Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 966
- 1,069
We unaongezeka umri,haukui.Hakuna mtu ambae ubongo wake unakua na kufikia "busara za kiungwana" anaweza andika vitu vyepesi kama vyako halafu akakomaa vionekane deep.Tulia wewe ukikua ndio utajua kuwa Ccm ni chama dume.
Jitahidi kuwa rational unapoandika vitu vya msingi.Unless kama kila mara wewe ni mtu wa jokes.