Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

😂 inaweza kuwa utani au serious mkuu ila me nimeongelea kuhusu kupenda ila kukubali au kukataa ni juu yako
Acha basi! Kwahiyo unaniweka kabisa kwenye mambo ya namna hii wakati unajua mimi na violence ni hivi
CC3C3B03-77B8-4134-8A01-F15955EEB937.jpeg
 
Mbona unakuwa mjinga na mpumbavu mkuu .....
Unampenda mtu humjui ? Hujawahi kumuona ? Hujui hata background ama status yake ?

Just kuona threads na comments zake umempenda ? How?

Tuna shida kubwa sio kidogo, ndio maana lile lijamaa la marekani lilisema tunahitaji kutawaliwa tena ... shit_hole



Seran njoo mchukue mumeo mama
Mbona unang'aka kwa gadhabu kiasi hicho mkuu? Au wewe ndio huyo Seran mwenyewe umekuja kumshushia vinu kwa ID nyingine sababu haumuelewi?
 
Kweli kabisa.
After all Seran mwenyewe anasikia raha 'kundondokewa' na mijamaa ya humu JF.
Wanawake wengi hujisikia vizuri wakitongozwa, wakiona hawafuatwi wengi wanajiona wana mkosi.

Nasikia wanajisikia ujiko sana kutongozwa l, kusemeshwa na wanaume kujigonga. Na hilo halina umri nasikia hata wazee, wanapenda sana.
 
Back
Top Bottom