Ningejua nisingeoa maishani mwangu

Ningejua nisingeoa maishani mwangu

hahahaaaa! Unganeni basi mfanye sherehe.
Si mlisema mtaniwekea kigodoro?
Halafu lazma nikuonje ww

Wewe hebu rudi kule bibi mtembezi wewe hukai ukatulia unawashwa kila saa hebu njoo badala ukatike kiuno we wakatika mdomo mfyuuuuu kuja hapa mwanaizaya we!!!!!
 
mnajitahidi kushambulia nyie wanawake duuu! Nileteen hao makungwi basi
Makungwi tulikuwekea ukatoroka kwenda kwa mabwana zako kuonyesha ulivyofuzu.ukarudi hoi!
Utaweza kuchutama sa hiz?twende mkoleni kule acha thread ya watu.
 
Wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
Sina maana kuwa maumivu ya baba yako na mama yako yanaweza ku9wa yako
Watu huwa tunajifunza kutokana na makosa na kutokana na kile kilichotokea. Umeshaona may be mara kwa mara ugomvi wa baba na mama yako na unajua kabisa na kwa kipimo chako wewe kama mtu mzima ushajua tatizo liko wapi na nani msababishi wa hayo
Sidha,ni kama hujajifunza kitu katika muda wote huo ambao wewe na dada yako mnasema mmezoea maugomvi ya baba yenu na mama na kisa chake na nini suluhisho lake
Pima mwenyewe maji kwa kina cha miguu yako na ujue unatarajia nini maishani mwako
Kujikatia tamaa kuwa kutokana na hili na hili mimi sitaoa si jambo la busara wala jema
Unaona mke wako wako wewe na kamwe hawezi kufanana kitabia na mzazi wako yoyote ni mke wako una uwezo wa kumshape na kumtengeneza na kutengeneza ffamilia yako namna unavyotaka
hatuishi kwa kuwa fulani aliishi hivi na mimi maisha yangu yatakuwa kama ya kwake ila tunaishi kwa kuwa una uwezo wa kujitengenezea namna ya kuishi na kupanga maisha yako yaweje
Uamuzi kuwa sitaoa kwa kuwa mama na baba wana maisha haya ni uamuzi wa ajabu sana ambao haupaswi kusemwa na mtu ambaye anajitambua na ana uwezo wa kujitengenezea maisha yake mwenyewe
Kwa nini wewe usioe na ukaprove wrong kwa baba yako kuwa ndoa ni mateso
Kwa nini usiwe mfano kwa maisha mazuri na ya mfano ukamwonyesha baba na mama kuwa ndoa ni tamu na nzuri bila maugomvi
 
Wewe hebu rudi kule bibi mtembezi wewe hukai ukatulia unawashwa kila saa hebu njoo badala ukatike kiuno we wakatika mdomo mfyuuuuu kuja hapa mwanaizaya we!!!!!
Badala ya kukatika kiuno anakatik wat?
Ahahahahahahahahahahaha
 
Asingekuwa ameoa ukakutana nae angesema angejua angeoa kuliko kuishi lonely maisha yake yote...
 
Wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
Sina maana kuwa maumivu ya baba yako na mama yako yanaweza ku9wa yako
Watu huwa tunajifunza kutokana na makosa na kutokana na kile kilichotokea. Umeshaona may be mara kwa mara ugomvi wa baba na mama yako na unajua kabisa na kwa kipimo chako wewe kama mtu mzima ushajua tatizo liko wapi na nani msababishi wa hayo
Sidha,ni kama hujajifunza kitu katika muda wote huo ambao wewe na dada yako mnasema mmezoea maugomvi ya baba yenu na mama na kisa chake na nini suluhisho lake
Pima mwenyewe maji kwa kina cha miguu yako na ujue unatarajia nini maishani mwako
Kujikatia tamaa kuwa kutokana na hili na hili mimi sitaoa si jambo la busara wala jema
Unaona mke wako wako wewe na kamwe hawezi kufanana kitabia na mzazi wako yoyote ni mke wako una uwezo wa kumshape na kumtengeneza na kutengeneza ffamilia yako namna unavyotaka
hatuishi kwa kuwa fulani aliishi hivi na mimi maisha yangu yatakuwa kama ya kwake ila tunaishi kwa kuwa una uwezo wa kujitengenezea namna ya kuishi na kupanga maisha yako yaweje
Uamuzi kuwa sitaoa kwa kuwa mama na baba wana maisha haya ni uamuzi wa ajabu sana ambao haupaswi kusemwa na mtu ambaye anajitambua na ana uwezo wa kujitengenezea maisha yake mwenyewe
Kwa nini wewe usioe na ukaprove wrong kwa baba yako kuwa ndoa ni mateso
Kwa nini usiwe mfano kwa maisha mazuri na ya mfano ukamwonyesha baba na mama kuwa ndoa ni tamu na nzuri bila maugomvi
Halaaafu anasahau kuwa pamoja na huko kujuta anakojuta babake,amekaa miaka 40 na the same woman,na wao ni a lama ya nyakati walizopita wazazi hao!

Huwa tunaamini kuwa ndoa tu ndizo zenye matatizo ,hata Mimi tu darasani kwangu na wanafunzi kuna migongano.sijui kwann tunaamini maunganiko mengine ya kibinadamu hayawezi kutupa changamoto!
Fine,ndoa kwa misingi yake truoublez zake zinatuumiza zaidi lakini ni sahihi kuamini tutakapokuwa tu hatujaoa/kuolewa basi tu viumbe wenye furaha zaidi ulimwenguni?

Hii ni aina nyingine ya kujiadhibu kwa makosa ya watu wengine!badala ya kugoma kuoa kisa baba na mama wameshindwa (kwa tafsiri yetu)kwanini tusiwaonyeshe kuwa inawezekana na kuzifanya ndoa zetu faraja kwa Yale yaliyowaumiza?.
 
hii! Nani akutaman ww! Nataka usafishe nyota kidogo
Kusafisha nyota kwa kutamaniwa na mwanamke mwenzangu,tena wa class yako!?
Ptuuuuuuuuuu
Ngoja nisubiri sheikh yahya afufuke.
Af angalia gagulo inaonekana heb shusha dera hilo!
 
mnajitahidi kushambulia nyie wanawake duuu! Nileteen hao makungwi basi

Inama halaf toa hizo shanga za mwaka 49 rusha rusha hilo kalio tuone kwanza hivi unadhani hayo ulipewa ili ukalie tu kwenye kiti au sofa,libinue binue kama umevurugwa, kazi inaanza halaf ufunge bakuli lako we bi Makomana
 
Last edited by a moderator:
Things are complicated, sio kila anachosema kiko sawa ni mengi tu uwa nina ya ignore
Halafu mkuu hakuwa ananipa ushauri ni kauli tu aliyosema katika mazungumzo lakini naona imeniaffect

kwanini usiwe affected na kauli kama ya mkuu Tony Gwanco hapo juu???
 
Last edited by a moderator:
hii! Nani akutaman ww! Nataka usafishe nyota kidogo

Kumbe twakufunda halaf watutamani hivyooo khaaa!!!! Kumbe usagaji hujaanza leo sie wa kwetu ni madume ya nguvu sio wewe mwanamke kanga moko tu hoiii ,kuoga hujuii,kufua chupi hujuiii yaan ndio mpaks umezeeka bado upo kwenu tu
 
I love you!
Mwaaaah!
Yani nakuwaje mke kwa mume arrogant kiasi hicho?

I thought ni mimi pekee niliona hiyo! Yaani niolewe niwe mfanyakazi wa mama mkwe???
Ni bora mchumba anieleze kusudi la kunioa kabla sijakubali! Lol
Ndoa zingine ni majaribu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom