Ningejua nisingeoa maishani mwangu

Ningejua nisingeoa maishani mwangu

Mke akaanze kumfulia mama mke for the rest of her life? Huyo mama hana mabinti?

Ndio kila mtu anampenda mama yake, lakini kama anahitaji starehe kiasi hicho ili amlipe fadhila kwa matunzo, amwekee na maid wake.

Eti mke hajasoma, ana div 4 low, si bora kuoa Nkurumah au mdigirii. Ukishaamua kuishi na mtu, kumchamba hadharani ni kujivunjia heshima mwenyewe. Huwezi ishi na mtu unayemdharau sana, lazima maisha yawe magumu.


Afu sijui kwa nini wanamme wanapenda sana ku-refer elimu za wanawake zao. Akiwa hajasoma utasikia haya, askiwa kasoma utasikia, anajifanya na ile phd yake.


Yaani hata mi nimeshangaa sana.......yeye kama unauwezo huo kwa nini asinunue washing machine na kuweka maid kwa ajili ya mama yake. Yaani mdada wa watu ahangaike na watoto na mume na mama ambaye sio kama amekuja kutembea bali yuko hapo maisha yake yote...mweee. Muwe na huruma na watoto wa wenzenu......kwani yeye hachoki???!! Kumbe mnao watu wenye elimu ndogo ili mpate urahisi wa kuwatumikisha na kuwatumia mtakanvyo....lol
 
Tena pole yake haswaa, aliajiriwa u maid kwa style yake.

Yaani.....halafu yeye anaona sawa tu anavyofanya na kuja kulalamika huku......jamani....this is not fair at all.
 
Mzee wako anamatatizo makubwa tatizo mtu unaangalia upande mmja amwache ss
 
Yaani.....halafu yeye anaona sawa tu anavyofanya na kuja kulalamika huku......jamani....this is not fair at all.

......the main point of marrying this woman was to......"
Chefuuuuuuuuuuuuu!
 
Hayo ni maneno ya baba yako bestito
ungejua kuwa ndoa ilivyo taamu usingesema hivyo

yaani ndoa ni tamu hakuna mfano
mm na lazizi wangu tungali tunapenda ingawaje vimatatizo viko
ila tunavitatua mdogo wangu wewe saka mke oa usipende kuishi kama dingi wako
ishi kivyavyakovyako
habari za asubuhi wadau wa jukwaa hili.

Mwezi uliopita nilipata nafasi ya kukutana baba yangu ambaye mara ya mwisho tulikuwa tumeonana mwaka 2012.

Tukiwa mimi, yeye na dada yangu mkubwa tukipata lunch baba yangu alitoa kauli moja ambayo nami imenibadili mtazamo wangu.

Alisema eti laiti angejua asingeoa, angeishi kama bachelor maisha yake yote.

Nahisi kauli yake ilitokana na kupishana mara kwa mara baina yake na mzazi mwenzake ambaye ni mama yangu.

Wazazi wangu wameenda age kidogo baba yangu yuko kwenye early seventy's wakati mamangu ni mid sixty's.
Wamekuwa katika ndoa for more than fourty years lakini uwa hawaishi kutofautiana mpaka sisi tumeshazoea hiyo hali.

Hiyo kauli yake imenifanya na mimi niwaze kuwa bachelor maisha yangu yote.

Nitasaka mtoto but no kuishi na mwanamke wala ndoa...
 
Mke akaanze kumfulia mama mke for the rest of her life? Huyo mama hana mabinti?

Ndio kila mtu anampenda mama yake, lakini kama anahitaji starehe kiasi hicho ili amlipe fadhila kwa matunzo, amwekee na maid wake.

Eti mke hajasoma, ana div 4 low, si bora kuoa Nkurumah au mdigirii. Ukishaamua kuishi na mtu, kumchamba hadharani ni kujivunjia heshima mwenyewe. Huwezi ishi na mtu unayemdharau sana, lazima maisha yawe magumu.


Afu sijui kwa nini wanamme wanapenda sana ku-refer elimu za wanawake zao. Akiwa hajasoma utasikia haya, askiwa kasoma utasikia, anajifanya na ile phd yake.

Na itakuwa alimwoa huyo div 4 ili akamtunzie mama yake manake kama angemwoa wa kwenye mdigrii asingekubali. sas bahati mbaya akakuta wa div 4 naye anajitambua ndio maana anaona ndoa ngumu manake alichokuwa anatarajia kutoka kwa div 4 sio hicho. Kwanza ajue kitendo cha kuishi na mama mkwe tu maisha yako yote hata kama huyo mama hahitaji msaada, hiyo kitu inahitaji moyo sana.
 
Wananishangaza wanadhani wanawake wa humu wameshushwa toka mbinguni tukarushawa jf hatupatikani kokote
Wa humu humu na kuna midume inajielewa na tunaweka shingo pembeni ,tunang'ata kucha na kurembua vizur tu!
Sasa waacha wakae wanalia Lia oh wanawake wa JF hawaoleki !
 
Brother pole sana kwa hilo ila kaza moyo konde, unajua maisha ya mwanadamu na ya mwanaume aliye kamilika anahitaji mtu wa karibu yake{mke}. Kitu ninachoweza kusema hapa ni kwamba:-
"baba anaweza akawa anaongea hivyo kutokana na jinsi alivyo yeye na akifikiria alikotoka" ukiwa kama kijana jaribu kufikiria ni jukumu gani ambalo unatakiwa kufanya now, umri unakwenda na unatakiwa uchanganye akili na kupembua ni kwanini mzazi kaongea hivyo. Utazaa na wanawake wangapi? Na utaishi ivyo mpaka lini? Sikushauri ufanye hivyo ila we fanya kama moyo wako unavyokwambia, mzazi umri umeisha, fanya yako ila usifanye ukalaumiwa maishani mwako. ni hayo tu kwangu ila angalia sana maneno ya mzazi kwani yanajenga vilevile yanabomoa.
 
Pole sana kwa hilo ila kaza moyo konde, unajua maisha ya mwanadamu na ya mwanaume aliye kamilika anahitaji mtu wa karibu yake{mke}. Kitu ninachoweza kusema hapa ni kwamba:-
"baba anaweza akawa anaongea hivyo kutokana na jinsi alivyo yeye na akifikiria alikotoka" ukiwa kama kijana jaribu kufikiria ni jukumu gani ambalo unatakiwa kufanya now, umri unakwenda na unatakiwa uchanganye akili na kupembua ni kwanini mzazi kaongea hivyo. Utazaa na wanawake wangapi? Na utaishi ivyo mpaka lini? Sikushauri ufanye hivyo ila we fanya kama moyo wako unavyokwambia, mzazi umri umeisha, fanya yako ila usifanye ukalaumiwa maishani mwako. ni hayo tu kwangu ila angalia sana maneno ya mzazi kwani yanajenga vilevile yanabomoa.
 
Hiyo kauli yake imenifanya na mimi niwaze kuwa bachelor maisha yangu yote.

Nitasaka mtoto but no kuishi na mwanamke wala ndoa...
Baba yako ana akili ndefu na ndio maana anatimiza dhumuni la kuishi, yaani kuhangaika. Unadhani hiyo miaka zaidi ya 40 wanakwaruzana lakini hawaachani sababu ni nini!?
Na je, angeamua kuzaa watoto wa nje wewe ungelipata wapi muda wa kumsikiliza!?

 
ndoa iliqnaishwa na Mungu ambaye ndo muumba muombe akupe the right wife hutokaa ujute unless utaish maisha ya uzinifu ambayo nikinyume na will ya MUNGU
 
ndoa ilianzishwa na Mungu ambaye ndo muumba muombe akupe the right wife hutokaa ujute unless utaish maisha ya uzinifu ambayo nikinyume na mapenzi ya MUNGU
 
Ndoa nzuri lakini inabalaa lake kiongozi, ila wapo bado wanaopenda kuwa mke wa mtu na utatamani kusema ulichelewa..na wapo kama yalionikuta mimi utajuta kuoa..mimi nilimgundua alikuwa si mke ila Rafiki tu..ndio maana nilishindwa..

Cha muhimu muombe mwenyezi Mungu akupe mke la sivyo..itakuumiza sana na hivi ulisha anza kuwa muoga nomaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom