayohadhi tofauti kabisa katika jamii hii. Wamejitoa wenyewe kuifanya siasa iwe ndio kazi yao. Ni lazima jasho liwavuje. Ingekuwa ni katika enzi za kupigania uhuru, ni hawa hawa ndio wangekuwa tayari kuweka maisha yao juu ya mstari, kuikomboa nchi yao.
There is no justification, no excuse whatsoever, that can adequately explain the impotence displayed by our opposition parties, even in dismaying moments such as the type we are experiensing at this moment.
Kama kawaida yetu, usipende kuvivua vyama vya upinzani majukumu yao ya kuongoza. Ndiyo, kazi ya kuwaondoa CCM ni ya wananchi wa kawaida kama akina Kalamu, wanaohitaji kuongozwa kutimiza lengo hilo. Hata vitani, jeshi haliendi kiholela tu, eti kwa kumwona adui alipo.
Ndio, kati yetu, hata sisi raia, kila mmoja wetu anao wajibu katika ngazi mbalimbali; na hasa "tukishaunganishwa" na NGOs, viongozi wa dini, na kwa sehemu kubwa zaidi na majemedari wetu, wanasiasa wa vyama vya upinzani. Afterall, hawa wanayohadhi tofauti kabisa katika jamii hii. Wamejitoa wenyewe kuifanya siasa iwe ndio kazi yao. Ni lazima jasho liwavuje. Ingekuwa ni katika enzi za kupigania uhuru, ni hawa hawa ndio wangekuwa tayari kuweka maisha yao juu ya mstari, kuikomboa nchi yao.
There is no justification, no excuse whatsoever, that can adequately explain the impotence displayed by our opposition parties, even in dismaying moments such as the type we are experiensing at this moment.