Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Bila kuwataja hao watu wasiotaka haki isitendeke inaonesha uoga au heshima kwa hao watu?

Halafu hujasoma hii posting yangu?

jmushi
Nadhani tumekumbana kule facebook!
Mimi ndugu yangu nimeshaweka wazi kuwa tumempa Mh Rais muda ili awashughulike mafisadi!
Na asipofanya hivyo...Mimi si wa kulaumiwa!
Halafu si ana facebook page?
Ama ni fake?
Hilo ni juu yake!
Tunataka ripoti ya kamati ya madini
 
Bado hujasema hicho ambacho ccm wamekifanya! uzuri uko wapi? huko kwenu hakuna mifano?





Msijidanganye na nani?



Haya umeyasikia wapi kuwa kuna watu hawataki kusikia vyama vya vikikosolewa.



Mambo mengine muhimu pia ni yapi hayo?



Kama kuongoza nchi sio lelemama kwa nini msi-resign na kuwaachia wale wenye uwezo wa kuongoza?



Unatumia wingi hapa ukimaanisha wewe na nani?

Ukisoma hii thread vizuri utaweza kuchangia vizuri. Wingi ni mimi na watanzania wengine wanaoweza kupiga kura..
 
kwi kwi kwi ..... Haya mkuu nimekuelewa na nakuunga mkono kwenye juhudi za kuhamasisha haki itendeke.

Kuna watu wangu tutakusanya signatures kama Mh Rais ana underestimate our resolve then he might be mistaken!
 
Ukisoma hii thread vizuri utaweza kuchangia vizuri. Wingi ni mimi na watanzania wengine wanaoweza kupiga kura..

Na ndio maana kwenye ile group niliyoianzisha niliweka hiyo picha hapo juu!
Nimejaribu pia kuweka mazuri ya Taifa langu na si useme eti nimeweka mabaya peke yake
 
Najua hiyo picha huyu bwana ameitoa kule facebook ambapo nimeanzisha group inayosema.."African corrupt leaders should be held Accountable"
Halafu kwenye group nikaanzisha mada yenye kuanza mjadala wa namna viongozi wetu wanavyodili na ufisadi!
Hata hivyo nimekupata!
Pia ninashangazwa sana kuona kuwa kuna watu wasiopenda haki itendeke!

Huko facebook sijafika, picha nimeitoa:

www.tailormadeholidays.co.uk/images/destinations/tanzania.jpg

unaweza google image "Tanzania" zipo nyingi tu!
 
Mwakani kunauchaguzi wa Serikali za Mitaa (Serikali za Vijiji na Mitaa) nadhani utatoa kipimo cha hoja hii. Kumbaka toka uchaguzi huo, kutakuwa na mwaka mmoja tu ili kufanyika uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.
 
tanzania.jpg

Vyama vya upinzani bado sana..

Kunyoosha kidole au kukosoa si kazi kubwa kama kuendesha nchi. Baada ya kusema hivyo, napenda kusema ya kwamba, hizi zote ni kazi zinazoitaji kwenda sambamba. CCM pamoja na yote yanayotokea hivi sasa, bado ni chama madhubuti zaidi kuongoza nchi yetu kwa sasa. Tusijidanganye na mapenzi yetu ya vyama vya siasa, upizani (Chadema ,CUF nk..) hawako tayari kuchukua madaraka ya nchi kwa sasa. Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani viko katika hali nzuri zaidi kujijenga na kuleta changamoto zaidi kwenye bunge letu katika hiki kipindi na kipindi kijacho.

Kukosolewa na kujirekebisha kwa chama ndiko kuna imarisha chama, kwa hiyo wale wana JF ambao hawataki kusikia vyama vyao vinakosolewa wanavidhoofisha vyama vyao.

Kuna mambo mengi tu tunayoweza kujivunia sisi watanzania, haya mambo yameletwa na wananchi chini ya uongozi wa CCM. Leo tunazungumzia ufisadi ambao ni pigo kubwa sana kwa jamii. Vyombo vya habari vimefanya kazi nzuri kuhamasisha wanachi kwa ujumla katika hili jambo. Sasa umefika wakati wa kuangalia mambo mengine muhimu pia. Wana JF na waandishi wa habari msijisahau mkawa kama nchi za magharibi na utangazaji wa habari mbaya tu(negative publicity) kuhusu Afrika au Tanzania (specifically). Au ni kwasababu ya kuishi au kusoma magharibi? Wana JF tuchambue mambo kwa uwazi zaidi kwa faida ya Jamii na sio vyama vya siasa.

Kuongoza nchi sio lelemama, nitatoa mfano mfupi tu wa HAMAS kule Palestine, hawa wamekua nguzo muhimu sana katika mapambano ya kivita zidi ya waisraeli, lakini walikua hawako tayari kutawala, sasa hivi,HAMAS wameshikilia GAZA na wanashindwa kuiendesha na kuendeleza mapambano vizuri kama zamani, wanapoteza wafuasi wao wengi (well this is another issue). Je ni kweli tuko tayari kumpa nchi jini huyu tusiyemjua??🙂

Kwenye highlight pamoja na picha kunanifanya kuamini kuwa wewe ni mmojawapo wa wana facebook amabye hakufurahishwa na nilichokifanya!
 
Haya mambo ya Hamas yametoka wapi kama si taunting?
 
Sikiliza mapambano..
Miraji Kikwete ni mmojawapo wa marafiki wangu wa facebook...
Na kuna profile ambayo inaonyesha kuwa ni ya mzee wake mh Rais.
Sina uhakika kama ni credible profile ama la!
Ila kama isingekuwa credible ingeshafutwa already!
Kwa hiyo basi..Wao pia niliwaalika kwenye grupu!
Hawajajiunga...Ila najua members family wengi wa Muungwana ni supporters wa Hilarry Clinton.
Ila nilisikitishwa pale Muungwana mwenyewe aliposhindwa kuweka wazi mbele za Bush kuwa Demokrasia ya kweli inaelekea kufanya kazi kwani sasa kuna mgombea mweusi mwenye nafasi kubwa ya kuwa rais!
Badala yake..."I can not venture in that territory"
Yani wengine wanye na kuifisadi teritory yetu halafu sisi tusiyasifie yale mazuri hata kama hayatawafurahisha kwa muda mfupi?
 
Na wale wanaotaka kujenga hoja kuwa mimi ni msaliti...Then tutaona!
 
Sikiliza mapambano..
Miraji Kikwete ni mmojawapo wa marafiki wangu wa facebook...
Na kuna profile ambayo inaonyesha kuwa ni ya mzee wake mh Rais.
Sina uhakika kama ni credible profile ama la!
Ila kama isingekuwa credible ingeshafutwa already!
Kwa hiyo basi..Wao piz niliwaalika kwenye grupu!
Hawajajiunga...Ila najua members family wengi wa Muungwana ni supporters wa Hilarry Clinton.
Ila nilisikitishwa pale Muungwana mwenyewe aliposhindwa kuweka wazi mbele za Bush kuwa Demokrasia ya kweli inaelekea kufanya kazi kwani sasa kuna mgombea mweusi mwenye nafasi kubwa ya kuwa rais!
Badala yake..."I can not venture in that territory"
Yani wengine wanye na kuifisadi teritory yetu halafu sisi tusiyasifie yale mazuri hata kama hayatawafurahisha kwa muda mfupi?

I don't know Miraji or the facebook stuff you are talking about. You seem heart broken because your friends never joined. Ndio mambo ya demokrasi
 
Back
Top Bottom