Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

I don't know Miraji or the facebook stuff you are talking about. You seem heart broken because your friends never joined. Ndio mambo ya demokrasi

Kama humjui Miraji Kikwete na wala hujui facebook umejuaje kuwa marafiki zangu hawajajiunga?
Kwani nani asiyejua tuna nidhamu za woga?
 
Hata wao wasipojiunga unafikiri hawasapoti kuwa mafisadi wawajibishwe?
Unless na wao ni mafisadi jambo ambalo sitaki kuamini!
 
Kama humjui Miraji Kikwete na wala hujui facebook umejuaje kuwa marafiki zangu hawajajiunga?
Kwani nani asiyejua tuna nidhamu za woga?

Jmushi, are you ok!? umepost hapo juu, before I posted...nidhamu ya woga sina
 
Jmushi, are you ok!? umepost hapo juu, before I posted...nidhamu ya woga sina

Sikiliza mapambano..
Miraji Kikwete ni mmojawapo wa marafiki wangu wa facebook...
Na kuna profile ambayo inaonyesha kuwa ni ya mzee wake mh Rais.
Sina uhakika kama ni credible profile ama la!
Ila kama isingekuwa credible ingeshafutwa already!
Kwa hiyo basi..Wao pia niliwaalika kwenye grupu!
Hawajajiunga...
Ila najua members family wengi wa Muungwana ni supporters wa Hilarry Clinton.
Ila nilisikitishwa pale Muungwana mwenyewe aliposhindwa kuweka wazi mbele za Bush kuwa Demokrasia ya kweli inaelekea kufanya kazi kwani sasa kuna mgombea mweusi mwenye nafasi kubwa ya kuwa rais!
Badala yake..."I can not venture in that territory"
Yani wengine wanye na kuifisadi teritory yetu halafu sisi tusiyasifie yale mazuri hata kama hayatawafurahisha kwa muda mfupi?

Jmushi umeandika mwenyewe
 
Ama ni muungwana mwenyewe?
Weka wazi hakuna ubaya wowote!
 
Unajua ni heri uzungumze na wananchi kuliko kukaa kimya!
Waeleweshe!
 
Nimekamata kapu kubwa kabisa la korosho za kuchemsha na chicha la nguvu toka bariadi ili kumalizia hii movie iliyoanza muda mfupi kabla theaters zote hazijafungua milango.

.....enhee.... mapambano umeishiwa gas?
 
Anatakiwa aje hapa JF atuwekee wazi na tutamweshimu na kuvuta subra
 
Nimekamata kapu kubwa kabisa la korosho za kuchemsha na chicha la nguvu toka bariadi ili kumalizia hii movie iliyoanza muda mfupi kabla theaters zote hazijafungua milango.

.....enhee.... mapambano umeishiwa gas?

Mwafika wa kike, the tank is always full, nilikua na multitask, forum iko wazi
 
Naona ni reshuflles tu...Duh!
Haya we!
Mambo yaendelea kuwa mambo!
 
Naona wamesha merge

RE:Vyama vya upinzani bado sana..

Imepoteza maana yake. Haya ndio niliyokua nikisema, Kwanini waiunganishe hii hapa? Inapoteza maana ya hii thread. Tunaanza kuwa na ukiritimba ata hapa? Nimeomba hii "Vyama vya upinzani bado sana.." Wengine hatuna chama, wala makundi...so I would rather stand on my own or not be involved!!
 
Back
Top Bottom