Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

Tulia wewe ukikua ndio utajua kuwa Ccm ni chama dume.
We unaongezeka umri,haukui.Hakuna mtu ambae ubongo wake unakua na kufikia "busara za kiungwana" anaweza andika vitu vyepesi kama vyako halafu akakomaa vionekane deep.
Jitahidi kuwa rational unapoandika vitu vya msingi.Unless kama kila mara wewe ni mtu wa jokes.
 
We unaongezeka umri,haukui.Hakuna mtu ambae ubongo wake unakua na kufikia "busara za kiungwana" anaweza andika vitu vyepesi kama vyako halafu akakomaa vionekane deep.
Jitahidi kuwa rational unapoandika vitu vya msingi.Unless kama kila mara wewe ni mtu wa jokes.
Ndio nini?
 
Hao waliochukua fomu Chadema hata ubunge hawawezi kupata. Sasa wanapoteza muda bure kwa nini?
Kama juhudi za msingi kama hizo unaona ni kupoteza muda.Je hiki unachofanya tukiiteje.Una "ukimwi wa akili" ndugu yangu Mtanzania.😃😃😃.
Kaa chini tuliza akili uandike kitu cha kufikirisha, sio mtu unakurupuka tu kwa genye za kuanzisha thread😂😂😂.Brain Masturbation
 
Kama juhudi za msingi kama hizo unaona ni kupoteza muda.Je hiki unachofanya tukiiteje.Una "ukimwi wa akili" ndugu yangu Mtanzania.😃😃😃.
Kaa chini tuliza akili uandike kitu cha kufikirisha, sio mtu unakurupuka tu kwa genye za kuanzisha thread😂😂😂.Brain Masturbation
Kisu kimegusa makalio yako.Tulia kizame.
 
Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?

Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.

Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.

Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.

Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.

Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?

Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?

Daa ushaingiza elf tatu mkuu au mmepandishiwa sa hivi
 
Mstaafu Alhaji Mwinyi alisema atapata miaka mingine mitano ya zawadi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo! Hapa Kazi Tu! Tanzania ya sasa inameremeta meremeta tu - Zuchu.
Mtu asiye na uhakika hata wa kumaliza miaka miwili anapata wapi ujasiri huo ?
 
Ninawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).

Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash.

Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Hivi huyo Lisu mbona anatembea kama crab nina wasi wasi hata akili yake inatembea hivyo hivyo
 
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.

Hongera JPM kwa hili
Dogo mwenye bachela ya aitii.. nasikia posho imepanda kutoka buku7. Nim kweli nami nijiunge kambi yenu.
 
Mstaafu Alhaji Mwinyi alisema atapata miaka mingine mitano ya zawadi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo! Hapa Kazi Tu! Tanzania ya sasa inameremeta meremeta tu - Zuchu.
Ok mpatie mika 10 ya nyongeza. Sawa. Akishamaliza what next?
 
Nimetoka kumsikiliza chakubanga akihojiwa Azam - UTV. Anasema wameimarisha sana matumizi ya mitandao ya kijamii kwa ajili ya kampeni.

Naamini hata posho yenu itakuwa si buku saba tena.

Nawapa kongole jingalao na wenzako wote kwa kuhamia kwenye uchumi wa kipato cha "lower - middle" .
 
Back
Top Bottom