Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Nipo na mke wangu zaidi ya miaka 5 sijawahi kujutia kuoa au kuwa naye.
Kumbe una mke ona sasa nimekukosa lol
Nipo na mke wangu zaidi ya miaka 5 sijawahi kujutia kuoa au kuwa naye.
Kumbe una mke ona sasa nimekukosa lol
Muislam naruhusiwa kuoa hadi 4...nafasi bado ipo ya kuleta ukewenza
Muislam naruhusiwa kuoa hadi 4...nafasi bado ipo ya kuleta ukewenza
napenda kua number one.........
Kumbe we muislamu nimeshakukosa daah
Habari za asubuhi wadau wa jukwaa hili.
Mwezi uliopita nilipata nafasi ya kukutana baba yangu ambaye mara ya mwisho tulikuwa tumeonana mwaka 2012.
Tukiwa mimi, yeye na dada yangu mkubwa tukipata lunch baba yangu alitoa kauli moja ambayo nami imenibadili mtazamo wangu.
Alisema eti laiti angejua asingeoa, angeishi kama bachelor maisha yake yote.
Nahisi kauli yake ilitokana na kupishana mara kwa mara baina yake na mzazi mwenzake ambaye ni mama yangu.
Wazazi wangu wameenda age kidogo baba yangu yuko kwenye early seventy's wakati mamangu ni mid sixty's.
Wamekuwa katika ndoa for more than fourty years lakini uwa hawaishi kutofautiana mpaka sisi tumeshazoea hiyo hali.
Hiyo kauli yake imenifanya na mimi niwaze kuwa bachelor maisha yangu yote.
Nitasaka mtoto but no kuishi na mwanamke wala ndoa...
Come this way tuliongelee hili kinagaubaga shem..!
Things are complicated, sio kila anachosema kiko sawa ni mengi tu uwa nina ya ignore
Halafu mkuu hakuwa ananipa ushauri ni kauli tu aliyosema katika mazungumzo lakini naona imeniaffect
woga wa maisha na mazingira vimechangia sana kuoa wanawake wa mjini(wasomi au kipato), matokeo yake wameishia kuwa busy makazini na kushindwa kutekeleza majukumu ya nyumbani na matokeo yako ndoa kufa na watoto kukosa malezi bora. Kijana tafuta medium educated, ikibidi stnd 7 komaa kutafuta sh uwekeze ili ule raha na mkeo. Hawa wa mjini tutaendelea kuwapiga one night stand mpaka wakome na wazeeke coz ujuaji umewazidi
Nipo na mke wangu zaidi ya miaka 5 sijawahi kujutia kuoa au kuwa naye.
Mshukuru Mungu nikikupa huyu wa kwangu huwezi kukaa nae hata masaa ma3
Mshukuru Mungu nikikupa huyu wa kwangu huwezi kukaa nae hata masaa ma3
Kumbe we muislamu nimeshakukosa daah