Na hospitali ya kanda ya rufaaHua sielewi kwanini Shujaa alijenga uwanja wa ndege kijijini kwake.
Alifocus kwenye maeneo ambayo yatasaidia kuongeza uchumi wa nchi kwa kasi kipindi hicho kuliko kuwekeza kwenye maeneo ambayo hayana mzunguko wa pesa wa uwakikaTusiiache pia kujiuliza kwanini Nyerere hakuwa anapenda kwao
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Mimi mwenyewe huwa sielewi ilikuwaje Magu akachota pesa milioni 38 kwenda kumtoa Jela Peter Msigwa ( kwamba ni Ndugu yake )Hua sielewi kwanini Shujaa alijenga uwanja wa ndege kijijini kwake.
Comrade, viongozi wa Chadema ndivyo walivyo wabinafsi. Kuna mwana Chadema mwingine kajijengea hadi airport kule Chato!Yaani hii nchi kuna mambo ukiyatafakari sana utaishia kupiga magoti na kuomba toba kwa mwenyezi Mungu.
Sasa hayati Sitta alijenga ofisi ya Spika jimboni kwake Urambo kwa maslahi ya nani wakati haitumiki?
Ngoja niishie hapo!
Huelewi kuwa hiyo ndiyo sera yenu ya CCM kujilimbikizia mali kwa dhuluma na wizi! Kama shetani mtu Magufuli aliweza kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa na Ikulu kijijini kwake Chato, nini cha ajabu hapo?Yaani hii nchi kuna mambo ukiyatafakari sana utaishia kupiga magoti na kuomba toba kwa mwenyezi Mungu.
Sasa hayati Sitta alijenga ofisi ya Spika jimboni kwake Urambo kwa maslahi ya nani wakati haitumiki?
Ngoja niishie hapo!
Kwani ni lini aliacha kwenda kwao na kufanya shughuli za kilimo Butiama.Tusiiache pia kujiuliza kwanini Nyerere hakuwa anapenda kwao
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Kwa ajili ya Wanageita na watalii wanaotembelea mbuga ya Burigi kama unaumia sana kunywa sumu ufe!!Kwanini dikteta alijenga uwanja wa ndege wa kisasa pale Chato?
Hahahaaaa....... Inafikirisha bwashee!Mimi mwenyewe huwa sielewi ilikuwaje Magu akachota pesa milioni 38 kwenda kumtoa Jela Peter Msigwa ( kwamba ni Ndugu yake )
Wakati angeweza kumsamehe tu kwasababu alikuwa mfungwa tayari.
Akashindwa hata kabarabara kakufika pale NyumbaniKwani ni lini aliacha kwenda kwao na kufanya shughuli za kilimo Butiama.
Shida ya kufikiri madaraka hayana ukomo. Shida kufikiri Tanzania ni ya walio kwenye madaraka tu. Shida ya kufikiri kazi za umma ni kama kuendesha familia binafsi.Yaani hii nchi kuna mambo ukiyatafakari sana utaishia kupiga magoti na kuomba toba kwa mwenyezi Mungu. Sasa Hayati Sitta alijenga ofisi ya Spika jimboni kwake Urambo kwa maslahi ya nani wakati haitumiki?
Ngoja niishie hapo.
Nchi hii ina maajabubmengi sana;Yaani hii nchi kuna mambo ukiyatafakari sana utaishia kupiga magoti na kuomba toba kwa mwenyezi Mungu. Sasa Hayati Sitta alijenga ofisi ya Spika jimboni kwake Urambo kwa maslahi ya nani wakati haitumiki?
Ngoja niishie hapo.
Kwa Nyerere ilikuwa Tanzania nzima, huyo ndiye mzalendo namba moja na nusuTusiiache pia kujiuliza kwanini Nyerere hakuwa anapenda kwao
Hakuna Uzalendo wa kutopenda NyumbaniKwa Nyerere ilikuwa Tanzania nzima, huyo ndiye mzalendo namba moja na nusu
Mimi najiuliza kwa nini ATCL, TTCL na mashirika mengine ya umma walikuwa wanatoa gawia feki kwa serikali yaani mzalendo namba moja anawapa pesa gizani halafu wanakuja kumrudishia mbele ya kamera na mic kama kama gawio kwa serikaliMimi mwenyewe huwa sielewi ilikuwaje Magu akachota pesa milioni 38 kwenda kumtoa Jela Peter Msigwa ( kwamba ni Ndugu yake )
Wakati angeweza kumsamehe tu kwasababu alikuwa mfungwa tayari.