Ningejua nisingeoa maishani mwangu

Ningejua nisingeoa maishani mwangu

Habari za asubuhi wadau wa jukwaa hili.

Mwezi uliopita nilipata nafasi ya kukutana baba yangu ambaye mara ya mwisho tulikuwa tumeonana mwaka 2012.

Tukiwa mimi, yeye na dada yangu mkubwa tukipata lunch baba yangu alitoa kauli moja ambayo nami imenibadili mtazamo wangu.

Alisema eti laiti angejua asingeoa, angeishi kama bachelor maisha yake yote.

Nahisi kauli yake ilitokana na kupishana mara kwa mara baina yake na mzazi mwenzake ambaye ni mama yangu.

Wazazi wangu wameenda age kidogo baba yangu yuko kwenye early seventy's wakati mamangu ni mid sixty's.
Wamekuwa katika ndoa for more than fourty years lakini uwa hawaishi kutofautiana mpaka sisi tumeshazoea hiyo hali.

Hiyo kauli yake imenifanya na mimi niwaze kuwa bachelor maisha yangu yote.

Nitasaka mtoto but no kuishi na mwanamke wala ndoa...

Pole. Maisha yao ni yao na yako ni yako. Be positive uwe na staili yako ya maisha na si kukopi ya wazazi
 
Hongera sana I think ulipata right person
Hahahaha kweli mkuu huyo alipata the right person sasa jiulize je babako ni the right person kwa mkewe .Uliwahi kumuuliza wakati yeye anataka kuoa alizingatia mambo gani ktk kutafuta mwenza . Mara zote unachojiwazia ndicho kinachokutokea maishani kama ambavyo wengine huwaza kuwa wao ni fukara na haitawezekana kutoka ki maisha. Jua kuwa mara nyingi utetezi wa upande mmoja huwa haufai kuufanyia conclusion ni vema ukapata na mawazo ya mama juu ya mumewe.
 
Mmh hivi mbona mnaiongelea ndoa negatively mmeambiwa koseeni kujenga!! Aaagh mtuwache tunaoelekea kwenye ndoa!!
Huwa najiuliza ni kwa nini wanawake mnapenda sana ndoa sijawahi kupata jibu sahihi.
 
Kila anachosema baba kipo sawa?...wot if yeye ndio analeta mifarakano kwny ndoa?

It means hata baba yake an get an kua shoga na yeye angetamani duuu(am sorry for the language ila ts boring kumuita MTU kama huyu mwanaume)
 
It means hata baba yake an get an kua shoga na yeye angetamani duuu(am sorry for the language ila ts boring kumuita MTU kama huyu mwanaume)

It doesnt make you a star or famous kwa kuwazia wenzako usodoma ila inaonyesha to what extent ulivyo muovu inside kwa kuwaza uchafu
 
You are deadly wrong elmagnifico!Haina maana sababu wazazi wako wanapishana kauli mara kwa mara basi na ww na mkeo mtarajiwa mtakuwa hivyo!

Mbona mm baba yangu huwa ananiambia mara kwa mara kuwa "kama sio kuwa na mama yako,kama sio ushauri wa Mama yako,kama sio careness ya Mama yako basi mm baba yako ningekufa siku nyingi sana"

Oa ule tunda la kati bila kutenda dhambi
 
Last edited by a moderator:
Ww ndio type of men mnazalisha wanawke mnakimbia baada ya miaka kadhaika mnakuja kudai watoto wenu, stop nonese
 
Si wanawake hawana maana kwako,tafuta mgomba uzae NAO!

alafu wewe! yaahani unamwambia mwenzio abadili spishi yake awe mgomba! kwakweli wewe ni kiboko, yahani wanatofautiana kuanzia kingdom mpaka chini kabisa.....
 
Una shangaza!
Unaujua mchango wa baba yako kwenye hiyo mifarakano?
Unadhani wanawake wote wana mapungufu aliyonayo mama yako?
Bora usioe maana ukilazimisha kuoa utampa shida bint wa watu.
Huyo mtoto kaasili ulee maana mwanamke wa kumfanya mtambo wa kufyatulia watoto pia hayupo!!!
 
Ndoa mbona nzuri tu ila kama ukimpata mwenye mahitaji ya ndoa i.e mke bora na si bora mke.Nimeoa sasa ni mwaka wa 3 furessssh kabisa ingawa kutopata mtoto mpaka sasa kunaninyong'onyesha sana mpakana nakinai tendo.


Pole sana bro.........lakini miaka mitatu mbona midogo sana kwa kukataa tamaa ya kupata mtoto. Endelea kuomba bila kukata tamaa na Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi na mtapata watoto.
 
Kwani wewe ina maana hujaona watu wanazaa na watoto bila kuoa

Utakuwa na hekima sana ukikaa na baba yako na umuulize vizuri, ujue kwa nini anasema hivyo, pia ukae na mama na kumdodosa ujue tatizo ili changamoto zao zikusaidie uwe na ndoa bora zaidi.

Nakuhakikishia kuwa ndoa ni baraka kubwa, ingawa pia yaweza kugeuka laana kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom