iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
iwe angalau kituo cha afyaNi ajabu na aibu urambo ni choka mbaya sasa sijui wananchi wananufaika vipi na ofisi hii labda waigeuze makumbusho ya spika inaweza kuingiza pesa kupitia utalii
iwe angalau kituo cha afyaNi ajabu na aibu urambo ni choka mbaya sasa sijui wananchi wananufaika vipi na ofisi hii labda waigeuze makumbusho ya spika inaweza kuingiza pesa kupitia utalii
kweli mkuuHizi siasa ngumu sana kuzielewa ndugu yangu. Mi nilienda Urambo mwaka 2010 nikaikuta hiyo ofisi cha kushangaza hakuna activity zozote zinazoashiria kuwa hiyo ofisi iko active.
Ilikua ni bad expenditures kwa government kujenga hiyo ofisi. Maswali yako ni ya msingi sana kwa upande wa pili wa shilingi. Wasiwasi wangu ni kwamba haya maswali hata yakipelekwa bungeni hakuna majibu ya msingi yatakayotolewa. Tugange yajayo
duuhTunampango wa kuigeuza na kuwa ofisi ya CCM wilaya!!
etii??Hoja zingine majibu yake yanahitaji kutulia na kuwahusisha wahusika.
Naambiwa ni ofisi ya MBUNGEKipindi cha Uspika wake ndugu Samwel John Sitta alijenga Ofisi ya Spika Jimboni Mwake Urambo ( Sijui huyu alikuwa anawaza nini)
1. Je Haukuwa Ubadhirifu wa Mali ya Uma ukizingatia sasa hivi ile ofisi haitumiki?
2. Je itakuwa ni Busara kwamba Bunge liweke kigezo cha Kuwa Mbunge wa Urambo kama kimojawapo cha mtu Kugombea nafasi ya Spika ili ile ofisi iwe inatumika?
3. Nini Hatima ya ile ofisi je itumike kama Kituo cha afya?
Wapambe wa Sitta akina Malaria Sugu, FaizaFoxy, rizt, Rejao pamoja na kutambua kwamba Mgao wa Vocha Umepungua naamini mtapata nafasi ya kuja kutoa Mawazo yenu pia.
Duuh Kikwete nae sijui alikua anafikiria nini kwenda kuzindua hii ofisi? looh!!Rais Jakaya Kikwete atembelea Urambo na Ofisi Mpya ya Mbunge na Spika wa Bunge Samwel Sitta iliyogharimu Millioni 170
Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuzindua rasmi Ofisi ya Mbunge wa Urambo Mashariki. Aliyesimamam ni Mbunge wa Urambo Mashariki ambaye pia ni Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta.
Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kufungua rasmi Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki Mhe. Samuel Sitta (Kushoto) ambaye pia ni Spika wa Bunge. Ofisi hiyo imeghrarimu jumla ya Tsh 170 Million, ikiwa ni mpango wa serekali kujenga ofisi za wabunge katika kila majimbo yote nchini.
Rais Jakaya Kikwete akikagua Ofisi ya Mbunge wa Urambo Mashariki mara baada ya kuizindua rasmi mjini Urambo. Kulia kwake ni Mbunge wa Urambo Mashariki ambaye pia ni Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta. Ofisi hiyo imeghrarimu jumla ya Tsh 170 Million, ikiwa ni mpango wa serekali kujenga ofisi za wabunge katika kila majimbo yote nchini.
Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki Mhe. Samuel Sitta ambaye pia ni Spika wa Bunge akiwakaribisha waheshimiwa wabunge mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege Urambo kuhudhuria ufunguzi rasmi wa Ofisi ya Mbunge wa Urambo Mashariki. Kushoto ni Mbunge wa Mafia Mhe. Abdukarim Shah.
Ninaomba niwe hai kipindi hicho.Miaka michache ijayo nina uhakika utakuja hapa kuuliza matumizi ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato ambao wakati huo wenyeji watakuwa wakianika dagaa na kuchungia mifugo
Hahaha yaani ndio kusema dagaa watakuwa na dhamani kuliko ndege zetu za ATCL?Miaka michache ijayo nina uhakika utakuja hapa kuuliza matumizi ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato ambao wakati huo wenyeji watakuwa wakianika dagaa na kuchungia mifugo
Ndege ziende huko bila abiria. Kile cha Mpanda nasikia vijana wanafanyia mazoezi ya mpira. Sijui ni porojo?Hahaha yaani ndio kusema dagaa watakuwa na dhamani kuliko ndege zetu za ATCL?