barabara ya lamiTunajadili hili kwa sababu mzee wetu sita katutoka ila kama tutakuwa na uwanja wa ndege mkubwa na hakuna ndege ya kutua tutageuza kuwa kitu gani?
hatariJamani hii nchi haiishi viroja
Yaani ofisi ilijengwa Urambo? Kwa kweli hili ni jipya kabisa masikioni mwangu na bila shaka jamaa alidhani atakuwa Spika wa kudumu
Yaani ni wizio mtupu huu, hata ukipakwa rangi gani bado utabakia kuwa wizi na kushindwa kujua vipaumbele vya taifa
ndio hapo sasaUshahidi mwingine kuwa hawa wangine tunawachekea lakini nao ni hatari, yeye alijua atadumu kwenye usipika kama Chifu Adamu Sappi Mkwawa! Na haya yote yalifanyika mbele ya macho ya maccm bila hata kutia neno!
Hii habari ni ya kweli au tuna piga tu maneno hapa? Weka picha tuoneHuyu mhe (rip) alijenga ofisi ya spika jimboni kwake urambo,inatumika kwa shughuli gani?
napendekeza ifanywe dispensary au itafutiwe matumizi mengine ya umma
Huyu mhe (rip) alijenga ofisi ya spika jimboni kwake urambo,inatumika kwa shughuli gani?
napendekeza ifanywe dispensary au itafutiwe matumizi mengine ya umma
Dah! hatari sana.Mambo yanayotendeka TZ yangetokea China ni kunyongwa tu. Sitta alipaswa kuwa marehemu sasa. Cha ajabu marehemu anautafuta urais. This is possible ONLY in TZ!.